The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Si walitaka ushirikiano wa kibiashara baina ya Kenya na Tz sasa wakae kwa kutulia waone Tz ni nani hapa EAWacha hawa wakunya wakafunzwe biashara inaendaje.






Si walitaka ushirikiano wa kibiashara baina ya Kenya na Tz sasa wakae kwa kutulia waone Tz ni nani hapa EAWacha hawa wakunya wakafunzwe biashara inaendaje.






This arabs mnashabikia watz na wakenya wanakuanga na relatives on both sides with houses and properties on both sides, they are smartKuna company inaitwa lake oil ime take over oil business in Kenya, kuna Mohamed enterprises anayemiliki ni tajiri kuliko Bakhressa wa Azam japo mm siamini, kuna Oil com ambayo ndani yake kuna Milkom, and Watercom, kuna Asas, kuna IPP, kuna TRH, kuna GSM kuna Taifa Gas yn hizo ni chache kati ya kampuni kubwa za Tz ambazo nadhani unaona wanapoamua kuwekeza Kunyaland basi kampuni moja inazidi investment yote ya kampuni 500 za Kenya zilizowekeza only $0.5b hapa Tz.
Kilio chako hiki ungekiandika 2005 kushuka chini kingeleta maana but now ni 2022 bro and as we speak Tanzania dominates East African trade, lia pole pole![]()
Sasa hii sheria ni gani kwa wazawa


mkuu point yako ya kwanza kuhusu ajira kwenye masuala ya kuajiri kuna utaratibu na limit ya kuajiri raia kutoka nchi geni kwa foreigner aliyewekeza kwenye biasharaTatizo hujui unalozungumza, unarukaruka bila kujua nini unazungumza
1)Kuhusu Dangotte kuajiri raia wa Nigeria kule Mtwara, kwani hao wanigeria ni raia wa Tanzania?, Nimesema mtu yeyote yupo huru kumuajiri raia yeyote wa Tanzania anayempenda, hakuna Sheria ya nchi inayomtaka kuajiri watu, yeye anachojali ni mafanikio ya biashara yake, hata akiamua kuajiri ukoo wake pekee, hiyo ni haki yake.
Kama Dangotte akifanikiwa kuhamisha ndugu zake na kuwapa urai wa Tanzania na kwa idadi Yao inatosha wao pekee kufanya kazi anayo haki ya kuajiri wao pekee tu, hakuna Sheria yoyote inayomzuia. Habari ya kwamba kutoa fursa sawa kwa ajira, Hilo ni jukumu la serikali sio la mtu binafsi, mtu binafsi anachoangalia ni ufanisi wa kazi na familia yake.
Kuhusu wajapani kwamba huko 99% ni Wajapan na wakati hapa Tanzania sio hivyo, hapa ndio hasa wivu na hasira zako kwa wahindi unapojitokeza, kote huko ulikua unapita tu, ukweli ni kwamba una chuki Sana kwa watanzania wenya asili ya India na Arabuni kwasababu ya mafanikio Yao, hii ndio sababu nilidhani wewe ni Mkenya.
Hawa ni watanzania kama watanzania wengine. Wewe ni kaburu mweusi, unajihisi wewe ni mtanzania zaidi ya wengine(mzawa),punguza wivu na chuki zako. Hizo ni biashara zao Kama zilivyo biashara zetu nyingi tu ambazo tunaziendesha na tumeajiri ndugu na jamaa zetu, tofauti ni kwamba hizo zao zimekua kubwa kutokana na juhudi na bidii zao, ila lengo ni kusaidia familia zetu, Sheria za ajira zinazotawala biashara ya duka, daladala au kiosk, ni ileile inayotawala makampuni ya Azam.
Mkuu, tujitahidi na sisi kuwekeza ili watoto wetu wapate uhakika wa ajira, hii tabia ya kulalamika na kuwachukia watu wa jamii Fulani kwasababu hawatoi fursa kwa wengine katika biashara zao binafsi ni tabia ya kishamba na kichawi, achana nayo.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa wanapojenga maviwanda makubwa makubwa unadhani wanafaidika peke yao?This arabs mnashabikia watz na wakenya wanakuanga na relatives on both sides with houses and properties on both sides, they are smart
Kwamba una akili kuliko Wabunge wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Hapa umezingua mkuu, umejikweza sana.Bunge “lenu” lenye majority ya chama kimoja, right wing, ambacho constantly kimewaweka kwenye umasikini since it’s inception? Yes, I’m smarter and ethical than them! Just because laws were made in the past, it doesn’t mean people living today should continue carrying their burden. Times change, attitudes change, the level of knowledge changes too!
Hao boys under 18 years, Sheria inasema wapate Adhabu gani? And why would girls and boys receive different forms of punishment? Their sexual acts were consensual, weren’t they? There’s no manipulation or something of that sort. They both agreed to have sex. Again, I keep proving that I’m smarter than wabunge wenu. .
I bet religion is behind this law. No wonder it’s always a good idea to separate the church from the state
Technically, boys suffer more because they’re no longer allowed to return to school and they’re thrown in jail. What does jail do to these boys? If it’s for correctional purposes, they wouldn’t even need to be put in jail. There are other forms of correction. So, the main purpose is to make them suffer! Isn’t that Barbaric especially for the people who consider themselves “religious?”



