Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo movie siku hizi ni kubwa mno ukiachilia kwamba ndio movie industry pendwa zaidi EA, lakini pia kwenye uigizaji we nowdays not of your levels .. 👇.

Wewe unaota. Kenya ikona movies mingi than TZ on Netflix na ON 15TH July tuna launch our first series on Netflix. On showmax na DSTV sasa hapo ndio Kenya inatamba kutamba, content kibao, from action to comedy yani genre zote. Nishawai jaribu kuwatch Maisha Magic bongo, nilijipata nimelala.🤣🤣🤣

Si unaona hata wabongo wenzako wanakubali hamna quality content kama Kenya.



 
Ile barabara ya kimara-kibaha ndio inaishia Pwani region (Kibaha is in Pwani region), Pwani ni mkoa uliopakana na Dar es Salaam, huwezi fika Dar kwa bus kama hutapita Pwani region View attachment 2279920yani Pwani region imeizunguka DAR ..

Pwani ndio mkoa wenye viwanda vingi kuliko mikoa yote Tanzania shughuli zake za uchumi kubwa ni viwanda, uvuvi na kilimo

Pwani ndio mkoa inapopatikana Bagamoyo district where we expecting to build the largest port in EA na huo mji ambapo soon mchongo utaanza

Hata zile marshalling Yards za SGR na MGR kubwa bongo ndio zipo huko

Pwani ni mji muhimu zaidi Tanzania, Pwani is our future,

Miradi yote ya kimkakati inayotarajiwa kufanyika Pwani ikikamilika, Tegemea Tz kuwa na miji mitatu yenye hadhi sawa na Dar es Salaam

1. Dar
2. Dom
3. Pwani
Asante. Umejibu vizuri.
 
2000MW on paper wakati hamwezi kuendesha treni ya umeme. Waziri wenu mwenyewe alikiri uwezo wenu mdogo kwa umeme kuweza kuendesha electric train.
Sasa unapinga kwamba Kenya tunaconsume 2,000 MW? Wewe tatizo lako huwa nini?
 
Watu hawaangalii majengo marefu ya mjini katika ku justify maendeleo bali maendeleo ya watu kwanza kama kumaliza njaa, afya bora na malazi ambayo Uganda wako way ahead of Kenya katika hayo anayebisha aje hapa.

Pili ukija kwenye macroeconomics Uganda wako vizuri kuliko Kenya.
Hahaha. Macroeconomics gani Uganda wameishinda Kenya? Zitaje.
 
Tony nilishakwambia mara nying..ukiangalia consumption ya umeme Tz ukumbuke kuna suppliers wawili
1.Tanesco
2.TPDC ..most of major industries in Pwani, Dar, Lindi and Mtwara wanapata gas kutoka TPDC ..
mfano ..Twiga cement 40MW from Songas and Dangote uses 50MW..

Dangote na Twiga Cement combined wanatumia 90 MW labda sasa hivi wanaweza kuwa wanatumia 100MW hizo ananunua from TPDC sio Tanesco...

Sijahesabia viwanda vingine vyenye gas to power vinavyonunua Gas kutoka Songas na TPDC ..

so we might be clocking 300MW alone za industries ambazo ni Gas to Electricity za viwanda zisizo pitia tanesco

Hapo nimeacha TBL na Serengeti Brewiries

Jionee hapo reference au you can search yourselfView attachment 2279931View attachment 2279932
Kwa kujitetea mpo vizuri. Sasa ukijumlisha hio 300 MW kwa hio 1,400 MW huoni inakuja 1,700 MW pekee? Huoni bado hamjafikia Kenya hata tukijumlisha hio gas to power unayozungumzia. Usinidanganye kwamba mna consume 2,000 MW kwa sababu hamzalishi 2,000 MW. Mnazalisha chini ya 2,000 MW ya umeme. Hata tukiwapa hio 1,700 MW bado hamtufikii. Kwa kuproduce, Kenya inaproduce 3,000 MW of power. 400 MW inapotea kwenye transmission losses. 600 MW ni surplus na ipo standby.
 
Ongezea na miji ya Mkuranga, Kisarawe, Kibiti, Ikwiriri pamoja na kisiwa Cha Mafia, Jaja, kwale na koma.

Makabila yake mengine ni Wanyagatwa, Wakojani, Wajaja na Wanyangalio.

Bandari zao muhimu ni Bagamoyo, Kisiju pwani na Boza.

Watu maarufu ni Jakaya Mrisho Kikwete, Ally Hassan Mwinyi, Dr Hussein Mwinyi, Mbwana Samata, Shaban Robert, Adam Malima , 20%, Kingwendu.

Shughuli kubwa ni uvuvi kutokana na eneo kubwa bahari.
Kilimo hasa Cha mihogo, matunda ya aina zote ikiwemo mananasi , mafenesi, embe za kila namna.

