Asante kwa jibu mwafaka.Ni Wazaramo, Wandengereko, Wazigua wanaopakana na Wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga, Warufiji, Wakwere (kabila la Kikwete).
Miji yake ni kama Bagamoyo, Kibaha, Chalinze n.k.
Shughuli zao ni kama Uvuvi, Kilimo kama vile mananasi ukanda wa Bagamoyo eneo la Kiwangwa hapa ndio mahali pake, mpunga bonde la mto Ruvu kilimo cha mihogo na matikiti maji.
Huu ukanda ndio wenye viwanda vingi kuliko sehemu yoyote ile Tanzania. Kuna baadhi bado vinajengwa ambavyo havijaanza kufanya kazi.
Watu wake ni wakarimu sana kwa wageni hawana ubaguzi wowote ule. Wanapenda burudani ya ngoma za asili na taarabu, vijana Singeli na Bongo flavour.
Leta hio picha nzuri ya Kampala.unaakili ndogo sana
yaani unacgukua picha mbaya ya uganda unalinganusha na picha nzuri iliyopigwa kwenye angle nzuri kutoka kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
eti mna CBD 3
Hehee 😂.. angalien hapo kwa East Africa
Kenya, light ipo Nairobi tu. While in Tanzania imesambaa maeneo mengi
Labda anataka tuwekee wanyama wa pori stima pia[emoji1787]Wewe hujui kwamba Kenya inaconsume 2,000 MW ya umeme wakati Tanzania inaconsume 1,400 MW?
Leo mada kuu ni testing electric train (treni ya stima) . Mshaanza kulialia Twitter , late magu ali na vision kali. Japo alikua mapungufu ya kibinadamu. Angekuwepo hadi leo mngeona vitu vikubwa sana.Wewe hujui kwamba Kenya inaconsume 2,000 MW ya umeme wakati Tanzania inaconsume 1,400 MW ya umeme? Unapata wapi nguvu ya kulinganisha Kenya na Tanzania likija kwenye swala la matumizi ya umeme? Wengine wenu yaani hamna aibu hata kidogo.
Mwambie wenyeji wa mkoa wa Pwani ni wavivu wa kupindukia,hawataki maendeleo na hawapendi kusoma, kama unamueleza mueleze mambo yote ajueNi Wazaramo, Wandengereko, Wazigua wanaopakana na Wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga, Warufiji, Wakwere (kabila la Kikwete).
Miji yake ni kama Bagamoyo, Kibaha, Chalinze n.k.
Shughuli zao ni kama Uvuvi, Kilimo kama vile mananasi ukanda wa Bagamoyo eneo la Kiwangwa hapa ndio mahali pake, mpunga bonde la mto Ruvu kilimo cha mihogo na matikiti maji.
Huu ukanda ndio wenye viwanda vingi kuliko sehemu yoyote ile Tanzania. Kuna baadhi bado vinajengwa ambavyo havijaanza kufanya kazi.
Watu wake ni wakarimu sana kwa wageni hawana ubaguzi wowote ule. Wanapenda burudani ya ngoma za asili na taarabu, vijana Singeli na Bongo flavour.
Kampala nayo ni jokes, afadhali wenzetu wa kusini. Hiyo cbd yao sidhani hata kama inawezana na KilimaniNicxie the reason why mimi huwa nasema Kenya ina CBD tatu ni picha kama hizi sasa. Hii ni picha ya Westlands pekee na tayari ina skyscrapers ndefu kushinda capital city ya Uganda. Hebu compare hii picha ya Wesstlands na ya CBD ya Kampala uone the difference
Kampala
View attachment 2279825
Westlands (Kabla ya expressway kujengwa)
View attachment 2279827
Hakuna mtu anaweza kulinganisha Kampala na Westlands. Westlands imeipiga.
Twende kwa CBD yetu ya pili yaani upperhill. Now compare Kampala with Upperhill
Kampala
View attachment 2279831
Upperhill
View attachment 2279833
Finally, twende kwa CBD ya Kenya ya tatu, hii ndio ile CBD ya zamani na ndio official Nairobi CBD ambapo ofisi za serikali zipo, bunge na supreme court. Lakini tuanze na picha ya Kampala kwanza
Kampala
View attachment 2279834
(Old) Nairobi CBD
View attachment 2279836
Sasa nikisema kwamba Nairobi ina CBD tatu nimekosea wapi manaake Upperhill, Westlands na Old CBD zote zinaipiga Kampala hands down?
Cc joto la jiwe The best 007 Geza Ulole chongchung coodip1 7seven tuusan
I think this cuts across. Hata wa huku kwetu ni vivyo hivyo!Mwambie wenyeji wa mkoa wa Pwani ni wavivu wa kupindukia,hawataki maendeleo na hawapendi kusoma, kama unamueleza mueleze mambo yote ajue
Hehee 😂.. angalien hapo kwa East Africa
Kenya, light ipo Nairobi tu. While in Tanzania imesambaa maeneo mengi
unajipa tabu mmkuu kuelekeza mkenya vitu kama hivyoNi Wazaramo, Wandengereko, Wazigua wanaopakana na Wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga, Warufiji, Wakwere (kabila la Kikwete).
Miji yake ni kama Bagamoyo, Kibaha, Chalinze n.k.
Shughuli zao ni kama Uvuvi, Kilimo kama vile mananasi ukanda wa Bagamoyo eneo la Kiwangwa hapa ndio mahali pake, mpunga bonde la mto Ruvu kilimo cha mihogo na matikiti maji.
Huu ukanda ndio wenye viwanda vingi kuliko sehemu yoyote ile Tanzania. Kuna baadhi bado vinajengwa ambavyo havijaanza kufanya kazi.
Watu wake ni wakarimu sana kwa wageni hawana ubaguzi wowote ule. Wanapenda burudani ya ngoma za asili na taarabu, vijana Singeli na Bongo flavour.
hiyo shughuli ni yako mzee wakuchambua picha..Leta hio picha nzuri ya Kampala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie wenyeji wa mkoa wa Pwani ni wavivu wa kupindukia,hawataki maendeleo na hawapendi kusoma, kama unamueleza mueleze mambo yote ajue
Kama huna picha nzuri ya Kampala kaa kimya.hiyo shughuli ni yako mzee wakuchambua picha..
kuna vitu ni bora ukae kimya tu kuliko kuleta hoja za kitoto unajishusha heshima
ungekuwa unajielewa vyema ungejua nini sababu ya msingi iliyofanya niquote juu yako..Kama huna picha nzuri ya Kampala kaa kimya.
True. They still have a long way to go.Kampala nayo ni jokes, afadhali wenzetu wa kusini. Hiyo cbd yao sidhani hata kama inawezana na Kilimani View attachment 2279897View attachment 2279898View attachment 2279899
Hana jipya na Kwa taarifa yako yule ni mtu anaeamini kwenye expansionary policy ambazo zitaleta inflation zaidi Kisha kuleta taharuki kwa watu..Kimei anafaa sema shida ni.............