Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wala mizoga ya punda kunyans

Yaani kuzaliwa Tanzania bonge la zali

Hii ni Nairobi

Mtu kashaondoka na makanyagio ya donki anaenda kujichemshia kongoro 😂😂😂😂

CBAslTnUYAIz2oF.jpeg
CBAslV8VAAAOfz4.jpeg
FWFlna9XwAIjKQd.jpeg
 
Dr.Kituyi said" we want to make these surgeries regular" that alone indicates these are not regular in Kenya.

In Muhimbili, about 10 to 15 surgeries are done per day by resident doctors.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe umekwamilia hospitali moja hapo Dar wakati sisi tushakuletea zaidi ya hospitali nne sasa all in different parts of the country. Hiyo tu ni dhibitisho kwamba tupo mbele yenu.

Kuhusu hayo madai yako, can you prove that Muhimbili does 15 heart surgeries in a day?
 
Ulianza na open heart surgeries tukakutandinka, ukarukia PET Scan tukakupiga kama mbwa, sasa umetorokea health cover. 🤣🤣🤣 Kesho pia ni siku.
He keeps changing goal posts akishalemewa kwa hoja. Hata hiyo health cover utapata wako chini ya 10%😃. Vilaza wa mwisho
 
Nimesema PET Scan usiwe mjinga, CT Scan hizo tunazo hadi kwa level 4 hospitals. Sasa niambie mkenya mgani anakuja bongo kufanya PET scan. In fact wabongo ndio munakuja Kenya kufanyiwa PET Scan ju line pale muhimbili at ''one facility'' sio mchezo. 🤣🤣🤣

View attachment 2281359View attachment 2281360





Yani Tanzania has one hospital that provides nearly all the important health services in a country of 60m people! Enyewe devolution imetusaudia sana sisi wakenya and whoever said health should be devolved deserves a medal 🏅
 
Kwahiyo Kenya hakuna bidhaa yoyote muhimu mnayotuletea zaidi ya sabuni na mafuta ya kupakaa mwilini?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nyinyi bidhaa muhimu mnatuletea ambayo mmeproduce kama nchi ikawa finished product ni gani? Is it not rice? Is rice a finished product? Kenge wewe

Now you see what we mean tukisema our electricity consumption and needs are way above yours? Hiyo sabuni inatengezwa kutumia stima and there's a lot of chemistry involved. Mchele mnayotuuzia haiitaji stima. See the difference?
 
Jambo la kwanza ninakuomba Kama huna uhakika na jambo Fulani, usijaribu kudanganya, huu ni utoto kuzungumzia vitu vya uongo, sipo hapa kupoteza muda.
1)Wakenya wenye bima ya Afya ni chini ya 20%, majority pay by cash from out of their pockets


2)PET scanner Kenya ni mbili tu, Moja ipo Agha Khan Hospital, na ule ya serikali ambayo imenunuliwa August 2021, kabla ya hapo serikali ya Kenya haikuwa nayo, ilikua ni Moja tu hapo Agha Khan.

3)Tafadhali Kama hujui mashine zinazotumika Hospitalini wacha kukurupuka, wewe ukiona neno CT scan unadhani vyote vina maanisha kitu kimoja

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

MTRH has a PET scan, na proof ushaletewa.
Coast General has a PET Scan na proof ushaletwa. Hapo hatujaweka numerous private hospitals. Wewe umekwamilia hospitali moja Tanzania nzima ambayo ni Muhimbili na bado unatusumbua na ubishi. Si ukubali yaishe?
 
ingia google earth andika chanika naona ww chanika huijui bado vzr 😂😂😂
Wacha kutafuta pa kutorokea bongolala. Kwani unadhani nilitoa hizo picha za mashamba za mihogo wapi bila kufanya Google Search? Ni hekari ngapi hivi hizo shamba za mihogo?😂😂
 
Kama hingekua regular, ingekua ikifanyika Nairobi pekee ambapo inafanywa kwa hospitali mingi.
Unajua maana ya neno ya "regular medical procedures?. Kama unategemea baadhi ya wataalamu kutoka sehemu ingine wake kwako kufanya hiyo procedure kwa muda maalum, hiyo sio regular

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wakati Nairobi kuna mpaka national park 😂😂😂 medieval primitive vibes 😂😂😂 metropolitan city na wilderness wapi na wapi? 😂😂😂😂
That's a protected/reserved land. The only one of its kind in the entire world. That's not some cassava plantation farms like those ones in Dar. How many acres are they by the way? 😂😂😂😂
 
Ulianza na open heart surgeries tukakutandinka, ukarukia PET Scan tukakupiga kama mbwa, sasa umetorokea health cover. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kesho pia ni siku.
Wacha kukimbia swali, umesema huko Agha Khan wakenya walianza kutumia hiyo machine toka zamani kwa kutumia bima ya Afya, nimekuambia wakenya wengi hawana bima ya Afya, inaanza kubadilishia gear.[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unazilinganisha na whole mabati shacks polluted your whole villages? 😂😂😂

Zike mud huts zenu je zilizotapakaa mpaka CBD?
Zimetapakaa mpaka cbd of course
images - 2022-06-21T133534.389.jpeg


😂 😂😂😂😂😂😂👇👇👇🤔🤔
Screenshot_20220627-100349~2.png
 
Mkuu, umeandika kwa kirefu Sana, Mimi ninaomba nikujibu Kama ifuatavyo

1)Kukopa ni lazima na muhimu katika maendeleo ya mtu na nchi.

2)Hakuna rais duniani ambaye hajakopa, hata Nyerere alikopa Sana.

