Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
The fact that you don't like to marry them, should not be a reason to kill them, Kweli mnatushangaza Sana jinsi mlivyo na ubaguzi kwa binadamu wengine.You call me racist i call myself a proud african man. I will never marry a woman who doesnt look like me because i dont want interracial kids. And i will home school so that they won't learn about vasco da gama bullshit.
Hapa Tony umeongea bila ushabiki bali kwa Facts.Leo hatuongei kuhusu Kenya, tunaongea kuhusu Tanzania. Mbona mumebarikiwa sana na mwenyezi Mungu kwenye kila eneo na bado Kenya inawachapa? Hivi hamjisikii aibu kupigwa na kanchi kadogo nusu ya size ya nchi yenu, kenye jangwa, hakana madini, hakana rutuba? Aibu hata kidogo tu hamna? Hata ukiwa pekee yako kitandani usiku hujawahi waza ni kwa nini Kenya na matatizo chungu nzima inawatandika vibaya hivyo? Najua umewahi kufikiria haya mambo ila hapa JF unakaza fuvu na kujifanya strong. Tumieni rasili mali yenu vizuri. Mnastahili kuwa number 1 Afrika. Shamba yenye rutuba, madini, mbuga za wanyama ni vitega uchumi ambavyo vinastahili kuwafanya muwe munashindana na Afrika kusini kiuchumi.
Cc Geza Ulole
chongchung
tuusan
kesho utaskia kua kiswahili ni lugha yao👇😂😂👇
Watangoja sana!yani wao, wanatamani sana kua pale kileleni kwa dominance ya eastern and central africa, ili waweze kuvutia uwekezaji wa makampuni na organisations tajika kamavile Worldbank, IMF, UN Habitat, Google, CGTN, WRC etc ... ila ni kenya tu! kenya tu ndo kizungumkuti kikubwa sana kwao, tangu zamani. so watajaribu mbinu yoyote ile, kuona wameiponda, ili tu mradi..
Hapo hujataja mito, mabwawa,maziwa ambayo yanafaa kwa kilimo cha irrigation, bajeti ya kilimo ilikuwa inatengwa ndogo sana, angalau mwaka huu nampongeza mama ameiongeza kutoka bilion 200 mpaka 700 na kitu, siyo mbaya kwa kuanzia.hebu ona tu hii shamba yote. hakuna desert. kisha tena iko laced with all soughts of the most sought after minerals in the world... gold, iron ore, copper.. name it!. yani inashangaza sana kua wao bado ni least developed country [emoji848][emoji848] walai kama tu hii ingekua shamba yetu.! ghai! kenya sijui tungekua wapi sahizi
View attachment 2287390
31.8% chini ya miaka 5 hebu imagine alaf taarifa ya 2021 mm nakupa kitu cha 2022 over 14m people 🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana wenu ndio alianza hiyo ujinga na hata unaona nikimwambia sio kila kitu ni ushindani hapaTumefkia hatua yakushindana baridi[emoji28]
There are countless number of cities across the globe with zoos where such animals are kept in confined spaces. What I haven't seen ni jiji yenye hekari za shamba za mihogo kama hiyo Dar yenuKweli hakuna city inayofuga fisi na nyumbu kwenye mapori 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Kijana wenu ndio alianza hiyo ujinga na hata unaona nikimwambia sio kila kitu ni ushindani hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeambiwa SGR ya TZ sio expendable in terms of speed???? Wasiwasi wetu hupo kwenye hizo Old school locomotovies, tunajua mkijaribu hata 121 km/hr tutaletewa breaking news na The Citizen TV[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa ni wachafuHii pia waseme ni ya kitambo.
Kwa mbali bango la kampeni linaonekana.
That is sea wash up not put there intentionally by humans as is the case for pipeline.Vipi kuhusu hizi za 1950?View attachment 2287429View attachment 2287430
Jamaa ni wasafi!Jamaa ni wachafu
Dar garbage inafuatwa mpaka home waje wafanye benchmarking huku.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndio city wanapiga nayo kelele kila siku
What a lame excuse! Kwa hivyo hizo takataka zilizaliwa baharini then got washed up the shore from nowhere? Na zinafanya nini hapo after getting washed up the shore?That is sea wash up not put there intentionally by humans as is the case for pipeline.
Ona nyang'au walivyo na maisha ya hivyo.
Inasikitisha sana
Hiyo locomotive ya kibabe sana made in spain Inaitwa Afro 4000 very powerful engine.
Na ndio hata yeye kasema kwamba mnatushinda kwa amani. Ni nini hujaelewa hapoHivi Mambo ambayo tumepambana hadi kuyapata kwa jitihada zetu unaweza kuyaita ni "blessing?"
1)Amani yetu
2)Kutokuwepo kwa ukabila
3) Less corruption
4) Kuwa na chakula cha kutosha
By the way, Kenya hakuna Amani, Kenya ipo nafasi ya 125 duniani kwa Amani, na ni miongoni mwa nchi hatari kuishi duniani; Crime, police killings, terrorism, tribal clashes, political/election violence, vipi unasema Kuna Amani?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app