Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South Africa haina mafuta na ndio maana nimelinganisha Tanzania na South Africa. South Africa wana shamba kubwa yenye rutuba na mvua ya kutosha kama Tanzania. South Africa wana madini ya aina zote kama dhahabu, Diamond na kadhalika kama tu Tanzania. South Africa pia wana mbuga za wanyama ambazo zinaleta watalii wengi kama tu Tanzania. In fact mbuga za Wanyama za Tanzania ziko much better than za South Africa.
South Africa wana influx ya wazungu wengi sana na wametawaliwa muda..so production ni kubwa..kuliko Tz..Settlement za wazungu ni kubwa so walisha set base ya production huo ndio ukweli

Tz bado tuna produce raw materials nying compared to finished products..so kwa industries bado tuko nyuma..lakini tunafanya mchakato kuongeza hilo..we need more procesding industries ku export more finished products i can see imrpovements on this

Kuhusu Utalii..Ni nchi 4 tu zimetupita kwa revenues nazo ni SA (Wazungu wengi toka zamani, world cup effect) , Egypt , morroco hizo ziko karibu sana na europe so connection is easy ..

Kuhus minerals ..Magu alikuwa kasimamia vizuri .sijajua kama Mama ataweza kushukilia usukani kwenye sector..hii kama magu..but tukiwa serious na LNG ikazalisha ajira na faida basi itausaidia
 
World Bank GDP data are out. Kenya has been overtaken by Ethiopia while Tanzania is still stuck at $67B.

Top 3 biggest economies in East Africa.

1. Ethiopia - $111B
2. Kenya - $110
3. Tanzania - $67B

Tony254, tuusan

Statistics nzuri,
Ila hao namba moja wanaongoza kwa kukimbia nchi yao
Hao namba mbili wanaongoza kwa njaa, rushwa na ufisadi
Namba tatu sasa..........................😛
 
World Bank nao wana ujinga. Sasa Ethiopia wametupita vipi na walikuwa na vita huko kwao last year? Anyway Tanzania at $67 billion is really shocking coz that is almost half of Kenya's Gdp now.
Hyo C mbele ya Data za Tz means its mainland only ....Zanzibar haijawa included..with Zanzibar GDP around 4billion usd in 2020 sijui 2021 ..URT GDP might be around 71 to 72 bil usd
Screenshot_20220712-090532_WPS%20Office.jpg
View attachment GDP.pdf
 
Not everything is a competition kijana. East Africa coastal areas never get too cold so sijui unawashwa na nini. This is Limuru on the outskirts of Nairobi View attachment 2287361
Onesha sehemu Kenya kuna baridi la kiwango hiki, kuna wakati njombe inagonga mpk 4°C, tatizo lenu nyie mnaijua Dar pekee [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220712-092201.jpg
Screenshot_20220712-092306.jpg
tapatalk_-1737474460_270x405.jpg
 
Not everything is a competition kijana. East Africa coastal areas never get too cold so sijui unawashwa na nini. This is Limuru on the outskirts of Nairobi View attachment 2287361
And this is Njombe which is colder than Limuru au Njombe huitaki wewe? Tatizo lenu kubwa mnapoambiwa Dar kuna joto basi mnadhani Tz kuna joto, for your information Kenya is 10× hotter than Tz because most of Kunyaland areas are semi desert or desert at all. Njombe hii hapa kama huitaki nambie [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_102026756_608x456.jpg
 
Kitu ambacho sielewi ni how does Ghana GDP Data and Kenya GDP Data correlates na Data za IMF ila Data za Tz za Wb hazi correlate na data za IMF i am asking myself this
Hata mimi nimeshindwa sana. Sijui mlikosea World Bank wapi. Wako na grudge na nyinyi. $67 billion I feel like it is too low for Tanzania. Yaani hata kama sisi ni watani hapa JF, I can't be happy when I see things like these from World Bank. World Bank has consistently undervalued Tanzania's growth rate. Sasa mbona IMF inawaweka at $77 billion yet World Bank inawaweka at $67 billion? A gap of $10 billion surely? There is something very wrong there. Hizi Bretton woods institutions kwanza World Bank nimeanza kuishuku. The variance between World Bank and IMF data is too big when it comes to Tanzania. For me personally, I don't believe this data.
 
