Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unachekesha Sana, unasema adhabu should be reasonable, tuambie wewe hiyo reasonable ni ipi kwa upande wako?, Umesikia kilichomkuta R Kelly huko Marekani?, amechezea 30 safi kabisa.

Wewe ni mtu usiyejua lolote zaidi ya kupiga Domo,
1)Kwanza hii Sheria sio ya Magufuli, hii Sheria ilitungwa na Nyerere na ndiyo ilikua ilitumika miaka yote, Samia ndiye rais wa kwanza kuibadilisha, Sasa Kati ya Nyerere na Marais wengine wote waliopita na Samia *who is who?".

Kwahiyo wewe hujui lolote kuhusu mfumo uliokuwepo wa kusoma nje ya mfumo rasmi?, Putia YouTube tafuta hotuba za Professor Ndalichako akijibu swali akiwa Bingeni mwaka juzi.

Kama umefika Iringa, nenda pale Ipogolo Kama unaelekea Kilolo, utakuta shule maalumu ya hao wenye watoto.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Mkuu unapoteza muda wako.
Chuki dhidi ya nchi yake Tanzania zilianzia hapa, tazama video.
Yaani eti mtu unachukia nchi yako kisa kupishana baadhi ya vitu ama kutofautiana baadhi ya vitu.

Yaani tuwe vyama tofauti vya siasa halafu eti isababishe nichukie nchi yangu!
 
Danganyika SGR itabeba 7m passengers mwaka gani?
Screenshot_20220707-092231.jpg
 
Kwa standards za Marekani, an average middle class household is a millionaire in Tanzania. Imagine how big the middle class in America is.

The idea here isn’t to create more ultra high net worth individuals, but rather to close the wealth gap that exists!! Do you think individual efforts are enough to facilitate that?

So, your advice to the people who need to become rich is to quit their jobs and get onto the streets na “kupambana mtaani?”

Even in America, there’s an idea of making the rich pay to make life better for everyone. It’s not hate, it’s a way to make society more equitable. For instance, there’s a call to TAX THE RICH. Why? Because that tax money could be used to make life better for everyone else who isn’t a billionaire.

If I’m getting this right, you’re saying that CCM should sit down and do absolutely nothing and let you people figure out everything by yourselves? Kweli watanzania wanatumia asilimia moja ya akili zao. At least speak for yourself! I know so many people who are willing to receive support. If you don’t want it, that’s fine. But many others would want help.

Huo msingi imara unaotaka kuwaachia watoto wako ni msingi gani haswa? Watanzania mnapenda maneno Mengi lakini action hakuna. Please elaborate if you don’t mind.
What has America done to tax the rich, imagine mpaka raisi wenu alikua halipi kodi ila bado mkamchagua Afadhali ungesema china bcoz the wealth gap in China is far much less than America alafu na swali moja dogo hvi ukifanikiwa kuwa na biashara kubwa utamrithisha nani biashara yako ukizeeka
 
Mkuu unapoteza muda wako.
Chuki dhidi ya nchi yake Tanzania zilianzia hapa, tazama video.
Yaani eti mtu unachukia nchi yako kisa kupishana baadhi ya vitu ama kutofautiana baadhi ya vitu.

Yaani tuwe vyama tofauti vya siasa halafu eti isababishe nichukie nchi yangu!
Mkuu Asante Sana, sikua ninamfahamu vizuri, nimesha achana Naye.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unapoteza muda wako.
Chuki dhidi ya nchi yake Tanzania zilianzia hapa, tazama video.
Yaani eti mtu unachukia nchi yako kisa kupishana baadhi ya vitu ama kutofautiana baadhi ya vitu.

Yaani tuwe vyama tofauti vya siasa halafu eti isababishe nichukie nchi yangu!

Huyu baba alikuwa mnafiki hapo zaidi ya $1 bln ikipelekwa Chato bila kupitishwa na Bunge! Plan ikiwa kumega Kigoma na Kagera. Saahii kuna migogoro huko!
 
Zingekuwa za kenya si zingekuwa zinatembea zenyewe wewe huoni zimebebwa na low loader for transit.