Shughuli za viwanda hasa wilaya ya kibaha na Mkuranga.

Kilimo Cha mpunga kule mhoro na wilaya ya Rufiji

Shughuli ya utalii katika Mali kale za Bagamoyo,
Utalii wa fukwe katika kisiwa Cha Mafia, Mkuranga, Bagamoyo
Ni hayo tu.
Dah! Asante kwa jibu nzuri hivi. Naona Pwani ndio region iliyoproduce marais wengi zaidi katika nchi ya Tanzania kushinda region yoyote ile. Hao ni marais wawili umetaja hapo juu.
 
Ongezea na miji ya Mkuranga, Kisarawe, Kibiti, Ikwiriri pamoja na kisiwa Cha Mafia, Jaja, kwale na koma.

Makabila yake mengine ni Wanyagatwa, Wakojani, Wajaja na Wanyangalio.

Bandari zao muhimu ni Bagamoyo, Kisiju pwani na Boza.

Watu maarufu ni Jakaya Mrisho Kikwete, Ally Hassan Mwinyi, Dr Hussein Mwinyi, Mbwana Samata, Shaban Robert, Adam Malima , 20%, Kingwendu.

Shughuli kubwa ni uvuvi kutokana na eneo kubwa bahari.
Kilimo hasa Cha mihogo, matunda ya aina zote ikiwemo mananasi , mafenesi, embe za kila namna.

Shughuli za viwanda hasa wilaya ya kibaha na Mkuranga.

Kilimo Cha mpunga kule mhoro na wilaya ya Rufiji

Shughuli ya utalii katika Mali kale za Bagamoyo,
Utalii wa fukwe katika kisiwa Cha Mafia, Mkuranga, Bagamoyo
Ni hayo tu.
Bila kusahau Saadani game reserves.

Pia Kuna ufugaji wa kisasa wa Samaki, Mbuzi na Ng'ombe.

Mauritius wanapata nyama za kutoka pande hio zaidi.
 
Wewe unaota. Kenya ikona movies mingi than TZ on Netflix na ON 15TH July tuna launch our first series on Netflix. On showmax na DSTV sasa hapo ndio Kenya inatamba kutamba, content kibao, from action to comedy yani genre zote. Nishawai jaribu kuwatch Maisha Magic bongo, nilijipata nimelala.🤣🤣🤣

Si unaona hata wabongo wenzako wanakubali hamna quality content kama Kenya.




🤣🤣🤣 Nani kakwambia ukubwa wa movie unapimwa kwa hiyo movie inapopatikana.? Bongo movie ni kubwa kuliko movie industry yoyote East Africa, kuhusu maoni ya watu kupendezwa na ubora wa content fulani hizo ni opinions zao, ila ni ukweli kwamba Tz ni baba entertainment industry hapa EA, nyie endeleeni kukamatia huko kwenye mbio, lakini
.1. Music
2. Movie
3. Comedy ya uigizaji
Huku sisi mpinzani wetu kwa hapa Africa ni SA na Nigeria tu kwa sub Saharan Africa, nyie wengine 🤣🤣🤣 action movies za bongo nowdays ni hapa 👇. Hizi huwezi zikuta maisha magic Bro
 
🤣🤣🤣 Nani kakwambia ukubwa wa movie unapimwa kwa hiyo movie inapopatikana.? Bongo movie ni kubwa kuliko movie industry yoyote East Africa, kuhusu maoni ya watu kupendezwa na ubora wa content fulani hizo ni opinions zao, ila ni ukweli kwamba Tz ni baba entertainment industry hapa EA, nyie endeleeni kukamatia huko kwenye mbio, lakini
.1. Music
2. Movie
3. Comedy ya uigizaji
Huku sisi mpinzani wetu kwa hapa Africa ni SA na Nigeria tu kwa sub Saharan Africa, nyie wengine 🤣🤣🤣 action movies za bongo nowdays ni hapa 👇. Hizi huwezi zikuta maisha magic Bro

Mwanangu sama boy, ukubwa wa entertainment industry unapimwa na contribution yake kwa Gdp, kufikia hapo si hitaji kuandika sana
 
Mwanangu sama boy, ukubwa wa entertainment industry unapimwa na contribution yake kwa Gdp, kufikia hapo si hitaji kuandika sana
Leta wasanii wenu huko tuone maisha yao yalivyo vichekesho .. sasa mbona hili jambo wala halihitaji discussion 🤣🤣🤣
 
Leta wasanii wenu huko tuone maisha yao yalivyo vichekesho .. sasa mbona hili jambo wala halihitaji discussion 🤣🤣🤣
Hapo ndio unakosea, mafanikio ya msani sio mafanikio ya industry nzima. Najua unawashwa sana kupost lile rolls royce la diamond lakini jua kwamba wakenya tumemuingizia pesa nyingi sana.
 
Back
Top Bottom