Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Imekuuma sana,njoo uutafute huo uchafu uone kama utauona..Jamaa ni wasafi! View attachment 2287548
Kumbe haujui mambo ya kimazingira ya kwenye bahari
Imekuuma sana,njoo uutafute huo uchafu uone kama utauona..Jamaa ni wasafi! View attachment 2287548
So that wash up came mysteriously from nowhere?Imekuuma sana,njoo uutafute huo uchafu uone kama utauona..
Kumbe haujui mambo ya kimazingira ya kwenye bahari
Hapana why?Hawa wa TAZARA wanahusika na wa SGR?
Cha ajabu unaweza kukuta budget ya kenya ya kilimo iko stagnant ama hata imepunguzwa pamoja na njaa hii ndio utajua akili zao zilivyo.Hapo hujataja mito, mabwawa,maziwa ambayo yanafaa kwa kilimo cha irrigation, bajeti ya kilimo ilikuwa inatengwa ndogo sana, angalau mwaka huu nampongeza mama ameiongeza kutoka bilion 200 mpaka 700 na kitu, siyo mbaya kwa kuanzia.
Mwakani bila shaka itaongezeka na kukifanya kilimo kuwa cha kisasa,teknolojia na kuachana na kilimo cha mazoea ( jembe la mkono).
Hili swali la Tony limakuja kama challenge kwa serikali ikubali ikatae hapa tunacheza na muda tu kama tusipobadilika tutabaki hivi hivi tukionekana kana kwamba watu tusiokuwa serious na maendeleo.
Tukiamua kuwekezeka kwenye kilimo vizuri hatutahitaji kuwa omba omba.Tutailisha Afrika na baadhi ya nchi nyingine huko duniani.
Uliwahi kuisikia kauli inaitwa "Kilimo Kwanza " jiulize iliishia wapi na hizo pesa zilizokuwa zimetengwa zilikwenda wapi?
My people, my visionary leaders are not serious at all.Poor me,.this is shame. [emoji57][emoji57][emoji57]
Yours is not a zoo get your facts right first.There are countless number of cities across the globe with zoos where such animals are kept in confined spaces. What I haven't seen ni jiji yenye hekari za shamba za mihogo kama hiyo Dar yenu
Brought by sea from different places. Shida nyie mnakaa inland hata mombasa hamjui kukoje.So that wash up came mysteriously from nowhere?
Si kuna story ya kukarabati mabehewa na vichwa mitumba!Hapana why?
Did I say it is? You mentioned animals kept in Nairobi national park and the same animals are also kept in zoos in different cities across the globe. Interestingly, when we keep them in the only city national park in the world it becomes an issue to you. Kama sio wivu ni nini?Yours is not a zoo get your facts right first.
From different places in Dar. That's would you forgot to addBrought by sea from different places. Shida nyie mnakaa inland hata mombasa hamjui kukoje.
huku unemployment rate ni over 40% in kenya the highest in africa 🤣🤣🤣Wakenya wanazidi kupata lots of opportunities nje ya nchi
2000 kenyans are set to be hired by royal caribbean cruise ships. This is after the state department of shipping and maritime affairs sealed a deal with the Italian-owned Mediterranean shipping company(MSC)
![]()
2,000 Kenyans to be hired by Europe's Royal Caribbean Cruise ships
2,000 Kenyans are set to be hired by Royal Caribbean Cruise ships. This is after the State Department for Shipping and Maritime Affairs sealed a deal with thebiznakenya.com
🤣🤣🤣 wengine wahangaike kukitangaza duniani kesho museme nyinyu ndio mulifanya kazi hioKwani wheres the lie?
31.8 watoto chini ya mika mitano hebu just imagine 😂😂😂😂😂 kwa hesabu yako hata millioni hawafikiSo you are discrediting a 2021 report but giving a lot of weight to 2022 report!! Hivi, difference ni miaka mingapi wewe kilaza?
Marvelous
I wonder if some of the galaxies no longer exist, since it’s taken the light from those galaxies over 13 billion years to reach us.
Hakuna city lenye pori kubwa la nyumbu na fisi almost half of the total landmass, naipori sio metropolitan bali ni big zoo 😂😂😂😂There are countless number of cities across the globe with zoos where such animals are kept in confined spaces. What I haven't seen ni jiji yenye hekari za shamba za mihogo kama hiyo Dar yenu
Wewe ni taahira sababu Unalinganisha Kitendo cha bahari kutema uchafu uliokusanywa kutoka kwenye maeneo, nchi, visiwa, meli nyingi baharini na kunyans kutelekeza uchafu barabaraniJamaa ni wasafi! View attachment 2287548
Inaweza hata kuwa huo uchafu nusu umetoka Madagascar, mkunya akili ndogo haya utayajulia wapi? Unajua idadi za meli zinazopita deep-sea ya Tanzania?So that wash up came mysteriously from nowhere?
Yes those cities have zoos even Dar has one so don't compare cities with zoos and city with a bush for wild animals.Did I say it is? You mentioned animals kept in Nairobi national park and the same animals are also kept in zoos in different cities across the globe. Interestingly, when we keep them in the only city national park in the world it becomes an issue to you. Kama sio wivu ni nini?
Station zetu ni nzuri pia,sema ni ndogo sio kubwaSGR ya Kenya ishatimiza malengo yote hayo unayoyataja hapo kwa kubeba 3m passengers na 8million tonnes of cargo na pia imeweza kua na stations nzuri.
SGR ya Danganyika imebeba 0passengers&0tonnes of cargo na bado haina stations nzuri
Hahaha yani uache kuniquote ukitaka kuichamba Tz naona utaugua [emoji23][emoji23][emoji23]At least DRC tunawaelewa wanapigana bado. Kuna vita huko. What about Tanzania? Tanzania is more peaceful than Kenya. Hawa jamaa hata hawajawahi kutwangana hata kidogo, which is a blessing. Kenya tuko peaceful lakini sio sana coz kuna violence wakati wa elections. Yaani these people have everything yet they are still poorer than us. Even tribalism yao is much lower than Kenya's tribalism and even their corruption is much lower than Kenya's corruption na bado wao ni masikini kutushinda. Like I just don't get it. Fertile land, best game parks in the world, all types of minerals including gold, diamonds, iron ore e.t.c Yaani hata sijui niseme nini. Bado tunawachapa vibaya sana with all these advantages zenye wako nayo.
Cc tuusan
joto la jiwe