Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipi kuhusu kipato cha Mjapan mmoja na Mchina utofauti upo wapi, naona kama Japan bado yuko juu ya China.
Japan yuko juu sana next to USA kwa kipato cha mtu mmoja mmoja China bado ni developing country
 
dah bongo bado tumelala tu mpaka leo vitu vipo on paper , upandw wa michezo wapo slow hawafuatilii mambo kwa speed kazi yao ni simba na yanga tu
Tatizo majadiliano yanakuwa mengi na yanachukua muda mrefu. Hapa mzee baba ndipo alipokuwa akiweza, akisema kitu unaona ndani ya muda mfupi kazi zinaanza kufanyika.

Mradi wa ujenzi wa daraja la Jangwani na mto Msimbazi vipi mbona hatuoni muendelezo?Shida ni pesa au mkandarasi hajapatikana
 
Tatizo majadiliano yanakuwa mengi na yanachukua muda mrefu. Hapa mzee baba ndipo alipokuwa akiweza, akisema kitu unaona ndani ya muda mfupi kazi zinaanza kufanyika.

Mradi wa ujenzi wa daraja la Jangwani na mto Msimbazi vipi mbona hatuoni muendelezo?Shida ni pesa au mkandarasi hajapatikana
I think i overheard kwenye budget ya mwaka huu fedha zimetengwa.
 
Kunyaland r u ready?
FXI_8bBWQAE49ar

CC: Tony254
 
BTW that IMIC is a subset of nuclear medicine though as nuclear medicine ipo more advanced! Sasa watu tuna TAEC ambayo ndo msimamizi wa hiyo sector in the region! Sijui anatuambia nini!

About Nuclear Medicine & Molecular Imaging​

What are molecular imaging and nuclear medicine?​

Molecular imaging is a type of medical imaging that provides detailed pictures of what is happening inside the body at the molecular and cellular level. Where other diagnostic imaging procedures—such as x-rays, computed tomography (CT) and ultrasound—offer pictures of physical structure, molecular imaging allows physicians to see how the body is functioning and to measure its chemical and biological processes.

Molecular imaging includes the field of nuclear medicine, which uses very small amounts of radioactive materials (radiopharmaceuticals) to diagnose and treat disease. In nuclear medicine imaging, the radiopharmaceuticals are detected by special types of cameras that work with computers to provide very precise pictures of the area of the body being imaged. Nuclear medicine can also be used to treat certain types of cancer and other diseases.

Molecular imaging offers unique insights into the human body that enable physicians to personalize patient care. In terms of diagnosis, molecular imaging is able to:
  • provide information that is unattainable with other imaging technologies or that would require more invasive procedures such as biopsy or surgery
  • identify disease in its earliest stages and determine the exact location of a tumor, often before symptoms occur or abnormalities can be detected with other diagnostic tests

How do they help patients?​

As a tool for evaluating and managing the care of patients, molecular imaging studies help physicians:
  • determine the extent or severity of the disease, including whether it has spread elsewhere in the body
  • select the most effective therapy based on the unique biologic characteristics of the patient and the molecular properties of a tumor or other disease
  • determine a patient’s response to specific drugs
  • accurately assess the effectiveness of a treatment regimen
  • adapt treatment plans quickly in response to changes in cellular activity
  • assess disease progression
  • identify recurrence of disease and help manage ongoing care

When are they used?​

Molecular imaging procedures—which are noninvasive, safe and painless—are used to diagnose and manage the treatment of cancer, heart disease, brain disorders such as Alzheimer’s and Parkinson’s disease, gastrointestinal disorders, lung disorders, bone disorders, kidney and thyroid disorders, and more.

SNMMI offers fact sheets that explain how nuclear medicine and molecular imaging can help diagnose and/or treat a wide range of diseases.

View SNMMI Fact Sheets


Wacha maneno mingi, bongo hakuna IMIC. Ni Kenya au India, it's that simple hamna other option.
 
Japan was the second economy kwa muda mrefu sana imeshushwa na china juzijuzi tuu baadae ya recession ya muda mrefu now uchumi wa tatu duniani baada ya USA na China. Anayefuatia Japan ni Germany halafu UK na France
Unazungumzia GDP Ila kimaendeleo CHINA itamchukua miaka mingi sana kufika mahali Japan wako leo,sasa imagine wajapani 120M wana gdp ya $5+trill Vs wachina 1.4B wenye gdp ya $18trill...Hawa waJapan ni matajiri mno mno...Ndio maana Japan imewatawala wachina
 
Wacha maneno mingi, bongo hakuna IMIC. Ni Kenya au India, it's that simple hamna other option.
unakaa unaweza bishana na radio! 🤣 🤣 🤣

Kwenye mambo ya radiation tunawa-train!

Tanzania Now Trains Africans On Nuclear Technology​

8 JUNE 2020
Tanzania Daily News (Dar es Salaam)
By Deus Ngowi
TANZANIA Atomic Energy Commission (TAEC), has efficaciously completed intensive training on radio-analytical course in nuclear technology to participants from seven African countries.

The three months training organised by the TAEC in collaboration with the European Union (EU) was specifically on analytical techniques and majored on radio-analytical chemistry, as a field in simultaneous analytical chemistry and applied radiochemistry that is concerned primarily with the use of radionuclides and ionizing radiation for analytical purposes.

 
We kilaza unajua maana ya molecular imaging au hiyo IMIC unayozungumzia unafikiri IMIC ni machine!

