Ninyi wakenya ni wapumbavu, roho mbaya na umasikini ndio unaowafanya kujiona kuwa ninyi ni "victims" muda wote mnalalamika na kujiona ninyi mpo sahihi ila wengine wanafanya makosa.all of this is brewed out of them fearing kenya so much.. its purely brewed out of their inferiority complex towards kenya. they knw kenya is a force to reckon with, within the continent of africa, and hence..
any slight downfall of kenya, is the headline of tomorrow's citizen newspaper
Before the white dude she used to date an indian guy. You can see the pattern.I didn't know this about her. I take back my words...and I already hate her (excuse the pun) 😂😂😂😂
Hakuna excuse Dodoma kuna mashamba..hebu ona tu hii shamba yote. hakuna desert. kisha tena iko laced with all soughts of the most sought after minerals in the world... gold, iron ore, copper.. name it!. yani inashangaza sana kua wao bado ni least developed countrywalai kama tu hii ingekua shamba yetu.! ghai! kenya sijui tungekua wapi sahizi
View attachment 2287390
Kichwa cha fuso ni emu by Danganyika standardsJifurahishe sisi mwendo wa continuous welded eco friendly electric sgr waze wa EMU if you like.![]()
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tumefkia hatua yakushindana baridi![]()
100%Nchi yenye jangwa hii wachana nayo. Mungu ndio anajua ni kwa nini alifanya Kenya iwe 70% arid bila mvua ya kutosha. Pia serikali corrupt ya Kenya haijali watu wake. Inastahili kujenga dams, water pans, bore holes, water pipes kila mahali hata kama maji itatoka ziwa Victoria na kupelekwa Kaskazini mwa Kenya kutumia water pipeline.
Unajiskiaje Dodoma ni kukame kama hko kwenu na watu wanalima zabibu hkoLeo hatuongei kuhusu Kenya, tunaongea kuhusu Tanzania. Mbona mumebarikiwa sana na mwenyezi Mungu kwenye kila eneo na bado Kenya inawachapa? Hivi hamjisikii aibu kupigwa na kanchi kadogo nusu ya size ya nchi yenu, kenye jangwa, hakana madini, hakana rutuba? Aibu hata kidogo tu hamna? Hata ukiwa pekee yako kitandani usiku hujawahi waza ni kwa nini Kenya na matatizo chungu nzima inawatandika vibaya hivyo? Najua umewahi kufikiria haya mambo ila hapa JF unakaza fuvu na kujifanya strong. Tumieni rasili mali yenu vizuri. Mnastahili kuwa number 1 Afrika. Shamba yenye rutuba, madini, mbuga za wanyama ni vitega uchumi ambavyo vinastahili kuwafanya muwe munashindana na Afrika kusini kiuchumi.
Cc Geza Ulole
chongchung
tuusan
You call me racist i call myself a proud african man. I will never marry a woman who doesnt look like me because i dont want interracial kids. And i will home school so that they won't learn about vasco da gama bullshit.We know you Kenyans are racists and tribalist people, you will never stop killing each other because of Tribalism/racism.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
31.8% chini ya miaka 5 hebu imagine alaf taarifa ya 2021 mm nakupa kitu cha 2022 over 14m people 🤣🤣🤣🤣🤣31.8% of children. Na hapo idadi ya watu wazima bado haijulikani ni ngapi. Alafu upo busy unapiga kelele!
Yapi Merkez wapo vizuri sana. Hawa wachina wa Isaka- Mwanza sijui wana shida gani speed yao ina walakini.Majamaa Yapi Merkezi wameanza kutoa progress video za Makutupora to Tabora: June 2022
Wale wachina wa Isaka-Mwanza tunawapataje
Hivi Mambo ambayo tumepambana hadi kuyapata kwa jitihada zetu unaweza kuyaita ni "blessing?"At least DRC tunawaelewa wanapigana bado. Kuna vita huko. What about Tanzania? Tanzania is more peaceful than Kenya. Hawa jamaa hata hawajawahi kutwangana hata kidogo, which is a blessing. Kenya tuko peaceful lakini sio sana coz kuna violence wakati wa elections. Yaani these people have everything yet they are still poorer than us. Even tribalism yao is much lower than Kenya's tribalism and even their corruption is much lower than Kenya's corruption na bado wao ni masikini kutushinda. Like I just don't get it. Fertile land, best game parks in the world, all types of minerals including gold, diamonds, iron ore e.t.c Yaani hata sijui niseme nini. Bado tunawachapa vibaya sana with all these advantages zenye wako nayo.
Cc tuusan
joto la jiwe
wakenya wengi wanaishi ata wanasahau kama kuna nchi inaitwa 'Tanzanian'.Ninyi wakenya ni wapumbavu, roho mbaya na umasikini ndio unaowafanya kujiona kuwa ninyi ni "victims" muda wote mnalalamika na kujiona ninyi mpo sahihi ila wengine wanafanya makosa.
Hivi hamkumbuki ni jinsi gani mlivyoongoza Dunia kutusema na kutuombea mabaya wakati wa mapambano na Corona, mlifikia hatua ya kuzuia ndege yoyote kutoka Tanzania isiruhusiwe kutua Kenya.
Hamkumbuki jinsi mlivyoingilia sakata la Loliondo na Ngorongoro na lile sakata la yule dada toka Nigeria na mkaanza kusambaza taarifa duniani kwamba Tanzania sio salama kwa utalii, lengo ni kuvuruga utalii wetu?.
Ninyi wakenya mpo na wivu, chuki na roho mbaya kwa Tanzania kwasababu tumnawazidi kwa Mambo mengi, hamtaki kuona nchi nyingine ikipata maendeleo kuwazidi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
biznakenya.com
Hawa wa TAZARA wanahusika na wa SGR?