Ndio sababu nikakuambia huna akili ya kuendesha mjadala unatupotezea muda bure.
Labda Kama hurojali tafadhali tuambie "level" yako ya Elimu, kwasababu tunaona Kuna "gap" kubwa jinsi unavyojibu naswali, tunashindwa kukuelewa na huendani na sisi, inabidi tutumie nguvu nyingi kukuelewesha, tumeanza kukuchoka.
Wewe ulitaka kuonyesha kwamba Mombasa port inapokea mizigo mingi kuliko Dar port, Mimi nimekuambia hata ktk biashara ya export Kenya ilikua juu ya Tanzania lakini hivi Sasa Tanzania ndio ipo juu. Nilitegemea utaelewa ninamaanisha kwamba, muda sio mrefu hata Mombasa port itazidiwa na Dar port, badala yake wewe unazungumzia mambo tofauti kabisa, wewe akili yako ni ndogo Sana, hata Ichoboy alivyokua anazungimzia Exchange rate ya Ksh vs Tsh, ulijibu vitu vya ajabu sana
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app