The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wacha Ruai, ka Nairobi nzima kamezungukwa na ma slums everywhereNionyeshe mabati houses Ruai slum![]()

Wacha Ruai, ka Nairobi nzima kamezungukwa na ma slums everywhereNionyeshe mabati houses Ruai slum![]()

Katika mambo ambayo yanawauma baadhi ya wakunya humu ni uwepo wa ma slums kila kona, mwengine anajaribu kuweka Google map za posh area alafu anajiliwaza kwa kuita slums![]()



Leo ni mwendo wa ma slums mapya tuInawauma sana, just imagine nchi kuwa na moja kati ya slum kubwa Africa... Hiyo imekaaje!![]()


Leo ni mwendo wa ma slums mapya tuView attachment 2267132View attachment 2267133View attachment 2267134View attachment 2267135













Mkuu Kenya ni dampo mkuu, huoni tukiwabana kwenye ma slums wanakosa la kusema kwasababu tunakuwa tumepiga kwenye mshono. Kenya nzima hakuna mji ukakosa slums, nyumba moja ya tajiri Kenya juwa kwamba kuna slums 1000 zimezunguka hiyo nyumba.Looh!![]()
Vipicha vya upande upande, ukiongeza angle panakaa hivi, ona majengo yaliyopigwa make up yale pale yanaonekanaNice Progress at Uhuru Park.
![]()


Mkuu Kenya ni dampo mkuu, huoni tukiwabana kwenye ma slums wanakosa la kusema kwasababu tunakuwa tumepiga kwenye mshono. Kenya nzima hakuna mji ukakosa slums, nyumba moja ya tajiri Kenya juwa kwamba kuna slums 1000 zimezunguka hiyo nyumba.



Ni ngumu kutenganisha Kenya na Slums, good night wakuu.Asee sio mchezo.![]()
Unatambua Nairobi hadi unatusaidia kupost. Kwani huna kwenu? 🤣 🤣 🤣Vipicha vya upande upande, ukiongeza angle panakaa hivi, ona majengo yaliyopigwa make up yale pale yanaonekanaView attachment 2267137
Me nalala sahiziUnatambua Nairobi hadi unatusaidia kupost. Kwani huna kwenu?![]()
![]()
![]()








hii kweli babu?
Kwa hivyo Ruai sio slum tena? 😂 😂
lisilo na maji na lililokubuhu kwa kipindupindu!Jiji Kuu
![]()
HOHOHO 🤣 🤣 🤣 We got the juice.lisilo na maji na lililokubuhu kwa kipindupindu!
Ngoja tuongeze angle kdg mana dunia ya sasa humuongopei mtu.Jiji Kuu
![]()