Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Mbona hizi picha hata ukienda mtandaoni unazipata au mpo lazy kusearch? JKIA ndani inakaa hiviNioneshe kwa nje watu wanakaa wapi, hii picha imenistua sana.View attachment 2275629
Mbona hizi picha hata ukienda mtandaoni unazipata au mpo lazy kusearch? JKIA ndani inakaa hiviNioneshe kwa nje watu wanakaa wapi, hii picha imenistua sana.View attachment 2275629
Zuzu wewe kwani huoni viti hapo?Nakwambia nioneshe kwa nje abiria kabla ya kwenda departure wanakaa wapi au simply abiria wanaosubiri kuwa checked in wanakaa wapi.
Hizi ni counters sina shida nazo, nataka mahali ambapo reserved passengers wanasubiri.Mbona hizi picha hata ukienda mtandaoni unazipata au mpo lazy kusearch? JKIA ndani inakaa hivi
View attachment 2275636
weka the whole lounge hiyo ni check-in section!Mbona hizi picha hata ukienda mtandaoni unazipata au mpo lazy kusearch? JKIA ndani inakaa hivi
View attachment 2275636
Mbona empty ? Nilijua uta-post hii maneno nimeku-instigate maksudi! 👆 👆 🤣 🤣 🤷♂️ 🤷♂️
Nimeshafika kwenye tukio.. ngoja nifanye yangu.. afu humu nina accounts mbili..zote natumia kupiga kura 😅Ah ule mda wetu umefika sasa.. sijawah kumiss kuvote humu.. wabongo tuzame humu tupigie kura vitu vyetu vyote
Hii ni departure, nataka ambapo reserved passengers wanasubiri nione wacha hasira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni empty kwa sababu kwenye hio gate hakuna ndege.weka the whole lounge hiyo ni check in section!
Mbona empty ? Nilijua uta-post maneno nimeku-instigate maksudi! 👆 👆 🤣 🤣 🤷♂️ 🤷♂️
nimeku-instigate kama masai wa Loliondo!Ni empty kwa sababu kwenye hio gate hakuna ndege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134][emoji134]Dar is a slum Fire station. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
![]()
Only 3 water carrying vehicles. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
View attachment 2275609
Katumwa aje kuharibu [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanasubiri kwenye hivyo viti. Nini ngumu kuelewa? Nilipokuwa nasafiri nilingoja ndege kwenye hivi viti. Bro wewe unafanya kazi kwa airport kweli? Kwani hivi sio viti vya kisubiria ndege? Mimi mwenyewe nilikaa kwenye hivi viti 2017 wakati nasafiri nje ya nchi.Hii ni departure, nataka ambapo reserved passengers wanasubiri nione wacha hasira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katumwa aje kuharibu [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katumwa aje kuharibu [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm ndio nina mashaka na wewe kama kweli uliwahi kupanda ndege, hapo kwenye hiyo picha uliyoweka wanakaa abiria wa departure ambao tayari washakuwa checked in, sasa what I want ni sehemu gn wanakaa abiria ambao hawajakuwa checked in, yn nataka kuona abiria ambao hawaja chekiwa wanakaa wapi?Wanasubiri kwenye hivyo viti. Nini ngumu kuelewa? Nilipokuwa nasafiri nilingoja ndege kwenye hivi viti. Bro wewe unafanya kazi kwa airport kweli? Kwani hivi sio viti vya kisubiria ndege? Mimi mwenyewe nilikaa kwenye hivi viti 2017 wakati nasafiri nje ya nchi.
View attachment 2275643
Au unauliza viti ambavyo vipo nje ya hii terminal ambapo watu wanakaa kabla ya kuingia ndani ya terminal? Nimekupata sasa. Viti hivyo vipo lakini sio vingi. Wewe ndio hujui kuuliza swali. Wacha nitafute nione kama nitapata.Sikutegemea aisee, siwezi tena kuongelea JKIA vs JNIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2275644
Kama kweli umewahi kupanda ndege lazima uwe umenielewa nikitumia misemo ya checked in passengers au reserved passengers.Au unauliza viti ambavyo vipo nje ya hii terminal ambapo watu wanakaa kabla ya kuingia ndani ya terminal? Nimekupata sasa. Viti hivyo vipo lakini sio vingi. Wewe ndio hujui kuuliza swali. Wacha nitafute nione kama nitapata.