Halafu Rwanda wana brt na Uganda wamekuja benchmarking Dar nao wanaanzisha brt nyie hayo mabasi ya brt mtatumia wapi wakati level yenu ni converted lorries.
So just because they are on a low loader inamaanisha they are destined for Rwanda? Is that the only proof you have?!

First, Kigali has not built a brt system, they are still doing feasibility studies sasa hayo mabasi yanaenda kufanya nini huko?

Lastly, those are electric buses. I haven't read anywhere that Kigali is planning to use electric buses in their proposed brt system. Sasa haya madai yako umeyatoa wapi bongolala?

As of October 2021, they were still doing a feasibility study
 
Mafanikio yangu unayafahamu? Do you know what my net worth is? Niko hapa nazungumza kwasababu ninataka kila mtu apate fursa ya kumsaidia kimaisha. Nimuonee wivu mtu asiyenijua inanisaidia nini? It’s funny because you’ve mentioned all those successful people who own multiple businesses, not just in their countries of origin, but also abroad. Would it be okay if Dangote only hired Nigerians in his Mtwara cement plant? I suggest you visit Microsoft’s diversity and inclusion report so you can see how firms in the United States are trying to make sure that they hire talent from different race groups, because white people aren’t the only qualified candidates for the jobs!

Kuwapa fursa ndugu zako sio kosa. Kosa ni pale unapo-deny watu wengine fursa ambao wana qualifications za juu zaidi ya ndugu zako. Utaajiri watu watakaokuwa wanakaa tu kwasababu wana kazi lakini mtu ambaye ana passion na ustadi wa kazi anaweza kuleta mabadiliko makubwa.

Halafu usiwe mjinga ku-distract hii argument from reality. 98% of the people living in Japan are Japanese. Imagine if the top 1% of income earners in Japan were not of Japense descent. How would that make the majority of the population feel? It makes sense that employees and executives at a Toyota factory in Japan are Japanese. The Japanese are very educated and highly skilled!

But the situation is different in Tanzania, where most wealth is controlled by racial MINORITIES(Arabs and Indians and Pakistanis). Look at how stupid your argument is!
I agree with you that both Kenya and Tanzania have this problem of racial minorities controlling a big chunk of the economy. However, I need to clarify that this problem is far worse in Tanzania than in Kenya. Even without getting into too much details, I will just give you a simple anecdote that will prove my point. The richest Kenyan of Indian origin is Vimal Shah whose networth is estimated by forbes to be worth $500 million. He is also the richest Kenyan. Remember Kenya is a country with a gdp of $114 billion according to IMF. By the way Kenyans of Arab descent are not that wealthy, this is different in Tanzania where the Arabs there are extremely wealthy. Now compare these Kenyan figures with Tanzanian figures where Mo's networth is estimated at more than $2 billion. Rostam's networth is probably $1 billion. Bakhresa family's networth is also probably close to $1 billion. These are three different minority families each having a networth of more than $1 billion. This is sad considering that Tanzania has a gdp of $77 billion. So the richest man in Kenya has a networth of $500 million while the richest man in Tanzania has a networth of more than $2 billion despite Kenya having a much bigger economy than Tanzania. It is clear from this data that wealth inequality between the majority and minority race is a much bigger problem in Tanzania than in Kenya. A more detailed study could be done maybe by a scholar doing phd to understand this problem of racial economic disparity better, mine was just anecdotal but it is clear that this problem is much worse in Tanzania than in Kenya.
 
Kuna company inaitwa lake oil ime take over oil business in Kenya, kuna Mohamed enterprises anayemiliki ni tajiri kuliko Bakhressa wa Azam japo mm siamini, kuna Oil com ambayo ndani yake kuna Milkom, and Watercom, kuna Asas, kuna IPP, kuna TRH, kuna GSM kuna Taifa Gas yn hizo ni chache kati ya kampuni kubwa za Tz ambazo nadhani unaona wanapoamua kuwekeza Kunyaland basi kampuni moja inazidi investment yote ya kampuni 500 za Kenya zilizowekeza only $0.5b hapa Tz.
Eti lake Oil imetake over oil business in Kenya? 😂😂😂😂😂
Wewe ni kichaa.
Lake Oil has a total of 40 gas stations in a country with more than 1,800 such stations. Hiyo ndio kutake over??
 
Back
Top Bottom