7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Yani Tz inawanyima usingizi kweli kweli, yameona yaige bus za BRT Tz alafu yakaongopewa ni electric, nawaambia igeni vyote ila mkae mkijua BRT ni system iliwapasa muanze kuiga miundombinu kwanza ya BRT kitu ambacho hamtakaa mfaulu mana ka Nairobi hakafai kuweka infrastructures za BRT labda mkabomoe kote muanze upya, wenzenu tulikuwa na mipango ya miaka 500 mbele ndiyo maana ni rahisi kuweka BRT system.
Btw hizo buses c mnajenga wenyewe? Imekuwaje tena muitoe bandarini wkt buses za Tz mnatengeneza nyie alafu mnazipakia kwenye meli inayotoka ulaya zen mnazileta Tz![]()












