Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BRT bus made in Kenya by kenyans for kenyans, imetengenezwa Kenya ikapakiwa kwenye meli inayotoka ulaya ikarudishwa Kenya kupitia Mombasa jua kali port
tapatalk_665718419_360x462.jpg
 
Ushauri wako ni kuwafukuza shule ili waache kufanya sex? Teenage pregnancies aren’t necessarily caused by consensual intercourse between two teens experimenting. Some teen pregnancies are caused by rape, intimidation, poverty, and a lack of sex education in schools. Kuna story niliiona imetrend mtandaoni kuna watoto wakike wa secondary Dodoma inabidi wakubali kufanya unprotected sex na makondakta wa daladala kwasababu hawawezi ku-afford nauli.

Hata wakati Mwendazake alikuwa ame-ban pregnant teens from attending school, there were record breaking teenage pregnancy rates in some regions. This topic needs to be studied extensively and solutions must never prevent anyone from accessing education.
Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
The fact that Arabs and Indians control vast amounts of wealth does have roots in colonialism. What strikes me the most is how very few they are relative to black Africans yet their hands are on so much wealth in this country, and the same applies for Kenya.

Usually, they are very secluded from the general public. And their living standards are somewhat “much better” than average natives. You’ll find their children in good private schools and most of them go to university abroad to get the best education so they can take over their family’s businesses (generational wealth).

If they own companies, you’ll most likely find the top executives and high ranking employees being of their own race. Or you’ll notice that they are related in some way. It’s very unlikely to meet an African executive in an Indian or Arab company.

So, what has the government of Tanzania have in plan to ensure equal opportunity for everyone in the country?
That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.

On other hand in Kenya, almost 75% of government" high ranking posts are occupied by only two tribes, Kikuyu and Kalenjin. It is the responsibility of government to make sure that there is equity on government jobs posts not in family businesses.

Why don't you ask your government to make sure that there is equality instead you are concerned with private/family matter?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni fala all this countries umemention hapa have a higher population than kenya, congo 100m, Ethiopia 100m, nigeria 200m, Tanzania over 60m think idiots
Huna akili wewe, chukua population density za hizo nchi, Sasa utalinganisha Tanzania 60M na Kenya 48M wakati Tanzania ni kubwa mara mbili ya Kenya?, Katika uwiano wa ardhi na idadi ya watu, Tanzania tulipaswa kuwa 80M Kama Kenya ni 48M. Au Kama Tanzania ni 60M, Kenya mlipaswa kuwa 35M, ninyi mnazaana hovyo bila kujali "resources" zilizopo.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 


FW98NgtXoAE8OeN



FW98OB5XgAEg3o1



FW98OOSXwAEEZmi



FW98OxGXkAAGavH



MY TAKE
Kuna Mpumbavu alikuwa anasema ati Mwanza port haina slipway! Sasa meli height ya 17-metre wide, 20-metre high (about 7 floors) na length nearly 93 m inatosha vipi na kind of slipway ya Mombasa?

FG4D0rmWYAApZ0q


FG4D0roXIAgl8yD


CC: Nicxie n nairobae

Hii ndio ile meli ya Mwanza sio? Hapa nampongeza Magu kwa wazo hili la kujenga meli hii. Capacity yake ni gani? Inaweza kubeba watu au mizigo kiasi gani?
 
That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.

On other hand in Kenya, almost 75% of government" high ranking posts are occupied by only two tribes, Kikuyu and Kalenjin. It is the responsibility of government to make sure that there is equity on government jobs posts not in family businesses.

Why don't you ask your government to make sure that there is equality instead you are concerned with private/family matter?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huyo ni Mtanzania mwenzako wewe. Usimbatize uraia wa Kenya.
 
That is in private sector, those are family businesses, they can employ their family members the way they wish so long as they are Tanzanians.

On other hand in Kenya, almost 75% of government" high ranking posts are occupied by only two tribes, Kikuyu and Kalenjin. It is the responsibility of government to make sure that there is equity on government jobs posts not in family businesses.