Hata mimi nimeshindwa sana. Sijui mlikosea World Bank wapi. Wako na grudge na nyinyi. $67 billion I feel like it is too low for Tanzania. Yaani hata kama sisi ni watani hapa JF, I can't be happy when I see things like these from World Bank. World Bank has consistently undervalued Tanzania's growth rate. Sasa mbona IMF inawaweka at $77 billion yet World Bank inawaweka at $67 billion? A gap of $10 billion? There is something very wrong there. Hizi Bretton woods institutions kwanza World Bank nimeanza kuishuku. The variance between World Bank and IMF data is too big when it comes to Tanzania. For me personally, I don't believe this data.
Tony you are confusing these things. World Bank just released data for last year but IMF released projections for this year. Those are two different years. You have to wait for next year's data from WB to see if there's much variance between the two.
 
I love that you’re also fascinated by the cosmos. And I also appreciate the time you’ve put to write all this info, but I’m well aware of it.

As you’ve mentioned, the universe is unimaginably vast! And that’s why we measure the distance of celestial objects in Light Years. A light year is a distance that light travels in one year. The sun is approximately 8.3 light minutes away from Earth. So, it takes light from the sun 8.3 minutes to reach our eyes. Thus, we see the sun as it was 8.3 minutes ago!

Now imagine objects that are millions of light years away. For example, the closest spiral galaxy to ours (the Milkyway) is Andromeda, which lies about 2.5 million light years from Earth. That means, it’s taken light from Andromeda 2.5 million years to reach earth. So when we view the galaxy using our telescopes, we see it as it appeared 2.5 million years ago.

The deep space image by Webb is an interesting one. It shows the galaxy cluster SMACS 0723 as it appeared 4.6 billion years ago, according to NASA. The thing about galaxies is that they’re always in motion, and the universe is also expanding. In 4 to 5 billion years, the Milkyway and Andromeda Galaxies will collide. So, their shapes will no longer be recognizable.

The same applies for what the picture shows. We see the cluster as it appeared in the past, 4.6 billion years ago. Today, it looks very different!
SMACS 0723 Record breaking Image
by 12/07/2022. This is how the galaxys lit 13billion years ago👇🏽
FXazs2QXwAAPKcA.jpeg
If u happen to have read in details about the Webb's record breaking SMACS 0723 Image. it observed the furthest distance ever recorded into the Space and hence it went back into time upto 13billion years ago!. It's so deep such that the concentration of galaxys has started becoming scanty, unlike the previous closer observations by Hubble Telescope.
The brighter galaxys in that image acts as lens and magnifies galaxys that are even further away. the only problem with this brighter galaxys is tht, its magnifies yes, but distorts the shape and brightness of these further away galaxys, ie. the ones tht appear shapeless and faint in that SMACS 0723 Image. But the advantage is that, these further away galaxys will later help to go further back into time when universe was at its infancy! Webb wants to go further deep until the moment the Universe was formed! ie. It what's to observe the BigBang itself!! soon we'll be able to see how the BigBang occurred, and even tell the billions light years all this happened! We'll see it in motion, like in a movie.

Space Science is very interesting and fascinating indeed!


Nb: Webb is a time traveller in the current real time! upto the beginning of the Universe. thts its main mission. $10B was used for this mission.
 
So you are discrediting a 2021 report but giving a lot of weight to 2022 report!! Hivi, difference ni miaka mingapi wewe kilaza?
Wewe ninakuambia kila mara kwamba uwezo wako wa kuelewa Mambo ni mdogo Sana, wapi ame discredit hiyo ripoti?, Yeye anakuambia ulinganishe Kati ya ripoti inayotaja 31% ya idadi ya under five huku Tanzania, na 14M, ipi ni kubwa?, tena hao 14M ni watu wazima sio kawaida kuwa na tatizo hilo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom