Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo ndio unakosea, mafanikio ya msani sio mafanikio ya industry nzima. Najua unawashwa sana kupost lile rolls royce la diamond lakini jua kwamba wakenya tumemuingizia pesa nyingi sana.
Wacha kujifanya, kwa mfano kwenye music industry ya bongo, hela inayoingizwa na serikali na stakeholders wote ni nyingi sana kupitia mziki, for example Tz kuna matamasha makubwa matatu ya muziki ambapo 99%-100% of performers ni local artists, hayo matamasha yenyewe ni Fiesta, Wasafi festival, E TV festivals, haya matamasha yanafanywa kila mwaka nchi nzima, bado kuna tamasha la Zanzibar kendwa rocks n.k, wachana na vile individual performances zenye wasanii wetu hufanya wenyewe, usisahau kwamba Tz ndio nchi pekee yenye muamko mkubwa kwenye kupenda michezo na sanaa zetu.. kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka serikalini Sekta ya sanaa na michezo inaongoza kwa ukuaji Tz since imeripotiwa kwamba Sekta ya sanaa inakua kwa 19% ikifuatiwa na 10% sekta ya umeme pamoja na 9% Sekta ya madini 👇News |MINISTRY OF CULTURE ARTS AND SPORTS.
 
Wakenya wanavyo chungulia majaribio ya sgr Tanzania
FWu7FtcWQAMy1hb.jpg
 
ila si losses kama za KQ! aisee mwaka wa 10 running! A record!
Upigaji,kujilipa mishahara mikubwa, incentives kibao wkt shirika linachechemea Kenya upigaji umepata baraka zote kutoka kwa baadhi ya wananchi!Napata shaka sana na uzalendo wa Wakenya!!!,wamebakia na kingereza uchwara na kuvaa makoti koti tu nothing else, punk.
 
Hizi mambow huko kenya hakuna 👇
75234572_490484554894923_1262786492432150747_n.jpg
oya Coco reborn ona vile matamasha vile yanakaa Bongo, hii ni Fiesta bro, hii inafanyika Tz nzima kila mwaka, full house Wasafi festival Mwanza 👇. Wasafi festival Dar 👇. Haya sio matamasha ya Afro nation huko Ulaya, hii ni bongo Bro, Diamond live in Kigoma 👇. Hizi vitu mmezoea kuziona tu Hollywood, lakini kwa Tz ni kawaida, entertainment industry sisi baba wa EA one man one mice 👇.
 
Hizi mambow huko kenya hakuna 👇View attachment 2280044oya Coco reborn ona vile matamasha vile yanakaa Bongo, hii ni Fiesta bro, hii inafanyika Tz nzima kila mwaka, full house Wasafi festival Mwanza 👇. Wasafi festival Dar 👇. Haya sio matamasha ya Afro nation huko Ulaya, hii ni bongo Bro, Diamond live in Kigoma 👇. Hizi vitu mmezoea kuziona tu Hollywood, lakini kwa Tz ni kawaida, entertainment industry sisi baba wa EA one man one mice 👇.

Mwanangu sama hii yako ni ushamba na tutapoteza maana tukianza kupost concerts, hizo show kama hizo huku mombasa gavana Joho kila mwaka hakosi kuzileta na hao wasanii wenu ndo wana- perform.
Personally waga sizi-attend manake zimejaa low lifes, thuggs, high schoolers na mimi ni mtu mzima
Sasa turudi kwa mambo ya maana, nipe total contribution ya entertainment industry kwa gdp ya tanzania.
 
You’re delusional. Dodoma is just another dusty town that needs to be reinvented. The one thing that bothers me is how you people think that whatever is happening in Tanzania is the best that it could possibly be, that there’s no room for improvement! That’s why you need to get out more!
Mara ya mwisho lini kwenda Dodoma kwa kutumia buses!!!Dodoma is coming up nicely acha na kule mjini njoo huku kwny mji mpya unapojengwa utaona tofauti kubwa sana mzee baba!!!.Kama hujaenda siku za karibuni nakushauri unyamaze!.
 
🤣🤣🤣 Nani kakwambia ukubwa wa movie unapimwa kwa hiyo movie inapopatikana.? Bongo movie ni kubwa kuliko movie industry yoyote East Africa, kuhusu maoni ya watu kupendezwa na ubora wa content fulani hizo ni opinions zao, ila ni ukweli kwamba Tz ni baba entertainment industry hapa EA, nyie endeleeni kukamatia huko kwenye mbio, lakini
.1. Music
2. Movie
3. Comedy ya uigizaji
Huku sisi mpinzani wetu kwa hapa Africa ni SA na Nigeria tu kwa sub Saharan Africa, nyie wengine 🤣🤣🤣 action movies za bongo nowdays ni hapa 👇. Hizi huwezi zikuta maisha magic Bro

hawa ni wabongo kweli ama wakenya.!?🤔... mbona mi naskia wanaongea ki kisii...........

Screenshot_20220703-184843_Chrome.jpg
 
Nimepitia maendeleo kadhaa ya China, yo China ni noma sana, The world's largest bus factory 👇. I've never imagined that something like this does exist on Earth, this factory is Huge, Africa tuko na long long journey, Yutong ni balaa.. Tony254 njoo ujionee vile China inafanya sometimes nione sie wa EA tunapigizana kelele tu humu
 
Niarobi ni kuchafu sana, wanaenda chooni na tissue bila maji , n achoo zimevunjika mifuniko sijui wanafanyia nn
 
Back
Top Bottom