Why don't you ask your government to make sure that there is equality instead you are concerned with private/family matter?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
So, let me get this right; it’s completely okay with you that 99% of the top 10 richest Tanzanians aren’t of African descent? Wouldn’t you agree that there’s an issue with the way opportunity is spread out among the people of this country? What is it about Indians and Arabs that makes them so wealthy compared to Tanzanians of African descent? Obviously it’s generational wealth; old money circulates within the same families and the government does very little to absolutely nothing to ensure that there’s equal opportunity for everyone to attain wealth.

From educational opportunities to accessing capital to employment opportunities, the government has turned its back on us.

Those “family businesses” are multinational corporations that literally drive the economy of this country and you’re so oblivious to believe that they should run their businesses however they like. If there’s a job opening and someone of African descent who is more qualified than a family member will probably not get the job because of nepotism. Nepotism kills creativity, productivity, and efficiency! It’s one of the main reasons why our economies are so stagnant.

You’re too quick to criticize others knowing fully well that a single political party has been in power for decades yet the country is in sheer poverty. Tribalism in Kenya is horrible, but whatever bullshit we have in TZ is not so different.

And stop with this cheap and pathetic troll of yours… calling me a Kenyan citizen. I am not! You aren’t used to criticism from within and it makes you feel hesitant to accept that there are problems in your own back yard!
 
So, let me get this right; it’s completely okay with you that 99% of the top 10 richest Tanzanians aren’t of African descent? Wouldn’t you agree that there’s an issue with the way opportunity is spread out among the people of this country? What is it about Indians and Arabs that makes them so wealthy compared to Tanzanians of African descent? Obviously it’s generational wealth; old money circulates within the same families and the government does very little to absolutely nothing to ensure that there’s equal opportunity for everyone to attain wealth.

From educational opportunities to accessing capital to employment opportunities, the government has turned its back on us.

Those “family businesses” are multinational corporations that literally drive the economy of this country and you’re so oblivious to believe that they should run their businesses however they like. If there’s a job opening and someone of African descent who is more qualified than a family member will probably not get the job because of nepotism. Nepotism kills creativity, productivity, and efficiency! It’s one of the main reasons why our economies are so stagnant.

And stop with this cheap and pathetic troll of yours… calling me a Kenyan. I am not! You aren’t used to criticism from within and it makes you feel hesitant to accept that there are problems in your own back yard!
Nimekuita mkenya kutokana na jinsi unavyojenga hoja zako. Ngoja nikuulize, hivi wewe ukianzisha duka au biashara yako ya kufuga kuku au hata ya kuchimba madini, lengo la biashara yako ni ipi Kama sio kusaidia familia yako?.

Kwahiyo hiyo biashara hata iwe kubwa kiasi gani, lengo kuu ni kusaidia ndugu na jamaa zako, lazima utawapa ajira ndugu zako, kitu kitakachokufanya uende kuajiri mtu mwengine ni uwezo wake na masharti ya vyombo vya fedha vinavyokupa mikopo, hakuna Sheria ya nchi inayokulazimisha utoe ajira, unaweza kuajiri mtanzania yeyote yule vile upendavyo.

Hiyo hufanyika duniani kote, nenda Japan ktk kampuni la Toyota, nenda Nigeria kwenye makampuni ya Dangotte, Nenda Marekani kwa Bill gate, zunguka duniani kote.

Ninachokiona ndani mwako ni chuki na wivu kwa baadhi ya jamii za watu hasa waliofanikiwa, kwanini usihoji mafanikio ya wachagga na wakinga ambao nao wanafanya vizuri Sana. Kwanini humtaji Reginald Mengi ambaye aliajiri watoto wake wawili na mdogo wake kuwa ndio wakurugenzi wa makampuni yake?

Wahindi ni wafanya biashara wazuri duniani kote na sio Tanzania au Africa pekee, wamesambaa duniani kote kutafuta maisha kwa zaidi ya Karne 4 Sasa, unataka kujilinganisha na wewe unayepiga Domo tupu?. Punguza wivu na chuki kwa watu waliofanikiwa, ongeza bidii ya kazi na nidhamu katika maisha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hiyo asilimia 90% ya Mimba za watoto kwamba zinatokana na consensual sex umeitoa wapi? Una research study ya ku-support stats zako?

