Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kalvin Phillips was in kenya two weeks ago before heading out to join Manchester city
KP1.jpg
FWCJAxGWIAEzOVf.jpg
Screenshot_20220703-233826.jpg
 
Usimjibu aliniqoute nikakausha . Maada yake ikaisha . Bora wengine siasa zipo kushoto lakini huyo mdau alikua anamtetea late magu leo kageuka . Siasa kweli sio mchezo
Unajua nina uhuru pia wa kumkandia Magu kama mnavyomsifu huku mkimkandia mama!
 
One of the best things about home building is when it’s done through massive real estate developments. Tanzania kila mtu ana idea yake ya kujenga na wakati wake wa kujenga atakapopata pesa. Result ya hii ni spaces zinazoonekana kuwa disorganized, empty, zisizo na huduma muhimu nk.

Lakini nchi za wenzetu Mara nyingi nyumba huwa zinajegwa na makampuni halafu watu wanatafuta nyumba kununua na wanalipa Kwa mortgage. Kwa hiyo Wewe kama mteja unatembelea nyumba zilizopo vacant kwa msaada wa real estate agents na unaangalia nyumba zinazofaa mahitaji yako na income bracket yako. Ukitaka kufanya mabadiliko kama kuongeza rooms baada ya ku-acquire nyumba ni lazima upate ruhusa Kwa local authorities. Na pia ukitaka kuhama una-renovate nyumba iongezeke thamani then unaiweka kwenye market.

Kwa hiyo hizi real estate development companies wanajenga nyumba nyingi, na kutokana na plans zao wanaweza kutengeneza entire communities. Wanaweza kujenga nyumba, wakajenga commercial buildings kama restaurants, super markets, grocery stores, salons, spa, pharmacies etc. Pia wanaweza kujenga playgrounds za watoto, parks and gardens, markets…essentially, huduma za muhimu watu wanazohitaji zinakuwa karibu yao. Pia ujenzi wa vitu kama sewerage systems, street lights, pavements, traffic lights unafanyika. Kwa hiyo kiufupi, suburbs zinakuwa za kuvutia na zinafuata urban planning design. Kawaida urban plans pia zina sehemu zinazoachwa nafasi kama shule na administrative services. Projects kubwa zinaweza kushawishi serikali Au private parties kuongeza maendeleo Kwa kujenga vitu kama shule karibu na hizi jamii ili watoto wapate elimu karibu na nyumbani. Kama kuna mtu anataka kujenga nyumba yake mwenyewe, of course kuna process za kufuata.

Ningependa ujenzi wa aina hii ufanyike Tanzania. Watu wanadhani urban planning ni sprawling suburbs zenye mabati ya kufanana rangi. However, ni kitu tofauti kabisa. I prefer walkable neighborhoods that are community oriented. Neighborhoods filled with all the basic services close to every citizen.

Mfano ninaoupenda ni hii real estate development somewhere in Atlanta, Georgia.

Kuna residential buildings of many varieties, commercial spaces, parks and playgrounds. Kenyans are already doing this by the way.

083E50F6-2909-495D-9B16-7F9E36FD73FE.jpeg
E5C7E34C-73C0-4541-8A85-E297769802CE.jpeg
33EF0C0F-7B9F-4D5C-804E-A9C629090496.jpeg
6A03482A-4136-4ABE-AD04-09509F5B3816.jpeg
A307DD83-59E0-4C02-80F1-A940DC2664B8.png
D98CBB45-28F2-412A-A532-6F88E2D104A0.png
18733FC1-7E18-4093-8D13-8DE79291446D.jpeg
BF4372BF-57B8-4D92-BBFD-CF2B08A4D608.jpeg
19246CEF-2938-4FCB-B23B-6B64B6469C6A.jpeg
AE21DBB5-64F2-4EE9-A28B-ABE2C7009A5F.jpeg
987BC5F7-E102-40E6-8562-8D658A2A4879.jpeg
BDBD6817-71F9-48E7-AC5E-49D1209D0377.jpeg
6FBE987C-DC61-4C19-B354-DD58F5224982.jpeg
68FDC62C-44BB-4FE6-9D6E-E5C228AE38EC.jpeg
97F2144A-732D-46D2-A46A-B4BBF15E56F5.jpeg
A5135A26-BF28-4FAB-98B3-BF93071BE443.jpeg
 
One of the best things about home building is when it’s done through massive real estate developments. Tanzania kila mtu ana idea yake ya kujenga na wakati wake wa kujenga atakapopata pesa. Result ya hii ni spaces zinazoonekana kuwa disorganized, empty, zisizo na huduma muhimu nk.

Lakini nchi za wenzetu Mara nyingi nyumba huwa zinajegwa na makampuni halafu watu wanatafuta nyumba kununua na wanalipa Kwa mortgage. Kwa hiyo Wewe kama mteja unatembelea nyumba zilizopo vacant kwa msaada wa real estate agents na unaangalia nyumba zinazofaa mahitaji yako na income bracket yako. Ukitaka kufanya mabadiliko kama kuongeza rooms baada ya ku-acquire nyumba ni lazima upate ruhusa Kwa local authorities. Na pia ukitaka kuhama una-renovate nyumba iongezeke thamani then unaiweka kwenye market.

Kwa hiyo hizi real estate development companies wanajenga nyumba nyingi, na kutokana na plans zao wanaweza kutengeneza entire communities. Wanaweza kujenga nyumba, wakajenga commercial buildings kama restaurants, super markets, grocery stores, salons, spa, pharmacies etc. Pia wanaweza kujenga playgrounds za watoto, parks and gardens, markets…essentially, huduma za muhimu watu wanazohitaji zinakuwa karibu yao. Pia ujenzi wa vitu kama sewerage systems, street lights, pavements, traffic lights unafanyika. Kwa hiyo kiufupi, suburbs zinakuwa za kuvutia na zinafuata urban planning design. Kawaida urban plans pia zina sehemu zinazoachwa nafasi kama shule na administrative services. Projects kubwa zinaweza kushawishi serikali Au private parties kuongeza maendeleo Kwa kujenga vitu kama shule karibu na hizi jamii ili watoto wapate elimu karibu na nyumbani. Kama kuna mtu anataka kujenga nyumba yake mwenyewe, of course kuna process za kufuata.

Ningependa ujenzi wa aina hii ufanyike Tanzania. Watu wanadhani urban planning ni sprawling suburbs zenye mabati ya kufanana rangi. However, ni kitu tofauti kabisa. I prefer walkable neighborhoods that are community oriented. Neighborhoods filled with all the basic services close to every citizen.

Mfano ninaoupenda ni hii real estate development somewhere in Atlanta, Georgia.

Kuna residential buildings of many varieties, commercial spaces, parks and playgrounds. Kenyans are already doing this by the way.

View attachment 2280422View attachment 2280423View attachment 2280425View attachment 2280426View attachment 2280427View attachment 2280428View attachment 2280429View attachment 2280430View attachment 2280431View attachment 2280432View attachment 2280433View attachment 2280434View attachment 2280435View attachment 2280436View attachment 2280442View attachment 2280443
Wewe jamaa tushakufahamu hakuna siku umewahi kuongea jambo positive kuhusu bongo kwaiyo tunakuelewa baki na mawazo yako mgando
 
Back
Top Bottom