Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Typical Tanzanian reasoning.
Mashida yote ya Tanzania imeletwa na Wakenya na Wabeberu. It's never you.

Nyerere alifanya yepi, isipokuwa kuwacha Tanzania fukara. Nchi yenye maliasili yote ijulikanayo, lakini bado ni one of the poorest in the world.
Nyerere alilinda mali zetu mabeberu wasijimilikishe hadi hapo tutakapokuwa na uwezo wa kuzisimamia vizuri unlike you guys ardhi inamilikiwa na mabeberu na matajiri.
 
Ni pale Mkunya anapofikiri ndo wa kwanza Africa na kujikuta watu wamekuwa na Cyberknife since 2016! Hii ni kama ile case ya kutenganisha mapacha Muhimbili imenza 1994 wakati Kunyaland imeanza 2016!

CC: Tony254

Nyie hushika mkia siku zoote! Hata SGR length tumeshawapiku! Na mtachukua miaka 100 kuwa na electrical SGR!
Uzuri ya Kenya, results zinaonekana. Surgery mulifanya was not successful, Kenya did a successful surgery. Iko wapi hio cyberknife yenu ya Kenya tumeiona? Our SGR has been in operation since 2017, yenu ambayo ni long imebeba abiria wangapi na mizigo tonnes ngapi? Sasa kati yetu na nyinyi nani wako nyuma?
 
Vitu tumekuwa navyo tangu 2013, lazy laggads mlikuwa wapi?
No serious international organization gives a shit about investing in CCM controlled Danganyika
 
Uzuri ya Kenya, results zinaonekana. Surgery mulifanya was not successful, Kenya did a successful surgery. Iko wapi hio cyberknife yenu ya Kenya tumeiona? Our SGR has been in operation since 2017, yenu ambayo ni long imebeba abiria wangapi na mizigo tonnes ngapi? Sasa kati yetu na nyinyi nani wako nyuma?
Hizo mitungi za chang'aa sio SGR bibi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga barabara au reli haimanishi kwamba taifa ni tajiri, ama kwamba wananchi wake wanaishi maisha mazuri. Utajiri wa nchi kwa kiasi kikubwa huangaliwa na jinsi maishani wa wananchi ilivyo. Sio kwa ile HDI yenu na idadi ya watu who live in extreme poverty
Utajiri wa nchi unaonekana on ground na co kwenye makaratasi, unataka kuniambia Kenya ni tajiri zaidi ya Tz kwasababu ya makaratasi au sio? Kwamba unakataa maendeleo on ground unataka HDI ya kwenye makaratasi? Unakataa kwamba tunawazidi kwenye thamani ya miradi tunayofanya lkn unakubali HDI, hata hiyo HDI bado haina maana yoyote kwa Kenya cz bado mnasumbuliwa na vitu vidogo vidogo na vya aibu kama cholera, njaa, ukosefu wa lishe bora, poor health services etc haya nani zaidi hapo kama tutaingia ground?
 
Syokimau is such a lovely place 😍
images - 2022-07-04T134133.329.jpeg
images - 2022-07-04T134207.130.jpeg
images - 2022-07-04T133938.195.jpeg
katani-10.2e16d0ba.fill-1512x2016.jpg
 
Utajiri wa nchi unaonekana on ground na co kwenye makaratasi, unataka kuniambia Kenya ni tajiri zaidi ya Tz kwasababu ya makaratasi au sio? Kwamba unakataa maendeleo on ground unataka HDI ya kwenye makaratasi? Unakataa kwamba tunawazidi kwenye thamani ya miradi tunayofanya lkn unakubali HDI, hata hiyo HDI bado haina maana yoyote kwa Kenya cz bado mnasumbuliwa na vitu vidogo vidogo na vya aibu kama cholera, njaa, ukosefu wa lishe bora, poor health services etc haya nani zaidi hapo kama tutaingia ground?
of course hizo takwimu ni za makaratasi coz they've played Kenya ahead of Tanzania. If it was the other way round, hazingekuwa na shida hata kidogo. Endelea kutoa povu bongolala
 
Wanaumia ndani kwa ndani. Ndio maana hata comedians wenu wanapata shida sana kuwachekesha.
Makasiriko ndio zenu.

It amazes me that a country ambayo watu wanashindia 1 meal a day and majority are starved haiko hapa
 
coodip1 anaonekana kama mtaalamu kwny huu upande hivi ni kwanini bado wanawaacha watu wakijenga kiholela holela inakera sana hii ni kati ya sababu zilizonifanya nisiwe shabiki wa Mr Lukuvi kbs.
Tatizo ni kwamba hatujapata mkuu wa nchi wa kuliongelea hili suala wazi wazi, inakera sana ofcz ujenzi wa kiholela ni tatizo la Afrika nzima ila cc tutoke huko.
 
Utajiri wa nchi unaonekana on ground na co kwenye makaratasi, unataka kuniambia Kenya ni tajiri zaidi ya Tz kwasababu ya makaratasi au sio? Kwamba unakataa maendeleo on ground unataka HDI ya kwenye makaratasi? Unakataa kwamba tunawazidi kwenye thamani ya miradi tunayofanya lkn unakubali HDI, hata hiyo HDI bado haina maana yoyote kwa Kenya cz bado mnasumbuliwa na vitu vidogo vidogo na vya aibu kama cholera, njaa, ukosefu wa lishe bora, poor health services etc haya nani zaidi hapo kama tutaingia ground?
Ulirudi Dar ama bado unajivinjari huko Zanzibar?
 
coodip1 anaonekana kama mtaalamu kwny huu upande hivi ni kwanini bado wanawaacha watu wakijenga kiholela holela inakera sana hii ni kati ya sababu zilizonifanya nisiwe shabiki wa Mr Lukuvi kbs.
Yani kwa Dar ni taabu kuweka mipango miji kwenye built up areas bila ya kuvunja majengo yaliyopo na ni gharama kubwa sana. Hii inaonesha at one time uwezo wa wananchi kujenga makazi ulikuwa mkubwa sana kuliko uwezo wa serikali kwenye mipango miji.

Ila the government can still remedy this situation by kupanga vizuri kwenye areas ambazo zinazunguka Dar kama huko mabwepande, kiluvya, kerege, mapinga, mkuranga etc.
 
Back
Top Bottom