Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu City suburbs.
Image


Image
Hii picha inaonesha namna Kisumu ndogo, ona miisho yake ilivyo karibu paleee kwenye maslums 😅😅😅

Image
 
Map ya population density ya East Africa. Yaani wana EAC tumerundikana karibu na Lake Victoria.
View attachment 2274496
Ardhi yenu kiduchu fertile ndio mmeipollute na residential areas instead of agriculture projects ndio maana hamuwezi kujilisha na nyingine kubwa wazungu wameikaba kwenye kilimo cha chai na maua yasiowahusu
 
Ardhi yenu kiduchu fertile ndio mmeipollute na residential areas instead of agriculture projects ndio maana hamuwezi kujilisha na nyingine kubwa wazungu wameikaba kwenye kilimo cha chai na maua yasiowahusu
Ardhi yetu ni kame kwa asilimia 75.
 
This time hakutakuwa na vita katika uchaguzi. Vita vya 2007 vilifanyika kwa sababu hatukuwa tunategemea vita vitokee. Ilitokea kama surprise tu. This time vyombo vya dola vipo macho kuzuia machafuko. Lakini kasi ambayo mnakuja nayo kwenye sector ya utalii sio fair hata kidogo. Mimi naona itabidi tupange mambo yafanyike huko ili kupunguza kasi hii. Hatukubali kamwe kupitwa namna hii.
Cc Nicxie nairobae Don YF mwenzenu muungwana kaukubali mziki nyie mnapita kmy kmy kwa wivu mlionao. Mwaka huu gape la kwenye utalii lazima li triple [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ase😂.. wew tulia uone kitakachomkuta huyo mama 2025
Ile comment ya Kikwete ilishatoa alert kama akili anayo, wameanza kumsagia kunguni mapema mno, pengine hata hawatumii nguvu nyingi sababu wanajua hana machawa wenye muscles wala influence.
 

The issue of child trafficking from Tz to Ke.

hizi ndo zile NGOs za Nairobi ziko Loliondo sasa! Zinajaribu kuwa-con Wamasai baaada ya kuwa-con Wasukuma!

Just like we said it is something a Kunyan has a hand i.e. trafficking minors to Nairobi and push them into a forced labour i.e. begging!

Now what pisses me off is the family of Fara that is having enough land to sustain a decent living and even moved to a bigger shamba but r giving their disabled kid to a stranger that lives in a slum somewhere in Kariobangi!
 
Nyie wacheni ujinga. Karen ndipo Raila, Ruto, Kalonzo na wanasiasa wakubwa wanapoishi hapa Nairobi. Unadhani wanasiasa wa Kenya na jinsi wanavyojipenda na pia jinsi ni wabinafsi wanaweza kuishi katika mazingira mabovu? Watu ambao wanamiliki helicopters wanawezaje kuishi katika mazingira mabaya? Hawa wanasiasa wa Kenya ni dollar millionaires. Aisee ukisikia neno "Karen" wewe kaa kimya tu, sio lazima ulete battle kwenye kila kitu.
Cc Sama boy 255

Hahaha, Kumbe Baba anaishi karen,
Kwaiyo wakati akiwa mbunge wa kibera ikiwa yeye anaishi Caren , haya maisha yanejaa sana unafiki
 
niliwatch mwanzo mwisho and there was no mention of price in that video. If I didn't watch how did I know the cost of the villas is $400,000?
Hii yo video inaonyesha only one mansion in and out 👇. Hakuna villas humu zinazoonekana in the whole vide.. ndio mana nikaweka na hii picha 👇
Screenshot_20220627-110054_1.jpg
hii sio video ya that's yule Nigerian YouTuber yaani hii 👇.
 
Hata ikue 1980 the fact remains mulipigwa kama mbwa na tutaendelea kuwapiga. [emoji1787] [emoji1787][emoji1787] You can not rewrite history ya Yanga kupigwa kama mbwa.
Gor Mahia FC vs YOUNG AFRICANS SC: Live Score, Stream and H2H results 7/18/2018. Preview match Gor Mahia FC vs YOUNG AFRICANS SC, team, start time. Tribuna.com


Tumezoea kuwapiga kama mbwa tangu kitambo. Yanga ilishinda Gor mwisho in 1975 ukiwa kijana mdogo, na ni mara moja tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyinyi ni mabibi zetu kuwapandilia ndio hobby.

View attachment 2274239
CAF ranking ya Gor Mahia ikoje embu tuwekee hapa tucheke kidogo.
 
Back
Top Bottom