We all like the idea that teenagers, whose bodies have begun undergoing sexual maturity, are responsible and they can completely ignore their sexual awakening, which is completely false. Religion teaches them that premarital sex will send them to hell, but schools should teach them EVERYTHING about sex! From health risks to social and economic issues related to young parenthood, they need to know all of it! As a matter of fact, they need to know that when they cannot stop themselves from having sex, they should ALWAYS use protection.

Educating children about sex will certainly make a huge difference. But we cannot stop pedophiles and sexual predators from reaching our kids. This is where criminal justice comes in.

Households are also very poor; some kids would easily accept “chipsi mayai” or other regular gifts in exchange for sex because their parents cannot afford it!

It’s ridiculous when some of you think it’s a good idea to send a teenage boy to spend 30 years behind bars and a pregnant teen girl to be kept away from school. Are you out of your f*cking minds?

Samia has made a good decision, but she mustn’t stop here. This issue needs careful and special attention. The way forward should consist of multiple solutions to combat the problem, not just sitting down and ignoring it.
 
Punguza maneno mengi, zaidi ya 90% ya hizi mimba hutokana na makubaliano Yao, haya Mambo yanahitaji serikali na jamii kuweka Sheria Kali kuhakikisha hayapewi nafasi ktk jamii, huu ni uhalifu Kama wizi, ujambazi, uwindaji haramu, madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini, lazima kuwe na Sheria Kali, Kama tukiendelea kucheka na hili suala Kama anavyofanya Samia, ndani ya miaka 5 ijayo Tanzania tutakuwa sawasawa na Kenya.
Samia amekosea sana kubadilisha sheria iliyotisha wasichana kupata mimba shuleni, tutakua taifa la ajabu sana lisilo na dira.
 
Nimekuita mkenya kutokana na jinsi unavyojenga hoja zako. Ngoja nikuulize, hivi wewe ukianzisha duka au biashara yako ya kufuga kuku au hata ya kuchimba madini, lengo la biashara yako ni ipi Kama sio kusaidia familia yako?.

Kwahiyo hiyo biashara hata iwe kubwa kiasi gani, lengo kuu ni kusaidia ndugu na jamaa zako, lazima utawapa ajira ndugu zako, kitu kitakachokufanya uende kuajiri mtu mwengine ni uwezo wake na masharti ya vyombo vya fedha vinavyokupa mikopo, hakuna Sheria ya nchi inayokulazimisha utoe ajira, unaweza kuajiri mtanzania yeyote yule vile upendavyo.

Hiyo hufanyika duniani kote, nenda Japan ktk kampuni la Toyota, nenda Nigeria kwenye makampuni ya Dangotte, Nenda Marekani kwa Bill gate, zunguka duniani kote.

Ninachokiona ndani mwako ni chuki na wivu kwa baadhi ya jamii za watu hasa waliofanikiwa, kwanini usihoji mafanikio ya wachagga na wakinga ambao nao wanafanya vizuri Sana. Kwanini humtaji Reginald Mengi ambaye aliajiri watoto wake wawili na mdogo wake kuwa ndio wakurugenzi wa makampuni yake?

Wahindi ni wafanya biashara wazuri duniani kote na sio Tanzania au Africa pekee, wamesambaa duniani kote kutafuta maisha kwa zaidi ya Karne 4 Sasa, unataka kujilinganisha na wewe unayepiga Domo tupu?. Punguza wivu na chuki kwa watu waliofanikiwa, ongeza bidii ya kazi na nidhamu katika maisha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mafanikio yangu unayafahamu? Do you know what my net worth is? Niko hapa nazungumza kwasababu ninataka kila mtu apate fursa ya kumsaidia kimaisha. Nimuonee wivu mtu asiyenijua inanisaidia nini? It’s funny because you’ve mentioned all those successful people who own multiple businesses, not just in their countries of origin, but also abroad. Would it be okay if Dangote only hired Nigerians in his Mtwara cement plant? I suggest you visit Microsoft’s diversity and inclusion report so you can see how firms in the United States are trying to make sure that they hire talent from different race groups, because white people aren’t the only qualified candidates for the jobs!

