The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
BRT bus made in Kenya by kenyans for kenyans, imetengenezwa Kenya ikapakiwa kwenye meli inayotoka ulaya ikarudishwa Kenya kupitia Mombasa jua kali port 








Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.Ushauri wako ni kuwafukuza shule ili waache kufanya sex? Teenage pregnancies aren’t necessarily caused by consensual intercourse between two teens experimenting. Some teen pregnancies are caused by rape, intimidation, poverty, and a lack of sex education in schools. Kuna story niliiona imetrend mtandaoni kuna watoto wakike wa secondary Dodoma inabidi wakubali kufanya unprotected sex na makondakta wa daladala kwasababu hawawezi ku-afford nauli.
Hata wakati Mwendazake alikuwa ame-ban pregnant teens from attending school, there were record breaking teenage pregnancy rates in some regions. This topic needs to be studied extensively and solutions must never prevent anyone from accessing education.
That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.The fact that Arabs and Indians control vast amounts of wealth does have roots in colonialism. What strikes me the most is how very few they are relative to black Africans yet their hands are on so much wealth in this country, and the same applies for Kenya.
Usually, they are very secluded from the general public. And their living standards are somewhat “much better” than average natives. You’ll find their children in good private schools and most of them go to university abroad to get the best education so they can take over their family’s businesses (generational wealth).
If they own companies, you’ll most likely find the top executives and high ranking employees being of their own race. Or you’ll notice that they are related in some way. It’s very unlikely to meet an African executive in an Indian or Arab company.
So, what has the government of Tanzania have in plan to ensure equal opportunity for everyone in the country?
Huna akili wewe, chukua population density za hizo nchi, Sasa utalinganisha Tanzania 60M na Kenya 48M wakati Tanzania ni kubwa mara mbili ya Kenya?, Katika uwiano wa ardhi na idadi ya watu, Tanzania tulipaswa kuwa 80M Kama Kenya ni 48M. Au Kama Tanzania ni 60M, Kenya mlipaswa kuwa 35M, ninyi mnazaana hovyo bila kujali "resources" zilizopo.Wewe ni fala all this countries umemention hapa have a higher population than kenya, congo 100m, Ethiopia 100m, nigeria 200m, Tanzania over 60m thinkidiots
Huyo ni Mtanzania mwenzako wewe. Usimbatize uraia wa Kenya.That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.
On other hand in Kenya, almost 75% of government" high ranking posts are occupied by only two tribes, Kikuyu and Kalenjin. It is the responsibility of government to make sure that there is equity on government jobs posts not in family businesses.
Why don't you ask your government to make sure that there is equality instead you are concerned with private/family matter?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkenya huyo anatumia kivuli cha TanzaniaHuyo ni Mtanzania mwenzako wewe. Usimbatize uraia wa Kenya.
Tangu lini wakenya mumeanza kukienzi Kiswahili?, au kwasababu mumeona Tanzania tumefanikiwa kukipenyeza Kiswahili duniani?, Msikilize mkenya mwenzako anavyoeleza jinsi mnavyowadhalilisha wanaozungumza Kiswahili huko Kenya.yani kenya tunakienzi sana kiswahili, kwani ndo lugha ya taifa
naona pia wagandrée ndo hawa, wanagutuka sshvi
View attachment 2282958View attachment 2282959View attachment 2282960
So, let me get this right; it’s completely okay with you that 99% of the top 10 richest Tanzanians aren’t of African descent? Wouldn’t you agree that there’s an issue with the way opportunity is spread out among the people of this country? What is it about Indians and Arabs that makes them so wealthy compared to Tanzanians of African descent? Obviously it’s generational wealth; old money circulates within the same families and the government does very little to absolutely nothing to ensure that there’s equal opportunity for everyone to attain wealth.That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.
On other hand in Kenya, almost 75% of government" high ranking posts are occupied by only two tribes, Kikuyu and Kalenjin. It is the responsibility of government to make sure that there is equity on government jobs posts not in family businesses.
