Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata mimi nimeshindwa sana. Sijui mlikosea World Bank wapi. Wako na grudge na nyinyi. $67 billion I feel like it is too low for Tanzania. Yaani hata kama sisi ni watani hapa JF, I can't be happy when I see things like these from World Bank. World Bank has consistently undervalued Tanzania's growth rate. Sasa mbona IMF inawaweka at $77 billion yet World Bank inawaweka at $67 billion? A gap of $10 billion surely? There is something very wrong there. Hizi Bretton woods institutions kwanza World Bank nimeanza kuishuku. The variance between World Bank and IMF data is too big when it comes to Tanzania. For me personally, I don't believe this data.
Uchumi wa Tz kama utaangalia investment iliyofanya kwa hii miaka 10 kuja juu sio tu ni $67b wala $77b ni zaidi ya hapo maradufu, wewe wala isikuumize mana hata cc Watz haituumizi labda Watz wapumbavu wanaojali makaratasi kama Wakenya, cc tunachofurahi ni kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko miradi inayofanywa na nchi zote EA combined na hili bomu lazima lilipuke whether World Bank or IMF accepts it or not.
 
World Bank nao wana ujinga. Sasa Ethiopia wametupita vipi na walikuwa na vita huko kwao last year? Anyway Tanzania at $67 billion is really shocking coz that is almost half of Kenya's Gdp now.
Hiyo GDP ya Tz imeganda hapo kwa mwaka wa kumi sasa na wala hatuna shida nayo as long as GDP sio maendeleo basi wacha ikae hapo hapo ila on ground ndio mtajua cc ni kina nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa Tony umeongea bila ushabiki bali kwa Facts.

Kikwete aliwahi kuulizwa huko nje kwanini nchi yako ni masikini pamoja na utajiri wa nchi yako ulionao akajibu sijui, aibu hii sana.

Hii nchi ilikuwa na viongozi wazembe, wasio na maono ya uongozi hasa mambo ya uchumi, rushwa, ufisadi, wizi, incompetent leaders, kuhodhi vyeo vingi kwa mtu mmoja,usimamizi mbovu wa rasilimali, mikataba mibovu, sera mbovu ya kuitangaza ikiwemo na kutokutangaza vivutio vya utalii, ukwepaji kodi, utoroshaji wa madini na mali asili nyingine.

Sasa alivyokuja Magufuli ndio akawazindua usingizini, sasa hivi unaona kama ndio wamekurupuka usingizini wanahaha kutaka kufukia mashimo ya huko nyuma.

Kwa ardhi tuliyo nayo ingepeswa tuilishe Kenya mpaka mshindwe wenyewe ndipo tufikirie kutafuta masoko mengine, lakini bado hatujawatosheleza maana yake hatuzalishi vya kutosha.

CCM kwa kuandaa mipango wako vizuri sana ila kinachowaangusha ni utekelezaji wake, kama wakiamua kuwabana viongozi angalau wakatekeleza Ilani yao kwa robo tatu tu nchi itapiga hatua sana.

Ulivyowaza wewe mimi huwaza kila siku mpaka kichwa kinauma, kuna Viongozi hawana muda huo as long as they get paid each month what else to think about others.
Mkuu, katika hili ungeshauri serikali ifanye nini kwa upande wake?, hebu taja vitendo(,activities) ambavyo unahisi serikali ingepaswa ifanye katika kilimo bila kushindana na wananchi wake na private sector.

Mkuu kumbuka kwamba Kama serikali itajiingiza Moja kwa Moja katika uzalishaji mazao na ikafanikiwa, maana yake ni kwamba 75% ya watanzania wanaotegemea kilimo watapoteza ajira zao.

Serikali jukumu kubwa ni kujenga mifumo ya umwagiliaji maji katika maeneo ambayo Kuna maji na ni tambarare, kitu ambacho serikali inajitahidi sana na inaendelea kufanya hivyo kulingana na uwezo wa uchumi wetu, hivi Sasa hapa Afrika katika kilimo cha umwagiliaji, tunazidiwa na Egypt, Nigeria na South Afrika pekee (The giants of Africa)

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
And this is Njombe which is colder than Limuru au Njombe huitaki wewe? Tatizo lenu kubwa mnapoambiwa Dar kuna joto basi mnadhani Tz kuna joto, for your information Kenya is 10× hotter than Tz because most of Kunyaland areas are semi desert or desert at all. Njombe hii hapa kama huitaki nambie [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2287727
pia huyu nae ni great thinker🙄🤔😂😂
 