Kuwapa fursa ndugu zako sio kosa. Kosa ni pale unapo-deny watu wengine fursa ambao wana qualifications za juu zaidi ya ndugu zako. Utaajiri watu watakaokuwa wanakaa tu kwasababu wana kazi lakini mtu ambaye ana passion na ustadi wa kazi anaweza kuleta mabadiliko makubwa.

Halafu usiwe mjinga ku-distract hii argument from reality. 98% of the people living in Japan are Japanese. Imagine if the top 1% of income earners in Japan were not of Japense descent. How would that make the majority of the population feel? It makes sense that employees and executives at a Toyota factory in Japan are Japanese. The Japanese are very educated and highly skilled!

But the situation is different in Tanzania, where most wealth is controlled by racial MINORITIES(Arabs and Indians and Pakistanis). Look at how stupid your argument is!
 
Tangu lini wakenya mumeanza kukienzi Kiswahili?, au kwasababu mumeona Tanzania tumefanikiwa kukipenyeza Kiswahili duniani?, Msikilize mkenya mwenzako anavyoeleza jinsi mnavyowadhalilisha wanaozungumza Kiswahili huko Kenya.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

huyu kaka kanena ukweli, hivi huku kenya ukiingia afisi yote, either iwe public ama private kisha ukanonga kwa kiswahili, ata iwe mufti namna gani, utaonwa chini sana..
na ikiwa utakua unajaribu kuomba kazi huku ukinonga kiswahili, hio kazi sahau! ata kama umehitimu na umejihami na vyeti zote zinazo hitajika. maana kiswahili kinachukuliwa kama ya lugha ya watchmen, drivers, housemaids, cooks, manamba, mama mboga, mama ntilie, na watu wanao endesha bodaboda ama baskeli.
kweli katiba inahimiza sana kiswahili kitumike mahali popote ata iwe afisi ama parliament, lakini my broda kwa ground vitu ni different.. karibu sana kenya.. utazoea tu
 
Kenya sio nchi masikini sana na vitu vidogo kama baa la njaa tunastahili kuwa tumelimaliza by now. Hilo ni jambo kidogo sana kwa serikali ya Kenya yenye budget kubwa kupindukia. Budget ya Kenya ya $31 billion ni kubwa kushinda budget ya Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda kwa pamoja. Sasa sijui tunashindwa vipi kumaliza njaa.

Paper based GDP. The same is meaningful if reflects the welfare of the citizens.
 
huyu kaka kanena ukweli, hivi huku kenya ukiingia afisi yote, either iwe public ama private kisha ukanonga kwa kiswahili, ata iwe mufti namna gani, utaonwa chini sana..
na ikiwa utakua unajaribu kuomba kazi huku ukinonga kiswahili, hio kazi sahau! ata kama umeitimu na umejihami na vyeti zote zinazo hitajika. maana kiswahili inachukuliwa kama ya lugha ya watchmen, drivers, housemaids, manamba, mama mboga, mama ntilie, cooks na watu wanao endesha bodaboda ama baskeli.
kweli katiba inaimiza kiswahili kitumike mahali popote ata iwe afisi ama parliament, lakini my broda vitu kwa ground ni different.. karibu sana kenya. utajua haujui
Hata Tanzania Kiingereza kinaonekana kama ishara ya high social class. Mtu anayezungumza Kiingereza anaonekana tajiri na msomi. I think Kiswahili kingekuwa lugha ya kitaaluma basi mambo yangekuwa tofauti.
 
Mafanikio yangu unayafahamu? Do you know what my net worth is? Niko hapa nazungumza kwasababu ninataka kila mtu apate fursa ya kumsaidia kimaisha. Nimuonee wivu mtu asiyenijua inanisaidia nini? It’s funny because you’ve mentioned all those successful people who own multiple businesses, not just in their countries of origin, but abroad. Would it be okay if Dangote only hired Nigerians in his Mtwara cement plant? I suggest you visit Microsoft’s diversity and inclusion report so you can see how firms in the United States are trying to make sure that they hire talent from different races, because white people aren’t the only qualified candidates for the jobs!

