Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi nafurahia demokrasia ya aina hii. Viongozi wakileta ujinga tunawang'atua kwa nguvu ya umati. Tunaingia ikulu kimabavu tunakunywa chai na kupumzika kwenye viti vya ikulu na kulala kwenye vitanda vya ikulu.
Serikali za africa wanajesh wengi hamnazo watapiga risasi watu mpaka stoo zao ziishe....
 
Amsaidiaje wakati kwake kwenyewe kunafuka moshi? Usikute amekimbilia US au nchi za mlengo wa US na UK.
emoji1.png
emoji1.png
Alisema hawezi omba msaada west na atasaidiwa na Urusi akasahau kanuni za Uchumi
 
Ulivyo andika tu unaonekana hujawahi kukanyanga Tz mpaka unachanganya kata,wilaya na mikoa sehemu moja.....Eti ngorongoro,serengeti,loliondo mara morogoro Ongeza bidii ipo siku utafika tu maana ndio kimbilio kubwa wakenya kwa sasa
Endelea kuota unadhani mimi ni mzaliwa wa tz
 
Mimi mwenyeji wa mikocheni b, wacha dar propaganda boy nimezunguka tz, dodoma,morogoro, tanga,arusha,loliondo, serengeti,ngorongoro,mpaka vijijini mimi si wewe mpuuzi wa kuokota mapicha
Ile tour van ya kula Bata ni bei gani per day?
 
Kama Tanzania tungekuwa na fikra potofu za kusujudia lugha ya malkia badala ya kiswahili hii lugha ungekuta imeshajifia kitambo ila we made swahili our national language na tukawafundisha wapigania uhuru wa Southern Africa hii lugha na hata Uganda swahili ni military language na hii inatokana na engagement ya TPDF huko ila sasa ndio itaanza kuingia mtaani baada ya serikali kuridhia kiswahili kitumike nchini humo.
Kwanza asante kwa kukubali kwamba kiswahili kilianzia kenya, ikija kwa ku- spread kiswahili siwezi pinga mchango wenu. Mimi personally huwezi nipata nikidharau mtu kisa hajui kuongea kizungu, hio ni slave mentality, nikiona mkenya mwenye hio tabia hua nasikitika sana.
 
Back
Top Bottom