3)Pamoja na umuhimu wa mikopo ktk maisha, lakini mikopo sio mizuri, ukiweza kuishi bila mikopo ni Bora, ikishindikana, kopo kidogo, ukishindwa basi kopa Sana lakini ujue kwamba Hilo ni tatizo.

4) Nyerere, Mkapa na Magufuli, walikopa baada ya kuhakikisha kwamba huku Nyumbani hakuna tena uwezo wa kupata pesa. Mwinyi, Kikwete na Samia, wanakopa kwanza ndio baadae wanaangalia kinachopatikana Nyumbani.

Conclusion; Mkopo lazima ujazie pengo la uwezo wa ndani, sio uwezo wa ndani ndio ujazie pengo liloachwa na mikopo ya nje.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa kaka hauoni kama TRA wamesema wamefikia lengo lao la kodi kwa mwaka jana kwa asilimia 99.2 ..ambayo ni sawa na 10bilion usds..lakini budget yetu ni 18bilion usd ..

weka na non tax revenue maybe 1bil usd..tunahitaji kuongeza hizi kodi na non tax revenue kwa serikali kuongeza investements zake..lakini wakati haya yanafanyika bado miradi inadai ..hela..

if tumechagua ku punch above our weight lazima tukope
 
Wewe unaandika utopolo hapa. Magu alianzisha miradi mingi bila kujali pesa itatoka wapi. Sasa usimlaumu mama kwa kukopa. Kama unatafuta mtu wa kumlaumu kwa sababu ya deni kuongezeka basi mlaumu Magufuli kwa kuanzisha miradi mingi bila kuongeza makusanyo ya kodi. Ulikuwa unategemea pesa ianguke kutoka mbinguni? Lazima mama atakopa tu mpende msipende. La sivyo miradi za Magu itabidi zikwame.
Rudi tena soma points namba 1 na 2 wacha kukurupuka. Magufuli inawezekana alikopa kuliko hata Samia, hiyo ninakubali lakini alifanya juhudi za makusudi za kupata pesa toka ndani ya nchi, ziwe za Kodi na zisizo za Kodi.

1)Aliweka masoko ya madini ili kupunguza kutoroshwa kwa madini, ikiwemo kujengwa kwa ukuta Mirerani.

2)Alidhibiti na kukamata dhahabu na madini mengi yaliyokua yakitoroshwa na kuyataifisha, tulikusanya "tonnes nyingi za dhahabu kwa njia hii.

3)Alishughulika na makampuni makubwa ya madini ambayo yalikua yanatorosha madini yetu na kuwalipisha, unakumbuka sakata la Makinikia na kampuni la ACACIA, tulilipwa $300M, na kubadili Sheria ambazo zimewezesha hivi Sasa Tanzania tunapata mgao mzuri kutoka kwenye madini, sio Kama zamani, hivi Sasa serikali inamiliki na kupata mgao mkubwa kupitia kampuni la ubia wa pamoja,TWIGA" hatutegemei Kodi pekee.

Watu mbalimbali waliohujumu na lujichotea pesa za Nchi walikamatwa na kulazimisha wazirudishe(Rugemarila & Seith) Kama sharti la wao kuachiwa huru, tulikusanya pesa nyingi Sana kwa mfump huu.

Kiukweli alikua hatangulizi mikopo, kwanza alikua akijitahidi Sana kuhakikisha anatafuta pesa toka vyanzo vya ndani kwanza. Tuliweza kujenga kipande cha SGR cha Dar- Moro, na bwawa la Nyerere baada ya kukosa mikopo kwa kutumia pesa ya ndani.

Hivi Sasa, hatusikii tena kukamatwa kwa dhahabu zinazotoroshwa, Wala makampuni yasiyolipa Kodi, Wala viongozi waliojichotea pesa na kujinunulia gari za kifahari. Ngoja tuamini kwamba haya Mambo hayafanyiki tena siku hizi watu wanatii Sheria bila kulazimisha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi daraja la Nyerere Kigamboni lina miaka zaidi ya 6 na hutowahi kusikia hata toll station imekwanguliwa rangi na bumper, lakini huku kwa vichaa sasa! Mpaka wafanyakazi kwenye hivyo vibooths/kiosk watakimbia kazi sababu ni kuhatarisha maisha yao kukaa humo ndani!
Nchi ya hovyo hiyo mkuu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa wewe umekwamilia hospitali moja hapo Dar wakati sisi tushakuletea zaidi ya hospitali nne sasa all in different parts of the country. Hiyo tu ni dhibitisho kwamba tupo mbele yenu.

Kuhusu hayo madai yako, can you prove that Muhimbili does 15 heart surgeries in a day?
Wacheni ujinga, wakenya wote mnakimbilia KCMC, Moshi, mnaikubali kushinda KNH.

Bugando Hospital, inazidiwa na KNH pekee hapo Kenya

Benjamin Mkapa Teaching Hospital, Na Mloganzila Hospitals, ndizo Hospitali za kisiasa kuliko Hospitali zozote zile katika ukanda huu.

Kuhusu ushahidi wa kufanya Operations 10 kwa siku,


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacheni ujinga, wakenya wote mnakimbilia KCMC, Moshi, mnaikubali kushinda KNH.

Bugando Hospital, inazidiwa na KNH pekee hapo Kenya

Benjamin Mkapa Teaching Hospital, Na Mloganzila Hospitals, ndizo Hospitali za kisiasa kuliko Hospitali zozote zile katika ukanda huu.

Kuhusu ushahidi wa kufanya Operations 10 kwa siku,


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

You have drifted off the question I asked you ukaleta story za hekaya. I asked you to prove your claims that Muhimbili performs 15 heart surgeries in a day.
 
Back
Top Bottom