Kuwapa fursa ndugu zako sio kosa. Kosa ni pale unapo-deny watu wengine fursa ambao wana qualifications za juu zaidi ya ndugu zako. Utaajiri watu watakaokuwa wanakaa tu kwasababu wana kazi lakini mtu ambaye ana passion na ustadi wa kazi anaweza kuleta mabadiliko makubwa.

Halafu usiwe mjinga ku-distract hii argument from reality. 98% of people living in Japan are Japanese. Imagine if the top 1% of income earners in Japan were not of Japense descent. How would that make the majority of the population feel? It makes sense that employees and executives at a Toyota factory in Japan are Japanese. The Japanese are very educated and highly skilled!

But the situation is different in Tanzania, where most wealth is controlled by racial MINORITIES(Arabs and Indians and Pakistanis). Look at how stupid your argument is!
Tatizo hujui unalozungumza, unarukaruka bila kujua nini unazungumza
1)Kuhusu Dangotte kuajiri raia wa Nigeria kule Mtwara, kwani hao wanigeria ni raia wa Tanzania?, Nimesema mtu yeyote yupo huru kumuajiri raia yeyote wa Tanzania anayempenda, hakuna Sheria ya nchi inayomtaka kuajiri watu, yeye anachojali ni mafanikio ya biashara yake, hata akiamua kuajiri ukoo wake pekee, hiyo ni haki yake.

Kama Dangotte akifanikiwa kuhamisha ndugu zake na kuwapa urai wa Tanzania na kwa idadi Yao inatosha wao pekee kufanya kazi anayo haki ya kuajiri wao pekee tu, hakuna Sheria yoyote inayomzuia. Habari ya kwamba kutoa fursa sawa kwa ajira, Hilo ni jukumu la serikali sio la mtu binafsi, mtu binafsi anachoangalia ni ufanisi wa kazi na familia yake.

Kuhusu wajapani kwamba huko 99% ni Wajapan na wakati hapa Tanzania sio hivyo, hapa ndio hasa wivu na hasira zako kwa wahindi unapojitokeza, kote huko ulikua unapita tu, ukweli ni kwamba una chuki Sana kwa watanzania wenya asili ya India na Arabuni kwasababu ya mafanikio Yao, hii ndio sababu nilidhani wewe ni Mkenya.

Hawa ni watanzania kama watanzania wengine. Wewe ni kaburu mweusi, unajihisi wewe ni mtanzania zaidi ya wengine(mzawa),punguza wivu na chuki zako. Hizo ni biashara zao Kama zilivyo biashara zetu nyingi tu ambazo tunaziendesha na tumeajiri ndugu na jamaa zetu, tofauti ni kwamba hizo zao zimekua kubwa kutokana na juhudi na bidii zao, ila lengo ni kusaidia familia zetu, Sheria za ajira zinazotawala biashara ya duka, daladala au kiosk, ni ileile inayotawala makampuni ya Azam.

Mkuu, tujitahidi na sisi kuwekeza ili watoto wetu wapate uhakika wa ajira, hii tabia ya kulalamika na kuwachukia watu wa jamii Fulani kwasababu hawatoi fursa kwa wengine katika biashara zao binafsi ni tabia ya kishamba na kichawi, achana nayo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
huyu kaka kanena ukweli, hivi huku kenya ukiingia afisi yote, either iwe public ama private kisha ukanonga kwa kiswahili, ata iwe mufti namna gani, utaonwa chini sana..
na ikiwa utakua unajaribu kuomba kazi huku ukinonga kiswahili, hio kazi sahau! ata kama umehitimu na umejihami na vyeti zote zinazo hitajika. maana kiswahili inachukuliwa kama ya lugha ya watchmen, drivers, housemaids, cooks, manamba, mama mboga, mama ntilie, na watu wanao endesha bodaboda ama baskeli.
kweli katiba inaimiza sana kiswahili kitumike mahali popote ata iwe afisi ama parliament, lakini my broda vitu kwa ground ni different.. karibu sana kenya.. utazoea tu
Kwahiyo umejitia dole mwenyewe kisha unanusa sio?, Uliposema Kenya mnakienzi Kiswahili ulikua una maana gani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom