Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani mm mazingira yangu ya kazi pekee nakutana na wajanja daily nakuwaje lofa kwa mfano, sasa yeye mpk aoshe vidonda vya madereva wa bodaboda kutoboa lini. Maanina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa nataka kushindana na ww ambaye sio fool tuone miaka yako 37 duniani ulikuwa unafanya nn
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Do you recognize these people?
images.jpg
 
Do you recognize these people?View attachment 2275454
Mm nina uhakika 100% wewe ni fukara huna hata nyumba ya familia, yn ww hata familia yako haina nyumba ya kueleweka, wanakusubiri ww umalize chuo upate kazi u make pesa ndio ujenge nyumba, qmaamaee hii trend ni ndefu sana mpk utoboe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ungekuwa serious ungesoma auche kuwa watchman.
Naona umeanza kuogopa unaingia kwa kuchungulia, kaa ukijua ukiniona mm nipo humu uwe unaingia kwa adabu cz mm sitabiliki naweza kumvamia yeyote yule kulingana na mood yng kwa siku hiyo.
 
Yani mtu na akili zako unapoteza muda kusoma Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa mkubwa kinoma ana miaka 37 na bado anasoma akiamini ipo siku atatoboa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Twende pole pole, tuchukue mfano wa airports, kati ya JNIA na JKIA gani kubwa in terms of capacity.?
Capacity na Volume ni vitu viwili tofauti

JNIA terminal 3 plus 2 plus terminal 1 vina camapcity ya 8.5M passengers na volume inayoserve ni tofauti

JKIA ina capacity ya around 7m ...na ina serve almost same number


Dar Port ina capacity ya 25million tonnes.

Mombassa i think 30million
 
Wakenya ni mafukara sana, angalia nilivyotamba hapa hakutokea mkenya hata mmoja kuni challenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ssahivi hapa gikombaa maze... hawa watanganyika wamekuja wengi sana.!! ata wakenya hatupati nafasi..
hawa watu warudi kwao please, ili tupate nafasi ya kupumua.. 'we can't breath'

anyway i understand. to them, kenya is another version of 'south africa'.. shilingi ya kenya dollar.!
Screenshot_20220628-151518_Photos.jpg
Screenshot_20220628-121731_YouTube.jpg
Screenshot_20220628-121707_YouTube.jpg
Screenshot_20220628-151557_Gallery.jpg
 
Mm nawaambia kama ningelikuwa mkenya alafu natoa statement za kishujaa kama hizi basi kaa ukijua lazima angetokea mbongo mmoja wakuni challenge, lkn hawa mafukara wamekausha maskini hawana cha kuonesha public [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mafukara ya Kenya yameniacha nimetamba sana leo, hakuna hata fukara mmoja aliyetaka kuni challenge kwasababu wana maisha magumu mno, ila mm nisingeweza kutamba mbele ya wabongo humu, wee wabongo wana visu aisee asikuambie mtu, yn hapa lazima angetokea mbongo akaniambia haya tuanze ss, lkn hii mifukara yote ime salute [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Capacity na Volume ni vitu viwili tofauti

JNIA terminal 3 plus 2 plus terminal 1 vina camapcity ya 8.5M passengers na volume inayoserve ni tofauti

JKIA ina capacity ya around 7m ...na ina serve almost same number


Dar Port ina capacity ya 25million tonnes.

Mombassa i think 30million
Hicho ndo ninacho sema
 
Back
Top Bottom