Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,716
- 107,164
kuna jamaa aliuliza hao omba omba wanafikaje kenya na ikiwa hata pasipoti hawana,wakunya watu wa ajabu sana
ila hili tatizo ukiliangalia vizuri si jamaa wa Kunyaland tu wa kuwalaumu angalia jamii ya wanaotoa watoto wao ni wakina nani na chunguza mila zao pia! Hizi sehemu za ziwa Victoria upande wa Tanzania zina tatizo sana haswa suala la walemavu linapohusika!
Ukiwa mlemavu yaani chance ya kutolewa kafara au hata utumwa ni kubwa na hili ni kwa sababu ya mila potofu (ostrecization)! Huyu Mkunya katumia fursa iliyopo kutengeneza biashara haramu!
Angalia hiyo clip yote utaona mmama aliyetoa kijana wake na kutomuona kwa zaidi ya miaka 10 na bila kujishughulisha kumtafuta bado anakataa kumpokea kwa sababu za kipuuzi ati kahamia porini kwa hiyo mpaka apate sehemu karibu ndo kijana atapokelewa.
Inasikitisha!