Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
[emoji23][emoji23][emoji23]
Video gani hiyo mkuu ?Yeah wahaya wanaishi Bukoba mkoani kagera, jirani zao ni waganda, na some of them wanajua kiganda, huenda lugha zao zina mfanano a little bit
acha makasiriko sasa 🤣🤣🤣 hamupendi ukweli lakini safarii hii kila mbinu imegonga mwambaEndeleeni kuua wenzenu ili mfurahishe beberu
so umekasirika ama 😂😂😂😂I see a vibrant Kenya media ndio maana unaquote na kukesha kwa social media pages za station za Kenya. Unapea hizo station more impressions ukivist site zao kila wakati kutumia simu na bundles zako hence pesa za media stations za Kenya ni nyingi kutokana na ad revenue kuongezeka.
Danganyika habari ni za kusifu CCM tu, no Kenyan gives a shit about Tanzania media. Ata majority wakenya hawajui kama bongo kuna media stations au politicians kila kitu ni CCM mwanzo hadI mwisho [emoji23][emoji23][emoji706]
View attachment 2279002
Kwahiyo wadigo ni watani wa Wabondei, sipati picha mkianza kuwatania kwamba mliwapiga mpaka wakakimbia [emoji846][emoji846]Most definitely, hata uko ubabani kwetu kuna ka eneo kanaitwa kwale, wadigo inavyosemekana ni indigenous kenyans, before the civil war in Mombasa (according to history) wadigo walihamia tu Tanga, wakapigana vita na wabondei (wakazi wa Tanga mjini wakati huo) then wadigo wakabaki Tanga na wabondei wakakimbilia sehemu panaitwa Muheza (it's now one among the districts in Tanga region)
usije sema hukuambiwa 😂😂😂
Kabisa ndg yangu. Labda kwa kiasi fulani zinatasaidia wakiamua kuzifanyia kazi. Ila kazi bado tunayo.Sisi tunapigizana kelele tu bro humu
Freddy wabajuni sio mijikenda. Giriama, duruma, digo, jibana, kauma, chonyi, rabai, ribe, kambe ndo mijikenda. Jina lao lengine ni 'nyika' lakini hilo jina ni derogatory inamaanisha ' primitive'wadigo kwetu kenya, ni kabila moja miongoni mwa jamii ya kabila tisa liitwalo mijikenda. na watapatimana katika sehemu za pwani tu. kama vile kwale, kilifi, mvita(mombasa), tana river, etc. wengine ni wagiriama, wabajuni. jina lingine la 'mijikenda' ni 'waswahilin'
Ebu ona palivyokuwa pazuri. Miti inapendezesha sana mazingira ya sehemu husika. Hatujachelewa mipango miji wanaweza kudesign miji mipya yenye miti kama hapa.View attachment 2280126
Tujikumbushe kwa faida yetu.[emoji2]
mbona na upper hill na CBD ziko ndani y??🤣🤣 kwann useme kilimani wakat zote zinaonekana hapoKampala nayo ni jokes, afadhali wenzetu wa kusini. Hiyo cbd yao sidhani hata kama inawezana na Kilimani View attachment 2279897View attachment 2279898View attachment 2279899
🤣🤣🤣 Nani kakwambia ukubwa wa movie unapimwa kwa hiyo movie inapopatikana.? Bongo movie ni kubwa kuliko movie industry yoyote East Africa, kuhusu maoni ya watu kupendezwa na ubora wa content fulani hizo ni opinions zao, ila ni ukweli kwamba Tz ni baba entertainment industry hapa EA, nyie endeleeni kukamatia huko kwenye mbio, lakini
.1. Music
2. Movie
3. Comedy ya uigizaji
Huku sisi mpinzani wetu kwa hapa Africa ni SA na Nigeria tu kwa sub Saharan Africa, nyie wengine 🤣🤣🤣 action movies za bongo nowdays ni hapa 👇. Hizi huwezi zikuta maisha magic Bro
Etiii ni ya stima? Sasa inaendaaajee ghai [emoji28]Wakenya wanavyo chungulia majaribio ya sgr Tanzania
View attachment 2280047