Sijui kwann nilivyoisoma hii afu nikafananisha na ile 10,000km ya wakunya nimeishia kucheka 😃
Magufuli yupi huyo?
Maguwefuli yupi huyo?
we jamaa upunguze mihemuko,upumbavu wako sidhani kama utafuta mamnqMagufuli yupi huyo?
Usimjibu aliniqoute nikakausha . Maada yake ikaisha . Bora wengine siasa zipo kushoto lakini huyo mdau alikua anamtetea late magu leo kageuka . Siasa kweli sio mchezowe jamaa upunguze mihemuko,upumbavu wako sidhani kama utafuta mamnq
Yeah hata mimi nimekua nikipata pita pale siku mbili tatu hizi nimeona hiiMji wa Kibaha tayari una master plan nzuri sana nadhani uki google hutazikosa maana mpaka barabara wamejenga kwenye new town centre na wameweka restrictions kwenye aina ya majengo yatakayojengwa.
CAF wanalikubali sana vibe la mashabiki wa Tanzania [emoji91]
Nioneshe kijitonyama nitoke JF sasa hivi. Hayo magorofa hapo kushoto sio kijitonyama.Wewe utasumbuka hadi lini? Una lipi la kusema kuhusu hizi zenu? Mbona Kijiko ya nyama na posta zote ziko ndani? View attachment 2280223View attachment 2280231
Acha wivu na ubishi kwa vitu ambavyo viko obvious.Nini kimepangika hapo bongolala? Au umekuja tu kustiri mwenzako baada ya kumuumbua? Tangu lini Dar na planning zikawa kwenye sentensi moja?
Unajua nina uhuru pia wa kumkandia Magu kama mnavyomsifu huku mkimkandia mama!Usimjibu aliniqoute nikakausha . Maada yake ikaisha . Bora wengine siasa zipo kushoto lakini huyo mdau alikua anamtetea late magu leo kageuka . Siasa kweli sio mchezo
Naona cku hz mnatucopy kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kudhani kuwa hiyo PDF sijawahi kuitazama lakini nimeshaipitia. Kama existing land use ingekuwa imefata masterplan, Dodoma isingeonekana hivi.Acha maneno mengi unaoneshwa situation on the ground unataka karatasi hebu pitia hizo basi ujiridhishe halafu uki google tuu Dodoma City Master Plan unaipata mpaka na report zake.
View attachment 2280236View attachment 2280237View attachment 2280238View attachment 2280240
Museveni ni mjinga sana wacha nikuambie.Hivi kweli rais wa nchi anaweza kuzungumzia jambo kubwa Kama hili bila kupata ushauri wa kitaalamu toka kwa wachumi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nimesema Tanzania inaconsume 1,400 MW. Kumbe hujui tofauti ya kuproduce na kuconsume?Kwanza get your facts right ndio uchangie vizuri bila bias. Nani kakuambia kuwa Tanzania ina produce only 1400MW. Angalia capacity yetu hapo in 2021 then add hizo ambazo ni off grid za viwandani.View attachment 2280188
Wewe jamaa tushakufahamu hakuna siku umewahi kuongea jambo positive kuhusu bongo kwaiyo tunakuelewa baki na mawazo yako mgandoOne of the best things about home building is when it’s done through massive real estate developments. Tanzania kila mtu ana idea yake ya kujenga na wakati wake wa kujenga atakapopata pesa. Result ya hii ni spaces zinazoonekana kuwa disorganized, empty, zisizo na huduma muhimu nk.
Lakini nchi za wenzetu Mara nyingi nyumba huwa zinajegwa na makampuni halafu watu wanatafuta nyumba kununua na wanalipa Kwa mortgage. Kwa hiyo Wewe kama mteja unatembelea nyumba zilizopo vacant kwa msaada wa real estate agents na unaangalia nyumba zinazofaa mahitaji yako na income bracket yako. Ukitaka kufanya mabadiliko kama kuongeza rooms baada ya ku-acquire nyumba ni lazima upate ruhusa Kwa local authorities. Na pia ukitaka kuhama una-renovate nyumba iongezeke thamani then unaiweka kwenye market.
Kwa hiyo hizi real estate development companies wanajenga nyumba nyingi, na kutokana na plans zao wanaweza kutengeneza entire communities. Wanaweza kujenga nyumba, wakajenga commercial buildings kama restaurants, super markets, grocery stores, salons, spa, pharmacies etc. Pia wanaweza kujenga playgrounds za watoto, parks and gardens, markets…essentially, huduma za muhimu watu wanazohitaji zinakuwa karibu yao. Pia ujenzi wa vitu kama sewerage systems, street lights, pavements, traffic lights unafanyika. Kwa hiyo kiufupi, suburbs zinakuwa za kuvutia na zinafuata urban planning design. Kawaida urban plans pia zina sehemu zinazoachwa nafasi kama shule na administrative services. Projects kubwa zinaweza kushawishi serikali Au private parties kuongeza maendeleo Kwa kujenga vitu kama shule karibu na hizi jamii ili watoto wapate elimu karibu na nyumbani. Kama kuna mtu anataka kujenga nyumba yake mwenyewe, of course kuna process za kufuata.
Ningependa ujenzi wa aina hii ufanyike Tanzania. Watu wanadhani urban planning ni sprawling suburbs zenye mabati ya kufanana rangi. However, ni kitu tofauti kabisa. I prefer walkable neighborhoods that are community oriented. Neighborhoods filled with all the basic services close to every citizen.
Mfano ninaoupenda ni hii real estate development somewhere in Atlanta, Georgia.
Kuna residential buildings of many varieties, commercial spaces, parks and playgrounds. Kenyans are already doing this by the way.
View attachment 2280422View attachment 2280423View attachment 2280425View attachment 2280426View attachment 2280427View attachment 2280428View attachment 2280429View attachment 2280430View attachment 2280431View attachment 2280432View attachment 2280433View attachment 2280434View attachment 2280435View attachment 2280436View attachment 2280442View attachment 2280443