Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hicho choo mnachojitapa nacho humu Laiti mngefuatilia hii page muone mijumba inayojengwa bongo mngejiona kiasi gani mlivyo wasenge kujilinganisha na Tanzania linapokuja suala la luxury homes and anything luxury

Ninyi mmetupita kwenye yale maghorofa ya udongo yasio na dirisha kama ya Baghdad

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bongolala, Fumba town is the most luxurious estate in Tanzania. Hata maandishi yenyewe yanasema hivyo: "most luxurious estate" so acha kuforce mambo, unaonekana mjinga
Macho huna au? Mzee wa kuumizwa na ma slums ya Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga wavunje kibubu wamchukue fasta huyo mwamba
Wamchukue nani mkuu? Mosimane? Alafu Nabi aende wapi kaka? Ubora wa kocha sio jina ni mbinu na pia bahati na timu, sio lazima Ferguson angefaulu kule Madrid japo alitisha akiwa na Man u.
 
Show me anywhere in that video they've mentioned that it's worth $10m.
Mkalee kaumizwa na a $10mil house, yeye alileta kijumba cha $1mil akafikiri atatisha kumbe ni pesa ya plot pale masaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hivyo it's no longer 2.5 square kilometers? Sawa basi wewe unajua, ina ukubwa wa kiasi gani?
Hata kama ina 2km² ila ukweli ni kwamba ina accomodate 2.5 millions of slum dwellers, japo inauma ila huo ndio ukweli na upo published [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kibera is under Kibra constituency. Kibra constituency consists of Kibera slum, South C, Nairobi West, Madaraka, Ngumo, Mbagathi, Upperhill and neighbouring areas
Hayo maeneo yote umetaja ni slums so usiyakosee heshima kwa kutoweka neno slum mbele ya majina yao.
 
oneni mji huo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]






yani mkenya anaamili mall na pizza shop ndio maendeleo [emoji1787][emoji1787] nani aliwaroga hawa watu
Alafu kwnn Kenya majengo yao mengi yapo hivi [emoji116][emoji116]yn nikiona picha tu najua
tapatalk_-1384146500_680x340.jpg
 
Back
Top Bottom