Usishangae, hivyo ndivyo ambavyo kwa miaka mingi Sana wakenya wamekua wakidanganywa na viongozi wao pamoja na vyombo vya habari vyao, Sasa hivi wanashangaa kusikia tofauti na kile walichoaminishwa kwa miaka mingiww unawazimu tena sijui kichaa cha mbwa koko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manufacturing sector ya Tanzania ndiyo inayoingiza zaidi ya 60% ya FDI za Tanzania.Ukitoa mining, what was the last major FDI in your country?
Every week we read about Kenyan companies, especially IT startups, receiving millions of dollars in foreign capital. Tanzania ni giza tu.
Ukitoa mining, what was the last major FDI in your country?
Every week we read about Kenyan companies, especially IT startups, receiving millions of dollars in foreign capital. Tanzania ni giza tu.
Nitajie nchi 5 zinazotumia bandari ya Mombasa, umuhimu wa bandari ili kufikia hadhi ya "hub" ni idadi ya nchi inazozihudumia. 90% ya mizigo ni imports za Kenya, kumbuka uchumi wa Kenya kwa Sasa mnanunua kila kitu toka njechongchung coodip1 bado mnaamini kwamba Dar is a slum port inaweza kushindana na Mombasa port?
View attachment 2275234
Kimei anafaa sema shida ni.............Nilishasema huyu jamaa ni zero! Wizara ya Fedha haitaki pata potea! Baada ya kuhimiza serikali kukopa ku-finance budget, sasa unahimiza bahati nasibu na tunajua jinsi inavyoathiri jamii na kupunguza ufanyaji kazi! Watu wanashinda kwenye lottery booths!
Naskia toll gates zinaenda kuwekwa Tanzanite bridge na Kibaha. Hivi kwann mama asijaribu mtu kama Kimei aliyeitoa CRDB Bank mbali na kuiacha katika hali nzuri? Hata michango yake imejaa ufahamu wa jinsi ya ku-boost economy with minimum risks. Huyu Mwigulu ni zao la PhD za mchongo akiwa waziri na Mbunge na hajawahi kufundisha wala kuongoza taasisi ya fedha! Ni hatari kweli kumtegemea kukuza uchumi kurudi 7%!
shida ni nn?Kimei anafaa sema shida ni.............
Ongezea the third golf academy in Africa after Egypy and South AfricaIhumwa Dodoma: Golf course plus a 5 star hotel and sports center
@Tony254 hii ni jibu kwa Kenya baada ya Kenya kuongeza Kodi kwenye gas ya kupikia toka Tanzania na wewe uliunga mkono hiloTanzania and Kenya still locked in trade dispute
MONDAY JUNE 27 2022
![]()
Summary
- The new directive is set to hit millers who are banking on Tanzania for imports of maize to meet the current shortage in the country.
![]()
By Business Daily Africa
More by this Author
Kenya says Tanzania has doubled the cost of export permits by 93 percent, a move likely to open another round of trade dispute between the two countries.
According to the claims, the authorities in Tanzania have increased the cost of acquiring export permits from the previous Sh27, 000 per truck to Sh52, 000, according to border officials.
The move caused a huge snarl-up of trucks moving to Kenya in the last one week as traders and truckers were caught off guard by the new requirement.
“Tanzania has increased the charges that it levies on export permit to Sh52, 000 per truck creating confusion at the border but activities are slowly coming back to normal,” said an officer of the Kenya Revenue Authority (KRA) who will not be named as he is not authorised to talk to the media.
Hundreds of trucks were left stranded at the border the whole of last week as truck owners updated their export permits to meet the new requirements. However, officials from the Kenya Bureau of Standards (Kebs) told the Business Daily that they resumed the clearing of trucks last week.
“We have now seen some movement of trucks from Tanzania to Kenya. We have carried out some samples of the goods getting into Kenya, meaning that the normal flow of trucks is slowly gaining momentum,” said a Kebs official.
The new directive is set to hit millers who are banking on Tanzania for imports of maize to meet the current shortage in the country. It is also likely to spark another round of trade war between Kenya and Tanzania slightly over a year after the two countries resolved their differences that had impacted negatively on cross-border trade.
The long-standing trade disputes had slowed down the flow of goods across common borders since 2019.
Tanzania had in 2020 imposed a 25 per cent import duty on Kenyan confectionery, including juice, ice cream, chocolate, sweets and chewing gums, claiming Kenya had used zero-rated industrial sugar imports to produce them.
Kenya banned Tanzanian tour vans from accessing the Maasai Mara National Reserve, arguing that Tanzania had banned Kenyan operators from accessing the Serengeti National Park.
Tanzania escalated the trade spat in February last year when it imposed fresh quality verification standards for Kenyan products.
These differences were, however, resolved when the new Tanzanian President Samia Suluhu visited Nairobi last year for a bilateral meeting with his Kenyan counterpart Uhuru Kenyatta.
gandae@ke.nationmedia.com
![]()
Tanzania and Kenya still locked in trade dispute
The move caused a huge snarl-up of trucks moving to Kenya in the last one week as traders and truckers were caught off guard by the new requirement.www.thecitizen.co.tz
Hawa waingereza tunafanana nao sana kwenye soka, wana league bora ila national team hamna kitu mana wana muscles za kununua na kulipa wachezaji wa kigeni pia nguvu ya matangazo kama sisi tu ki Afrika Africa.Same to TPL vs other leagues in East Africa
View attachment 2275252
Hawa Wakenya ni mbwa wenye miili ya binadamu, wana roho mbaya, wivu chuki na kila aina ya fitina, mm nakwambia mwaka huu lazima wauwane kutokana na roho mbaya na umaskini walio nao unaowafanya wachukiane wenyewe kwa wenyewe. Watachinjana mpk makanisani na misikitini subiri uone, na hakuna wa kuwatetea zaidi ya kuwapelekea silaha wauwane zaidi.@Tony254 hii ni jibu kwa Kenya baada ya Kenya kuongeza Kodi kwenye gas ya kupikia toka Tanzania na wewe uliunga mkono hilo
Kama ninavyokuambia kwamba Tanzania huwa tunajibu mapigo baada ya Kenya kuanzisha chokochoko "always".
Mara nyingi nilikuambia kwamba, Kenya hamuwezi kuelewana na kiongozi yeyote yule, ulikua ukisema kwamba mama Samia Hana chuki na Kenya Kama Magufuli, chokochoko za biashara hazitokuwepo tena, Sasa kikowapi mbona zinaendelea pamoja na mama Samia kujishusha na kumfedhehesha Magufuli kwenu kwamba yeye ndiye aliyekua chanzo cha migogoro Kati ya Kenya na Tanzania?. Ninyi wakenya ni watu wa hovyo Sana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Alikuwa analalamika kadogosa mwizi, mimi nikawa nashangaa kuna raisi, kuna waziri wa ujenzi, kuna bodi ya TRC wote hawa wanamwangalia tu anaiba?Utamkosoaje waziri bila kumkosoa raisi ebu jichunguze mzee kama bado zipo humo kichwani ,kwani waziri anafuata maelekezo ya nani
Tanzania yoote ni aibu tupu.., eti apocalypse 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 yaani hawa👇👇👇 ambao world bank walifanya utafiti wakawagundua kwa wingi unajua wanaishi wapi?Huku kunakaa ni kama apocalypse. Yaani mwisho wa dunia. Utadhani eneo limepigwa nuclear bomb. Halafu Ng'amia za South huwa zinasema hakuna slums Dar.
View attachment 2274777View attachment 2274778View attachment 2274779
Wapo bize na bongo wakati yao yamewashinda