IMIC maana yake ni integrated molecular imaging centre. Diagnostic tools zinazotumika kwenye hiyo centre ni PET CT scans, MRI na nyinginezo nyingi tuu. The top one being the PET CT scan ambayo sisi Tanzania tunayo kitambo tuu.

Halafu kabla huja post vitu hapa for the purpose of bragging do your research kwanza kabla hujakuja hapa kujiaibisha.
Equipments ndio hizi, The IMIC centre includes a commercial Cyclotron, 2 PET-CTs, a SPECT-CT machine, 256 Slice CT, and a 3.0 Tesla MRI.

Kitu ocean road ikonayo ni PET CT scan moja na maybe a cyclotron machine.
 

WHY DRC MARKET IS EXCITING TO CRDB​


Why DRC market is exciting to CRDB
CRDB Bank has said it will champion social development in the Democratic Republic of Congo (DRC) with a 30 million US dollars (70bn/-) subsidiary.

The lender said in a statement on Wednesday from Lubumbashi, the DRC's second-largest city that it finalised plans to launch operations in Congo in the second half of this year.

The investment is part of CRDB Group’s regional expansion strategy, targeting the larger Eastern African market.

The Group CEO and Managing Director, Mr Abdulmajid Nsekela said that in regard to the DRC subsidiary, which will be based in the commercial hub of Lubumbashi, the bank has already got approval from the Central Bank of Tanzania (BoT) since last May.

“We see the DRC as an exciting market for us since it provides a unique opportunity for our Group to transform lives beyond our borders,” Mr Nsekela said.

For the CRDB subsidiary, the lender has secured two equity partners, the Norwegian Investment Fund for Developing Countries (Norfund), and the Danish Investment Fund for Developing Countries (IFU). CRDB Bank will hold a majority stake of 55per cent, while Norfund and IFU will each hold 22.5 per cent equity.

“Our equity partners provide us with a unique edge, because of their strong focus on sustainability and social development,” Mr Nsekela said.

IFU invests in financially viable companies, contributing to the green transition, as well as building just and inclusive societies.

On the other hand, Norfund prioritizes investments in four investment areas aligned with the UN´s Sustainable Development Goals.

The areas include clean energy, financial institutions, green infrastructure, and scalable enterprises.

“We are impressed with how CRDB is committed to sustainability, and we see partnering with the bank in entering DRC as a great opportunity to promote financial inclusion and contribute to job creation in a country where the majority of the population is unbanked”, said Mr Espen Froyn, the Norfund Vice President.

IFU Vice President, Mr Morten Elkjær noted that CRDB’s continued investment in sustainability programmes such as climate adaptation agriculture and clean energy have made it a strategic ally and a thought leader.

“We are particular about investments that support the green transition and contribute to poverty alleviation and reduced inequality,” Mr Elkjær explained.

1The International Monetary Fund (IMF)’s latest country report for DRC released on Wednesday said DRC is the largest cobalt producer worldwide and top copper producer in Africa – two key minerals needed for the global energy transition. In addition, the DRC is a carbon-negative emitter and can absorb two-thirds of Africa’s carbon emissions.

"On the upside," IMF said, "the DRC is well-positioned to benefit from the global climate transition, easing the path in the country towards higher and more inclusive growth."

However, the report warned that the global energy transition may trigger an increase.

 
Kwa nini China walisema kila familia izae mtoto mmoja tu? Unajua ni kwa nini? Halafu ni Watanzania wangapi wanapata mshahara wa tsh 2 million kwa mwezi? Nipo sure ni less than 2% ya Watanzania. So umetoa mfano mbaya ukizingatia kwamba majority ya Watanzania ni masikini na hawawezi kumudu watoto wanne na kuwapa maisha mazuri. Hii ni fact tu. Watanzania wengi mapato yao kwa mwezi ni kidogo sana na bado wanazaa watoto tano au sita. Hii inafanya watoto wasipate masomo bora na hata kutomaliza shule kwa sababu ya kukosa karo. Lishe bora pia inakuwa ni tatizo, yaani balanced diet.
Uchina wameshakua wengi angalia na idadi yao,bro chanzo cha mapato sio mshahara peke yake,unaweza pata fedha kwa kilimo mifugo na biashara, Mimi home wazazi ni watumishi na wafanyabiashara,tumekulia katika mazingira ya kufanya kazi na kujituma,tupo wengi lakini wote tumesoma na tunajua kutafuta pesa,Hapa tuelewane kabisa kufanya kazi na kujituma sio lelemama...
Na tumelelewa na ndugu na wakasoma sahivi wanamaisha yao!!Nasisitiza hata mue wawili kama hamzalishi mtakua masikini hohehae
 
unakaa unaweza bishana na radio!

Kwenye mambo ya radiation tunawa-train!

Tanzania Now Trains Africans On Nuclear Technology​

8 JUNE 2020
Tanzania Daily News (Dar es Salaam)
By Deus Ngowi
TANZANIA Atomic Energy Commission (TAEC), has efficaciously completed intensive training on radio-analytical course in nuclear technology to participants from seven African countries.

The three months training organised by the TAEC in collaboration with the European Union (EU) was specifically on analytical techniques and majored on radio-analytical chemistry, as a field in simultaneous analytical chemistry and applied radiochemistry that is concerned primarily with the use of radionuclides and ionizing radiation for analytical purposes.

Is kenya one of the countries?
 
Back
Top Bottom