Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro kuona ni kuamini, kwasababu huwezi fika Dom kwasasa it's better unyamaze utuachue sisi tuliofika currently, usiongelee vitu usivyovijua, we subiri matokeo tu, DOM inajengwa vizur and after accomplishment of those projects, hakuna City center yoyote hapa Tz yenye ita level Dom when it comes mambo za muonekano mzuri wa mji .. nimeshuhudia kwa macho yangu mawili sio hadithi na kwa yoyote aliefika Dom hivi karibuni wanayajua haya
Hivi kichwa chako kimejaa funza? Kama serikali hiyo hiyo inahakikisha Dodoma inakuwa planned vizuri, basi pia hiyo hiyo serikali itaweza kuhakikisha nchi nzima inabadilika na kupangwa. Maendeleo ya kikanda na kibaguzi ni ujinga. Sababu kuu ya mimi kutaka kuona policies na masterplan kutoka serikalini ni kutaka kutambua ni mikakati gani waliyonayo kwenye kila mji wa hii nchi. Sasa Wewe unavyosema kuwa Dodoma imepangwa vizuri na ushahidi wako ni majengo mapya yanayojengwa nakuona huna akili.
 
then kama hii ni kihaya in tz, then it has some connection with baganda language in ug, or kisii and kuria languages in kenya......
Yeah wahaya wanaishi Bukoba mkoani kagera, jirani zao ni waganda, na some of them wanajua kiganda, huenda lugha zao zina mfanano a little bit
 
Hivi kichwa chako kimejaa funza? Kama serikali hiyo hiyo inahakikisha Dodoma inakuwa planned vizuri, basi pia hiyo hiyo serikali itaweza kuhakikisha nchi nzima inabadilika na kupangwa. Maendeleo ya kikanda na kibaguzi ni ujinga. Sababu kuu ya mimi kutaka kuona policies na masterplan kutoka serikalini ni kutaka kutambua ni mikakati gani waliyonayo kwenye kila mji wa hii nchi. Sasa Wewe unavyosema kuwa Dodoma imepangwa vizuri na ushahidi wako ni majengo mapya yanayojengwa nakuona huna akili.
Sielewi Unazungumzia nini ka mkubwa
 
Honestly vernacular languages za bongo I don't know any. 🤣🤣 Mimi ni mdigo,mama msambii but I don't know any of these languages, but I've seen someone in the comments section said that the language spoken in the video is Kihaya
Mdigo hawa wa mijikenda ama wengine?
 
Dah! Asante kwa jibu nzuri hivi. Naona Pwani ndio region iliyoproduce marais wengi zaidi katika nchi ya Tanzania kushinda region yoyote ile. Hao ni marais wawili umetaja hapo juu.
Tony ni Marais 3 umemsahau Jakaya Kikwete kutokea Msoga Wilaya ya Chalinze naye ni mule mule mzee!!
 
Sielewi Unazungumzia nini ka mkubwa
Ukiwa na nguvu ya kuleta maendeleo kwenye kila Kona ya nchi utafanya nini? Kitu cha kwanza ni sheria na sera! Sera za mipango mji, sera za utekelezaji, sera za kuhakikisha mazingira yanatunzwa, sera za kuwasaidia wasiojiweza nk. Sasa hizo sera na sheria zikitumika sehemu moja eti kwasababu ni mji mkuu, itakuwa ni ubaguzi wa kimaendeleo. Mimi nataka Nione nchi nzima inapangwa vizuri lakini kama wizara husika inashundwa kutengeneza such policies basi Ndio hii mess itaendelea kufanyika.
 
Kuna ka center kanakua sana pale kibaha maeneo yanayozunguka bus terminal yao, kama umefika huko hivi karibuni utakua shahidi wa hilo, ukiachilia Bagamoyo tu hata na kibaha itapata maendeleo sana since Kibaha ipo karibu zaidi na mjini Kati DAR,
Kitu kizuri kuhusu Pwani ni fursa ya kujenga real estate projects nyingi sana kupunguza msongamano wa watu wanaotaka kuishi Dar es salaam. Ukijenga commuter railway, expressways na BRT, itakuwa rahisi kuunganisha makazi ya Dar na Pwani. Pwani inaweza kukua kiuchumi haraka sana, na sio Kwa viwanda tu.
 
Nimepitia maendeleo kadhaa ya China, yo China ni noma sana, The world's largest bus factory [emoji116]. I've never imagined that something like this does exist on Earth, this factory is Huge, Africa tuko na long long journey, Yutong ni balaa.. Tony254 njoo ujionee vile China inafanya sometimes nione sie wa EA tunapigizana kelele tu humu
[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846] Afrika bado tunacheza dansi ya miaka 47 mkuu.
 
Kitu kizuri kuhusu Pwani ni fursa ya kujenga real estate projects nyingi sana kupunguza msongamano wa watu wanaotaka kuishi Dar es salaam. Ukijenga commuter railway, expressways na BRT, itakuwa rahisi kuunganisha makazi ya Dar na Pwani. Pwani inaweza kukua kiuchumi baraka sana, na sio Kwa viwanda tu.
Yeah sure, Pwani inahitaji uwekezaji mkubwa sana, hata mimi ningeshauri waruhusu westerners, pamoja na watu wetu kuwekeza kwenye sector ya real estate, usafiri na usafirishaji (kwa serikali) kwa wingi, pamoja na viwanda, Pwani Iko na future nzuri sana, I hope miradi yote ya kimkakati itatekekezwa kama tunavyotarajia before 2025 at least hata miradi yote iwe imeshaanza kutekelezwa
 
Wadigo wanapatikana kwale county na imepakana na tz, huenda ukawa na ukoo nao
Most definitely, hata uko ubabani kwetu kuna ka eneo kanaitwa kwale, wadigo inavyosemekana ni indigenous kenyans, before the civil war in Mombasa (according to history) wadigo walihamia tu Tanga, wakapigana vita na wabondei (wakazi wa Tanga mjini wakati huo) then wadigo wakabaki Tanga na wabondei wakakimbilia sehemu panaitwa Muheza (it's now one among the districts in Tanga region)
 
Wengine ni yanga tu na simba
FB_IMG_16568643000783572.jpeg
 
Wadigo wanapatikana kwale county na imepakana na tz, huenda ukawa na ukoo nao
wadigo kwetu kenya, ni kabila moja miongoni mwa jamii ya kabila tisa liitwalo mijikenda. na watapatikana katika sehemu za pwani tu. kama vile kwale, kilifi, mvita(mombasa), tana river, etc. wengine ni wagiriama, wabajuni. jina lingine la 'mijikenda' ni 'waswahili'
 
Back
Top Bottom