The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Nakuambia ni 13, walifanya mtihani zaidi ya 20,000 waliofaoulu ni kumi wakaongezwa watatu kwahiyo idadi ni 13.Idadi ni 19 sio 13.
Nakuambia ni 13, walifanya mtihani zaidi ya 20,000 waliofaoulu ni kumi wakaongezwa watatu kwahiyo idadi ni 13.Idadi ni 19 sio 13.
Mimi nakueleza nurses ambao wamepatiwa visa na ambassador wa UK ni 19. Sasa unapinga nini? Hao sita pengine walifanya mtihani kabla ya hao au baada ya hao na kupita. Sasa unapinga na nimeweka hata video. Unapinga mpaka video sasa? Kwa hivyo mtihani ikifanywa mara moja haiwezi kurudiwa? Yaani sikuelewi. Mitihani inaweza kurudiwa na ukapita.Nakuambia ni 13, walifanya mtihani zaidi ya 20,000 waliofaoulu ni kumi wakaongezwa watatu kwahiyo idadi ni 13.View attachment 2275572
Nakuambia hivi manesi ni 13 mpk uniletee evidence za kimaandishi na sio u tube ambayo hata wewe unaweza kusema.Mimi nakueleza nurses ambao wamepatiwa visa na ambassador wa UK ni 19. Sasa unapinga nini? Hao sita pengine walifanya mtihani kabla ya hao au baada ya hao na kupita. Sasa unapinga na nimeweka hata video. Unapinga mpaka video sasa? Kwa hivyo mtihani ikifanywa mara moja haiwezi kurudiwa? Yaani sikuelewi. Mitihani inaweza kurudiwa na ukapita.
Umeitisha evidence ya kimaandishi, ndio hii hapa. Mimi huwa sibahatishi. Nakuambia ni nurses 19 na hii ni first cohort. Kuna wengine wataenda baadaye. Hawa 19 wanaenda Oxford University Hospital.Nakuambia hivi manesi ni 13 mpk uniletee evidence za kimaandishi na sio u tube ambayo hata wewe unaweza kusema.
Rafiki naona unasafiri. Safari njema. Hii JNIA mbona ipo empty vibaya?
JNIA is a ghost infested airport👇🏽Rafiki naona unasafiri. Hii JNIA mbona ipo empty vibaya?
View attachment 2275581
Embu tuone hizo NGOs zao sasa zikishupalia hili la human trafficking tuone.kuna jamaa aliuliza hao omba omba wanafikaje kenya na ikiwa hata pasipoti hawana,wakunya watu wa ajabu sana
Sasa unabisha nn, kati ya manesi 20,000 waliofanya mtihani walifaulu 10 wakaongezwa 3 na wengine 6 walihurumiwa ambao wataenda kipindi kingine co kipindi cha hawa 13.Umeitisha evidence ya kimaandishi, ndio hii hapa. Mimi huwa sibahatishi. Nakuambia ni nurses 19 na hii ni first cohort. Kuna wengine wataenda baadaye. Hawa 19 wanaenda Oxford University Hospital.
Usijidhalilishe kiasi hiki. Yaani tangu lini wewe ukaanza kupinga evidence? Kuwa muungwana. Huwa unasema Watanzania ni wangwana sasa uungwana wako uko wapi?Sasa unabisha nn, kati ya manesi 20,000 waliofanya mtihani walifaulu 10 wakaongezwa 3 na wengine 6 walihurumiwa ambao wataenda kipindi kingine co kipindi cha hawa 13.
Alafu wakuu elimu ya Kenya ni ya kimavi sikiliza kiongozi wao anavyowaambia, yn Kenya inasomesha madokta na manesi sio kwa ajili ya kuhudumia Wakenya bali wakahudumie watu wengine alafu waache wakenya wakifa kwa magonjwa msome huyu mbwa [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2275587
Ndinda ni mtu na pesa zake. Hawezi kupost picha ya zamani. Amepost picha fresh ya leo.We naye uwe mjanja wa kutafsiri mambo, usiwache ubongo ulale huo, ww huoni kama hiyo ni picha ya kitambo? Picha ya jana [emoji116][emoji116]View attachment 2275588
JNIA is a ghost infested airport👇🏽View attachment 2275586
Mm ni mfanyakazi hapo ndani nakuambia hiyo picha ya kitambo nisikilize mm, kama ukitaka nifukuzwe kazi ww bisha basi nitakuletea picha kila siku mpk nifukuzwe kazi mana hairuhusiwi kupiga picha hapo.Ndinda ni mtu na pesa zake. Hawezi kupost picha ya zamani. Amepost picha fresh ya leo.
Serikali ya Kenya inachoshindwa kuwazoa hao ombaomba hapo mjini ni nini? Pick them up from the streets and repatriate them the good thing tuko karibu gharama ya repatriation ni ndogo sana.Lazima ni mtandao wa watu ambao wapo Tz na Kenya, ni biashara haramu ya usafirishaji wa watu. Ufuatiliwe wote.
Pia GoT waende kuandikisha walemavu wote Usukumani maana ndo wanaonekana kutokea huko!Serikali ya Kenya inachoshindwa kuwazoa hao ombaomba hapo mjini ni nini? Pick them up from the streets and repatriate them the good thing tuko karibu gharama ya repatriation ni ndogo sana.