Lia pole poleI was there last year.
Half our GDP, half our revenue, half our paved roads, twice our lands size. But you "dominated East African trade".
Please go on..









Hapa hata mimi imebidi nishangae kidogo, he is smarter than Wabunge wote.Mkuu inaonekana upo na akili nyingi kunizidi, haya maswali siwezi kuyajibu, kwaheri mkuu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app


Wewe ukidhani ni mtz yeye haoni mipaka ya kenya na tz anaangalia tu hela, mfano huyu wa lake oil akona ndugu mombasa mkenya whose also a director in the business, ni wajanjaSasa wanapojenga maviwanda makubwa makubwa unadhani wanafaidika peke yao?
Hao waarabu wanaojenga viwanda hapa hapa na wazungu wanaochukua mali kwenda kufaidisha viwanda vyao na wananchi wao bora nani mkuu?
Hiyo sio akili ya waarabu pekee bali ni akili ya matajiri wote duniani, pesa kwanza.Wewe ukidhani ni mtz yeye haoni mipaka ya kenya na tz anaangalia tu hela, mfano huyu wa lake oil akona ndugu mombasa mkenya whose also a director in the business, ni wajanja
This arabs mnashabikia watz na wakenya wanakuanga na relatives on both sides with houses and properties on both sides, they are smart
Wewe umeelewa kile nimesema, nani ni raia pacha hapo, hao wenyewe wanajiita waarabuMtu yoyote aliyekuwa ndani ya Tanganyika wakati Tanganyika inapata uhuru anatambulika kama Mtanganyika.
Huo ubaguzi na ukabila unaowatafuna ubongo bakini nao huko.
NB; Tanzania hairuhusu uraia pacha.
Ni mtifuano haswa! Wanaandika Gazeti lenye 12 pages!Me nawapa likes maana kuna sehemu mnanigusa na kuongea ukweli japo mnatofautiana kwenye mawazo.
Mawazo yenu ni mazuri. Mjadala uendelee!!
Wewe umeelewa kile nimesema, nani ni raia pacha hapo, hao wenyewe wanajiita waarabu
Usikimbie...mkuu point yako ya kwanza kuhusu ajira kwenye masuala ya kuajiri kuna utaratibu na limit ya kuajiri raia kutoka nchi geni kwa foreigner aliyewekeza kwenye biashara
Wewe unadhani wanajiita wa Afrika"This arab mnashabikia"

, ichogal mnajiitanga wa Afrika ebu leta ukweli hapaUsikimbie...Mkuu inaonekana upo na akili nyingi kunizidi, haya maswali siwezi kuyajibu, kwaheri mkuu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app