Why don't you ask your government to make sure that there is equality instead you are concerned with private/family matter?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nimekuita mkenya kutokana na jinsi unavyojenga hoja zako. Ngoja nikuulize, hivi wewe ukianzisha duka au biashara yako ya kufuga kuku au hata ya kuchimba madini, lengo la biashara yako ni ipi Kama sio kusaidia familia yako?.So, let me get this right; it’s completely okay with you that 99% of the top 10 richest Tanzanians aren’t of African descent? Wouldn’t you agree that there’s an issue with the way opportunity is spread out among the people of this country? What is it about Indians and Arabs that makes them so wealthy compared to Tanzanians of African descent? Obviously it’s generational wealth; old money circulates within the same families and the government does very little to absolutely nothing to ensure that there’s equal opportunity for everyone to attain wealth.
From educational opportunities to accessing capital to employment opportunities, the government has turned its back on us.
Those “family businesses” are multinational corporations that literally drive the economy of this country and you’re so oblivious to believe that they should run their businesses however they like. If there’s a job opening and someone of African descent who is more qualified than a family member will probably not get the job because of nepotism. Nepotism kills creativity, productivity, and efficiency! It’s one of the main reasons why our economies are so stagnant.
And stop with this cheap and pathetic troll of yours… calling me a Kenyan. I am not! You aren’t used to criticism from within and it makes you feel hesitant to accept that there are problems in your own back yard!
Hiyo asilimia 90% ya Mimba za watoto kwamba zinatokana na consensual sex umeitoa wapi? Una research study ya ku-support stats zako?Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Samia amekosea sana kubadilisha sheria iliyotisha wasichana kupata mimba shuleni, tutakua taifa la ajabu sana lisilo na dira.Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.
Mafanikio yangu unayafahamu? Do you know what my net worth is? Niko hapa nazungumza kwasababu ninataka kila mtu apate fursa ya kumsaidia kimaisha. Nimuonee wivu mtu asiyenijua inanisaidia nini? It’s funny because you’ve mentioned all those successful people who own multiple businesses, not just in their countries of origin, but also abroad. Would it be okay if Dangote only hired Nigerians in his Mtwara cement plant? I suggest you visit Microsoft’s diversity and inclusion report so you can see how firms in the United States are trying to make sure that they hire talent from different race groups, because white people aren’t the only qualified candidates for the jobs!Nimekuita mkenya kutokana na jinsi unavyojenga hoja zako. Ngoja nikuulize, hivi wewe ukianzisha duka au biashara yako ya kufuga kuku au hata ya kuchimba madini, lengo la biashara yako ni ipi Kama sio kusaidia familia yako?.
Kwahiyo hiyo biashara hata iwe kubwa kiasi gani, lengo kuu ni kusaidia ndugu na jamaa zako, lazima utawapa ajira ndugu zako, kitu kitakachokufanya uende kuajiri mtu mwengine ni uwezo wake na masharti ya vyombo vya fedha vinavyokupa mikopo, hakuna Sheria ya nchi inayokulazimisha utoe ajira, unaweza kuajiri mtanzania yeyote yule vile upendavyo.
Hiyo hufanyika duniani kote, nenda Japan ktk kampuni la Toyota, nenda Nigeria kwenye makampuni ya Dangotte, Nenda Marekani kwa Bill gate, zunguka duniani kote.
Ninachokiona ndani mwako ni chuki na wivu kwa baadhi ya jamii za watu hasa waliofanikiwa, kwanini usihoji mafanikio ya wachagga na wakinga ambao nao wanafanya vizuri Sana. Kwanini humtaji Reginald Mengi ambaye aliajiri watoto wake wawili na mdogo wake kuwa ndio wakurugenzi wa makampuni yake?
Wahindi ni wafanya biashara wazuri duniani kote na sio Tanzania au Africa pekee, wamesambaa duniani kote kutafuta maisha kwa zaidi ya Karne 4 Sasa, unataka kujilinganisha na wewe unayepiga Domo tupu?. Punguza wivu na chuki kwa watu waliofanikiwa, ongeza bidii ya kazi na nidhamu katika maisha.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tangu lini wakenya mumeanza kukienzi Kiswahili?, au kwasababu mumeona Tanzania tumefanikiwa kukipenyeza Kiswahili duniani?, Msikilize mkenya mwenzako anavyoeleza jinsi mnavyowadhalilisha wanaozungumza Kiswahili huko Kenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya sio nchi masikini sana na vitu vidogo kama baa la njaa tunastahili kuwa tumelimaliza by now. Hilo ni jambo kidogo sana kwa serikali ya Kenya yenye budget kubwa kupindukia. Budget ya Kenya ya $31 billion ni kubwa kushinda budget ya Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda kwa pamoja. Sasa sijui tunashindwa vipi kumaliza njaa.
Hata Tanzania Kiingereza kinaonekana kama ishara ya high social class. Mtu anayezungumza Kiingereza anaonekana tajiri na msomi. I think Kiswahili kingekuwa lugha ya kitaaluma basi mambo yangekuwa tofauti.huyu kaka kanena ukweli, hivi huku kenya ukiingia afisi yote, either iwe public ama private kisha ukanonga kwa kiswahili, ata iwe mufti namna gani, utaonwa chini sana..
na ikiwa utakua unajaribu kuomba kazi huku ukinonga kiswahili, hio kazi sahau! ata kama umeitimu na umejihami na vyeti zote zinazo hitajika. maana kiswahili inachukuliwa kama ya lugha ya watchmen, drivers, housemaids, manamba, mama mboga, mama ntilie, cooks na watu wanao endesha bodaboda ama baskeli.
kweli katiba inaimiza kiswahili kitumike mahali popote ata iwe afisi ama parliament, lakini my broda vitu kwa ground ni different.. karibu sana kenya. utajua haujui
Tatizo hujui unalozungumza, unarukaruka bila kujua nini unazungumzaMafanikio yangu unayafahamu? Do you know what my net worth is? Niko hapa nazungumza kwasababu ninataka kila mtu apate fursa ya kumsaidia kimaisha. Nimuonee wivu mtu asiyenijua inanisaidia nini? It’s funny because you’ve mentioned all those successful people who own multiple businesses, not just in their countries of origin, but abroad. Would it be okay if Dangote only hired Nigerians in his Mtwara cement plant? I suggest you visit Microsoft’s diversity and inclusion report so you can see how firms in the United States are trying to make sure that they hire talent from different races, because white people aren’t the only qualified candidates for the jobs!
Kuwapa fursa ndugu zako sio kosa. Kosa ni pale unapo-deny watu wengine fursa ambao wana qualifications za juu zaidi ya ndugu zako. Utaajiri watu watakaokuwa wanakaa tu kwasababu wana kazi lakini mtu ambaye ana passion na ustadi wa kazi anaweza kuleta mabadiliko makubwa.
Halafu usiwe mjinga ku-distract hii argument from reality. 98% of people living in Japan are Japanese. Imagine if the top 1% of income earners in Japan were not of Japense descent. How would that make the majority of the population feel? It makes sense that employees and executives at a Toyota factory in Japan are Japanese. The Japanese are very educated and highly skilled!
But the situation is different in Tanzania, where most wealth is controlled by racial MINORITIES(Arabs and Indians and Pakistanis). Look at how stupid your argument is!
Kwahiyo umejitia dole mwenyewe kisha unanusa sio?, Uliposema Kenya mnakienzi Kiswahili ulikua una maana gani?huyu kaka kanena ukweli, hivi huku kenya ukiingia afisi yote, either iwe public ama private kisha ukanonga kwa kiswahili, ata iwe mufti namna gani, utaonwa chini sana..
na ikiwa utakua unajaribu kuomba kazi huku ukinonga kiswahili, hio kazi sahau! ata kama umehitimu na umejihami na vyeti zote zinazo hitajika. maana kiswahili inachukuliwa kama ya lugha ya watchmen, drivers, housemaids, cooks, manamba, mama mboga, mama ntilie, na watu wanao endesha bodaboda ama baskeli.
kweli katiba inaimiza sana kiswahili kitumike mahali popote ata iwe afisi ama parliament, lakini my broda vitu kwa ground ni different.. karibu sana kenya.. utazoea tu


