Wakona ushago ndani ya jiji 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna sehemu nyingi tu za Dar ambazo ni vichaka kabisa. You can't get a place like this in Nairobi unless it's a gazetted land like the Nairobi national parkView attachment 2272197
Wakona ushago ndani ya jiji 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna sehemu nyingi tu za Dar ambazo ni vichaka kabisa. You can't get a place like this in Nairobi unless it's a gazetted land like the Nairobi national parkView attachment 2272197
Zipo nyingi sana hata huwezimaliza. Alafu utasikia wanavyojisifu vile Dar ni kubwa kwa Nairobi mara tatu. Kumbe huo ukubwa wote nusu ni vichaka tu!😃😃Wakona ushago ndani ya jiji 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()
Wewe kama hujui Dar ambia wenzako wakusaidie, wewe ni kama umetoka ushago, hapo ni msongola.Hee jamani, wewe umesema hiyo picha ni DAR, the question is hapo ni DAR sehem gani.?
60% ni ushago, 35% ni uswazi🤣🤣Zipo nyingi sana hata huwezimaliza. Alafu utasikia wanavyojisifu vile Dar ni kubwa kwa Nairobi mara tatu. Kumbe huo ukubwa wote nusu ni vichaka tu!😃😃
Vipi hiyo gari imeandikwa rangi tatu hapo mbele Kama sio Dar?Mbagala rangi tatu ni hii 👇View attachment 2272208View attachment 2272211
😂😂😂 DAR nzima hakuna pori kiasi ambacho kuna maeneo ya mkoa wa pwani yamepakana na DAR lakini ki mipaka sio Dar, wacha kujisumbua, leta hizo picha za hayo mapori ya Dar unayoizungumzia kilaza wewe ..Zipo nyingi sana hata huwezimaliza. Alafu utasikia wanavyojisifu vile Dar ni kubwa kwa Nairobi mara tatu. Kumbe huo ukubwa wote nusu ni vichaka tu!😃😃
Financial Institutions currently based in Dar aren’t there because there was a “grand plan” to establish the city as a financial capital. They have headquarters in Dar because it’s the most populous city in the country, that’s where all major businesses and industries are based. The city also has the Dar stock exchange.Mbona isiwe Dar?
Mh ma star wengi wamekuja bongo aisee.
Hapa sio Dar?😂😂😂 DAR nzima hakuna pori kiasi ambacho kuna maeneo ya mkoa wa pwani yamepakana na DAR lakini ki mipaka sio Dar, wacha kujisumbua, leta hizo picha za hayo mapori ya Dar unayoizungumzia kilaza wewe ..
But still Tz is the most urbanized country in the region [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sindio, Dar has many rural villages. It is not fully urban kama Nairobi.
Of course it is. Look at how urbanized Dar is for instance 😂 😂 😂But still Tz is the most urbanized country in the region [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]Dar wanaundiwe marram roads kama watu wa ushago.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
![]()
Kuhusu suala la beggars wala usipate shida, inajulikana wazi nchi gani ni ombaomba kati ya Tanzania na Kenya, pia mkuu ni nani asiyejua kwamba Kenya ni nchi isiyowajali wananchi wake? Mamilioni ya Wakenya hawana ardhi, hawana chakula, hawajui kesho yao itakuwaje kwnn wasiwe ombaomba? Yani ombaomba gani atakuwa na uwezo wa kutoka katikati ya nchi yake aende nchi jirani? Ombaomba gani atakuwa na uwezo wa kukata pasipoti ikiwa 70% ya Wakenya hawana passport za kusafiria? Sasa hao watakuwa ombaomba au middle class?Afu wabongo tufike mahali hii wakenya wanaita 'Tanzanian beggars' waombaomba yeyote wanaonekana huko kenya
- why kusema Tanzanian beggars?
- beggars wooote waliopo barabaran kenya ni watanzania? Yan wooote ni watanzania? Hakuna hata mmoja mkenya?
- does it mean mtanzania anaweza kuishi kenya bila kibali chakufanya kazi?
- uhamiaj mipaka hawafanyi kazi yao? Wanaruhusu vip hao watu kwenda kenya bila shughul maalum au kibal?
- kama ni watanzania kwann wanawaruhusu kukaa huko
- Kwann wasikamatwe kama wahamiaj haramu?
Napata mashaka hii eti kila beggar ni mtanzania.. hii ni hujuma nyingine ya wakenya kuichafua Tanzania
Kwahyo hili ni pori sindio.?Hapa sio Dar? View attachment 2272225
Nionyeshe nyumba hata moja hapo. Nionyeshe infrastructure yoyote kwenye hiyo picha. Ni nini kinaonyesha kwamba watu wanaishi hapo?Kwahyo hili ni pori sindio.?