Wewe ninakuambia kila mara kwamba uwezo wako wa kuelewa Mambo ni mdogo Sana, wapi ame discredit hiyo ripoti?, Yeye anakuambia ulinganishe Kati ya ripoti inayotaja 31% ya idadi ya under five huku Tanzania, na 14M, ipi ni kubwa?, tena hao 14M ni watu wazima sio kawaida kuwa na tatizo hilo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
He discredited the report, sema tu unamtetea. secondly, 31% ni under five years. Hapo hatujajua data ya watu wazima, and those above five years and below 18 years
 
Tony you are confusing these things. World Bank just released data for last year but IMF released projections for this year. Those are two different years. You have to wait for next year's data from WB to see if there's much variance between the two.
Okay. Thank you. I stand corrected.
 
Hawajiulizi hakuna siku vlogger wa kikunya akapost picha za uchafu bongo, kila wakija bongo wanashangaa huo uswazi wanaoambiwa upo bongo hawauoni wanaishia kusifia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ndio sehemu wakifika wanapata subscri wengi
 
Picha za 90s mpya hizi hapa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2287747
Wewe ni mjinga sana. Hizi tabia zenu za kukana kila kitu mtaacha lini?

Unasema hiyo ni picha ya kitambo wakati hilo jengo la Mzizima Towers is clearly visible in the middle of the pic and we all know hadi kufika sasa bado ujenzi haujaisha. Sasa inakuwaje tena ya kitambo bongolala?
 
Uchumi wa Tz kama utaangalia investment iliyofanya kwa hii miaka 10 kuja juu sio tu ni $67b wala $77b ni zaidi ya hapo maradufu, wewe wala isikuumize mana hata cc Watz haituumizi labda Watz wapumbavu wanaojali makaratasi kama Wakenya, cc tunachofurahi ni kwamba tunafanya miradi yenye thamani kubwa kuliko miradi inayofanywa na nchi zote EA combined na hili bomu lazima lilipuke whether World Bank or IMF accepts it or not.
Wewe tatizo lako huwa unapuuzilia mbali hizi data za World Bank na IMF na kutoa data zako mwenyewe za kichizi. Sasa nani ataamini data za The Best 007 na awache kuamini data za World Bank? Huwezi kusema kwamba gdp ya Tanzania ni $150 billion na tukuamini. Tutakuona kichaa. Kwanza kichaa anayetembea uchi barabarani.
 
Cha ajabu unaweza kukuta budget ya kenya ya kilimo iko stagnant ama hata imepunguzwa pamoja na njaa hii ndio utajua akili zao zilivyo.
Mkuu tatizo sio budget, kwasababu pesa ni kiwezeshaji muhimu lakini kunahitajika "management", skilled man power na usimamizi wenye "commitment", Hilo ni tatizo kubwa kuliko budget.

Kama mtakumbuka katika kipindi cha Magufuli, Tanzania tumefanikiwa kufanya Mambo mengi kwa kutumia bajeti ndogo tuliyonayo, kilichobadilika kilikua ni usimamizi na "Commitment only". Kumbuka 50% ya budget ya Kenya huishia mifukoni mwa watu binafsi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini wakenya mkiambiwa hamuongei kama Watanzania mnakasirika?

Kuna mtanzania aliigiza accent ya kikenya ikafika twitter eti wakenya wakawa wanashangaa kumbe kuna accent ya kitanzania na ya kikenya 😂😂😂

Sasa ninyi mlifikiri mnaongea kama sisi? Na hicho ndio kitu hao Dada zenu kimewauma, mnapigana muonekane kama Watanzania lakini situation inawakataa
Munadharauliwa sana kiukweli, kwa vile mnajibeba, mko na kaushamba flani, hakuna mkenya anaeza tamani kua kama nyinyi, usijitekenye bana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Onesha sehemu Kenya kuna baridi la kiwango hiki, kuna wakati njombe inagonga mpk 4°C, tatizo lenu nyie mnaijua Dar pekee [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2287717View attachment 2287718View attachment 2287720
And this is Njombe which is colder than Limuru au Njombe huitaki wewe? Tatizo lenu kubwa mnapoambiwa Dar kuna joto basi mnadhani Tz kuna joto, for your information Kenya is 10× hotter than Tz because most of Kunyaland areas are semi desert or desert at all. Njombe hii hapa kama huitaki nambie [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2287727
Nilikuambia kwamba sio kila kitu hapa ni ligi. Inferiority complex iltakuuwa
 
Back
Top Bottom