Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_8301.jpg
 
It's not even in Dar. It's in Zanzibar
Hicho choo mnachojitapa nacho humu Laiti mngefuatilia hii page muone mijumba inayojengwa bongo mngejiona kiasi gani mlivyo wasenge kujilinganisha na Tanzania linapokuja suala la luxury homes and anything luxury

Ninyi mmetupita kwenye yale maghorofa ya udongo yasio na dirisha kama ya Baghdad

 
Nyie wacheni ujinga. Karen ndipo Raila, Ruto, Kalonzo na wanasiasa wakubwa wanapoishi hapa Nairobi. Unadhani wanasiasa wa Kenya na jinsi wanavyojipenda na pia jinsi ni wabinafsi wanaweza kuishi katika mazingira mabovu? Watu ambao wanamiliki helicopters wanawezaje kuishi katika mazingira mabaya? Hawa wanasiasa wa Kenya ni dollar millionaires. Aisee ukisikia neno "Karen" wewe kaa kimya tu, sio lazima ulete battle kwenye kila kitu.
Cc Sama boy 255
"Jinsi walivyo wabinafsi "nimekuelewa, fasihi imetumika ipasavyo kufikisha ujumbe kwa wanasiasa wa Kenya. [emoji1666][emoji1666]
 
Asante kwa ku prove kwamba maeneo yenye mazingira mazuri wanakaa wanasiasa ila kina Nicxie ambao ndio wengi wanaishia kuishi maisha wanayoishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi nimemuelewa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
"Jinsi walivyo wabinafsi "nimekuelewa, fasihi imetumika ipasavyo kufikisha ujumbe kwa wanasiasa wa Kenya. [emoji1666][emoji1666]
Mimi naamini wanasiasa kote duniani ni wabinafsi. Hata huko kwenu hali ni vivyo hivyo.
 
Kibera ni kubwa sana na ndio slum kubwa Africa, hilo kwamba mumejenga kilometers 28 ni kamba tu ila Kibera ni kubwa sababu ni independent parliamentary constituency it's a whole district by population
Kwa hivyo it's no longer 2.5 square kilometers? Sawa basi wewe unajua, ina ukubwa wa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom