Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Almost 30 kilometers from CBD

Dar is huge and fast developing!



Cleanliness levels

Mikunya hii barabara yote ingekua na heaps of shit all over

Screenshot_20220706-155305.png


 
zilo poa mkuu,mwenyewe nilizidharau ngoja zikamilike na brt pale wakiweka na taa utaona kulivyo bomba
BRT ya tazara ni bora x2 ya ubungo ...brt ya ubungo imejengwa kifisadi fisadi bora wangejenga sawa sawa na yatazara ...kwanza ule mwinuko wa ukuta kuwa juu sana kabla ya nguzo ya kwanza ni kosa kubwa sana maana eneo ambalo hiyo brt ipo ni mjini kabisa hivyo kuharibu sura ya mji na kuzuia mzunguko wa hewa
 
White dent, Mo & Azam Energy drinks, Whine, Konyagi, Transforma za umeme, Tiles, Ceramics, toka Tanzania zimejaa Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Halafu ukiangalia bidhaa yao kubwa huku labda panadol,vitu vingi tulivyokua tunachukua kwao sasa hivi vinatengenezwa hapa hapa TZ,kikubwa nachofikiria serikali ingerudisha NMC iwe inanunua mazao kwa wakulima halafu hawa wakunya tuwauzie unga,sukari,maharage n.k vikiwa kwenye vifungashio
 
Hii serikali ya kisengeee ya kutekenyana makalio na kupapasana ndiyo matokeo yake haya ufisadi wa kutisha umekuja tz ambao hata kipindi cha kikwete atukufikia hii kiwango kibubwa cha ufisadi namna hii
 
Halafu ukiangalia bidhaa yao kubwa huku labda panadol,vitu vingi tulivyokua tunachukua kwao sasa hivi vinatengenezwa hapa hapa TZ,kikubwa nachofikiria serikali ingerudisha NMC iwe inanunua mazao kwa wakulima halafu hawa wakunya tuwauzie unga,sukari,maharage n.k vikiwa kwenye vifungashio
na hebu imagin hii yote tuna tengenezea sub saharan africa mzima. sio nyinyi tu !😆😆
Screenshot_20220709-074526_Chrome.jpg
Screenshot_20220709-085538_Chrome.jpg
Screenshot_20220709-074130_Chrome.jpg
 
Halafu ukiangalia bidhaa yao kubwa huku labda panadol,vitu vingi tulivyokua tunachukua kwao sasa hivi vinatengenezwa hapa hapa TZ,kikubwa nachofikiria serikali ingerudisha NMC iwe inanunua mazao kwa wakulima halafu hawa wakunya tuwauzie unga,sukari,maharage n.k vikiwa kwenye vifungashio
Hapo ni kurudisha ufisadi, ujamaa na umasikini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacha kuwa na mawazo ya kibaguzi ni ujinga ,huyo ni Muingereza kama wengine hiyo nature colour yake usiijudge.

wakenya mnamatatizo sana,nendeni na nyie mkadominate basi tuwaite kenyabritish
Britain’s Attorney General, Suella Braverman, who has Kenyan roots, on Thursday announced her interest in succeeding Prime Minister Boris Johnson who resigned on Thursday.

Ms Braverman, whose mother is Kenyan, had earlier on said it would be of the interest of all the UK nationals if the Prime Minister steps down.

Wakenya wako huko tayari
 
Back
Top Bottom