Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Inanishangaza kuwa kuna watu wenye akili “timamu” wana mawazo kama yako. Businesses are always regulated. Magufuli alivyokuwa anasitisha appointment za CEOs from abroad na ku-suggest watanzania waajiriwe unadhani alikuwa anafanya nini? EQUAL OPPORTUNITY! That’s the phrase and repeat it until it’s stuck in your head. As a president, it would be in my best interest to ensure that business operate as efficiently as possible, because those firms are the engines of my economy. If you owned a business, you’d understand how important it is to lower your operating costs, and those are partly created by lazy, unskilled, unnecessary labor. If you hire someone with great experience, whether or not they are your relative, they will absolutely be a great addition to your firm.Tatizo hujui unalozungumza, unarukaruka bila kujua nini unazungumza
1)Kuhusu Dangotte kuajiri raia wa Nigeria kule Mtwara, kwani hao wanigeria ni raia wa Tanzania?, Nimesema mtu yeyote yupo huru kumuajiri raia yeyote wa Tanzania anayempenda, hakuna Sheria ya nchi inayomtaka kuajiri watu, yeye anachojali ni mafanikio ya biashara yake, hata aliamua kuajiri ukoo wake pekee, hiyo ni haki yake.
Kama Dangotte alifanikiwa kuhamisha ndugu zake na kuwapa urai wa Tanzania na kwa idadi Yao inatosha wao pekee kufanya kazi anayo haki ya kuajiri wao pekee tu, hakuna Sheria yoyote inayomzuia. Habari ya kwamba kutoa fursa sawa kwa ajira, Hilo ni kukumu la serikali sio la mtu binafsi, mtu binafsi anachoangalia ni ufanisi wa kazi na familia yake.
Kuhusu wajapani kwamba huko 99% ni Wajapan na wakati hapa Tanzania sio hivyo, hapa ndio hasa wivu na hasira zako kwa wahindi unapojitokeza, kote huko ulikua unapita tu, ukweli ni kwamba unachuki Sana kwa watanzania wenya asili ya India na Arabuni kwasababu ya mafanikio Yao, hii ndio sababu nilidhani wewe ni Mkenya.
Hawa ni watanzania kama watanzania wengine. Wewe ni kaburu mweusi, unakifanya wewe ni mtanzania zaidi ya wengine(mzawa),punguzs wivu na chuki zako. Hizo ni biashara zao Kama zilivyo biashara zetu nyingi tu ambazo tunaziendesha na tumeajiri ndugu na jamaa zetu, tofauti ni kwamba zimekua kubwa, ila lengo ni kusaidia familia zetu, Sheria za ajira zinazotawala biashara ya duka, daladala au kiosk, ni ileile inayotawala makampuni ya Azam.
Mkuu, tujitahidi na sisi kuwekeza ili watoto wetu wapate uhakika wa ajira, hii tabia ya kulalamika na kuwachukia watu wa jamii Fulani kwasababu hawatoi fursa kwa wengine katika biashara zao binafsi ni tabia ya kishamba na kichawi, achana nayo.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Halafu, please don’t be delusional. Usinipachikie character ya uongo. I have nothing against Arabs or Indians. What I really want is to see more people of African descent in higher positions. Is that too much to ask without being called a racist?
Unavyosema “tujitahidi na sisi kuwekeza” where the hell do you think you’ll find the means to do that? If you were born poor, how would you access capital? And this is what I’ve been talking about all along! The government has failed us. Your government can be the reason to lift you up from the deep trenches you’re in. But only a fool would think they’re able to do it all by themselves!