Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Punguza bangi. Did you even watch the video you posted.

The Tanzanian man in the video went all the way to Apollo Hospital, Chennai, India for the cyberknife treatment.
Tanzania doesn't have any financial capacity to acquire such a machine, not in the next 20 years.


Hawa wabongo hua wajinga sana. 🤣 🤣 🤣 Hawezi watch video ju hana bundles. Anaokota tu links online.
 
Yule mzee ameshachoka akae kwa kutulia, Mh Hayati JPM alokua anasema tunaenda vizuri wala hakuwahi kusema tumeshavuka ldc badae world bank wenyewe wakakiri
Sidhani Kama M7 amekosea, ukitaka kujua kwamba yupo sahihi, chukia GDP figure za Uganda za 2021 kutoka WB, kisha gawanya kwa "population" ya Uganda.

Hata huku Tanzania, waziri wa fedha wa wakati huo, Philip Mpango, alisema kwamba Tanzania imeshaingia katika uchumi wa Kati mwaka mmoja nyuma kabla ya WB kutangaza, hata wakenya walipiga na kumshambulia Sana, Kama wanavyofanya kwa M7 hivi Sasa, wakenya hawapendi nchi zingine zikipiga hatua. Museven yupo sahihi katika hili, tusubiri kipindi cha mpito, lazima Uganda itatangazwa rasmi na WB.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani Kama M7 amekosea, ukitaka kujua kwamba yupo sahihi, chukia GDP figure za Uganda za 2021 kutoka WB, kisha gawanya kwa "population" ya Uganda.

Hata huku Tanzania, waziri wa fedha wa wakati huo, Philip Mpango, alisema kwamba Tanzania imeshaingia katika uchumi wa Kati mwaka mmoja nyuma kabla ya WB kutangaza, hata wakenya walipiga na kumshambulia Sana, Kama wanavyofanya kwa M7 hivi Sasa, wakenya hawapendi nchi zingine zikipiga hatua. Museven yupo sahihi katika hili, tusubiri kipindi cha mpito, lazima Uganda itatangazwa rasmi na WB.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
WB wanasema UG per capita ni $850 far from $1045 which is recommended for lmic...Labda kama hujasoma andiko lao
 
Back
Top Bottom