Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Egypt is next level..
Wachina wanatusaidia sana
Egypt is next level..
Tusizungumzie miradi ambayo bado ipo under construction. Tafadhali tuheshimiane. Mimi ninaposema kwamba Kenya inaproduce 3,000 MW ninazungumzia miradi iliyokamilika tayari na aidha inaproduce umeme kwenye grid ya taifa au imewekwa stand-by for emergency use. Yaani hio 3,000 MW ipo tayari kutumika hata sasa hivi tunapozungumza. Sasa Tanzania umeme ambao mko nayo ready to use ni chini ya 2,000 MW. Kiukweli kulingana na data kutoka serikali yenu ni kwamba Tanzania inaproduce around 1,700 MW ya umeme sasa hivi na kuconsume 1,400 MW ya umeme.Nilikwambia na nikakupa evidence Tony kuwa Dangote and Twiga cement alone consume about 100MW..na hizo hazihesabiwi kama zimetoka Tanesco..
we need to know all TPDC customers so as to come with a correct number ya MW ambazo hizo imdustries zimetumia...kumbuka alot of industries za Dar, Pwani Lindi na mtwara ziko connected to Gas
Anyways Fund have already been alocated for
1.Malaragarsi Hydro 50MW
2.Mtwara Gas plant 300MW
Apart from that Underconstruction projects are
1.JNHPP 2145MW
2.Kinyerezi 1 ext amabyo 70MW out of 185 MW..have already been injected to the grid..
3.Rusumo Hydro 80MW..ambayo 27MW are to be added kwa Grid Ya Taifa
@cooldip1
View attachment 2280493View attachment 2280494
Huu wivu wako si upelekee mke wako nyumbani?Si ndio maana somalia wanawadinya kila siku wanafata iyo head office ya UN
Sent using Jamii Forums mobile app
According to hii information yako, Egypt ilitumia $30m averagely for every km of road wakati the average cost duniani ni around $3.5m. Kama hungekua bongolala ungekua unajiuliza mbna Egypt itumie pesa nyingi hivi kujenga only 7000kmSijui kwann nilivyoisoma hii afu nikafananisha na ile 10,000km ya wakunya nimeishia kucheka [emoji2]
Hebu linganisha hizi picha mbiliSasa onesha posta ilipo kwenye hiyo picha kama unaweza. Maana aim yako naijua vizuri sana ni kuweka posta na kijitonyama kwenye picha moja.
Its okay..nikipata data za Gas to industries kama nnavyojua twiga cement na dangote .nitawekaTusizungumzie miradi ambayo bado ipo under construction. Tafadhali tuheshimiane. Mimi ninaposema kwamba Kenya inaproduce 3,000 MW ninazungumzia miradi iliyokamilika tayari na aidha inaproduce umeme kwenye grid ya taifa au imewekwa stand-by for emergency use. Yaani hio 3,000 MW ipo tayari kutumika hata sasa hivi tunapozungumza. Sasa Tanzania umeme ambao mko nayo ready to use ni chini ya 2,000 MW. Kiukweli kulingana na data kutoka serikali yenu ni kwamba Tanzania inaproduce around 1,700 MW ya umeme sasa hivi na kuconsume 1,400 MW ya umeme.
Tukija kwenye swala la gesi kutumika kwenye viwanda vyenu, umesema hujui ni kiasi gani ya gesi inatumika kwa hivyo inabidi ku-guess tu. Sasa kama unaona 300 MW niliyosema hapo awali ni ndogo basi wewe tuambie unafikiri viwanda vyenu vinaconsume gesi kiasi gani in terms of megawatts ili tulinganishe na ya Kenya.
Cc coodip1
hapo ilipo posta yote haionekani hebu angalia hii alaf ujifunze kitu bila kupanic🤣🤣🤣Wewe utasumbuka hadi lini? Una lipi la kusema kuhusu hizi zenu? Mbona Kijiko ya nyama na posta zote ziko ndani? View attachment 2280223View attachment 2280231
Babu kibaha sasa hivi kushajaa labda uende ndani huko,bus za brt zinafika mpaka kibaha sasa hivi,sasa hivi watu wanahamia vikindu huko ardhi bado rahisi mln 1 unapata bonge la eneo,pwani inaungana na dar kidogo kidogoKitu kizuri kuhusu Pwani ni fursa ya kujenga real estate projects nyingi sana kupunguza msongamano wa watu wanaotaka kuishi Dar es salaam. Ukijenga commuter railway, expressways na BRT, itakuwa rahisi kuunganisha makazi ya Dar na Pwani. Pwani inaweza kukua kiuchumi haraka sana, na sio Kwa viwanda tu.
nimeona na zwazwa ame like hebu tuoneshe posta iko wapi hapa 😂😂😂Wewe utasumbuka hadi lini? Una lipi la kusema kuhusu hizi zenu? Mbona Kijiko ya nyama na posta zote ziko ndani? View attachment 2280223View attachment 2280231
nachoona ni misitu tu imejazana 🤣🤣🤣I am in love with this picture. Westlands skyline seen from Two RiversView attachment 2280258
Hv magufuli alikufanya nn wew mbona kama mna ishu personal [emoji23]Anaweza, magufala alisema Danganyika ni middle income na ukweli ni kwamba danganyika ni LDC
Kwasababu Kikuyu Nation imeshindwa kupambana na njaa, rushwa, ukabila na Slums, hiyo isikufanye upoteze uwezo wa kufikiria, we are not failed state like you.Anaweza, magufala alisema Danganyika ni middle income na ukweli ni kwamba danganyika ni LDC
huyo mropokaji anaejifanya anajua kila kitu munapoteza muda wenu bure 😂 alibishana na mm kuhusu mwanza sehemu nilipozaliwa mbona alinyooka akawa hanijibu 🤣🤣🤣Babu kibaha sasa hivi kushajaa labda uende ndani huko,bus za brt zinafika mpaka kibaha sasa hivi,sasa hivi watu wanahamia vikindu huko ardhi bado rahisi mln 1 unapata bonge la eneo,pwani inaungana na dar kidogo kidogo
Sidhani Kama mjinga Kama unavyofikiriaMuseveni ni mjinga sana wacha nikuambie.