Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SECO engineers Kenya 😀 Tanzania are our good clients.

No photo description available.
Jaribu kusema imejenga Seco jua kali engineers nikulipue, mmezoea uongo kwamba buses za Tz mnajenga yani mnajenga mnazipakia kwenye meli ya Ulaya mnazileta hapa au sio

Haya onesha ushahidi kwamba Seco jua kali engineers wamejenga hiyo boat nikulipue sahizi mbwa wewe
 
Sasa ni rasmi majeshi ya EAC yanatumwa DRC. Tutafinya hao rebels wa DRC ile mbaya. Malazy kama kawaida yao ni cowards na naona kama watasusia kutuma majeshi.
Bila ushiriki wa Tanzania, hizo nchi zingine zote ni useless, hakuna kitu mtafanya, kumbukeni CoW ilivyosambaratika kwa kukosekana Tanzania pekee

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kusema imejenga Seco jua kali engineers nikulipue, mmezoea uongo kwamba buses za Tz mnajenga yani mnajenga mnazipakia kwenye meli ya Ulaya mnazileta hapa au sio

Haya onesha ushahidi kwamba Seco jua kali engineers wamejenga hiyo boat nikulipue sahizi mbwa wewe
Unapenda sana kuropokwa. 🤣 🤣 🤣
 
Alafu nyinyi mnatuma ka-ambassador eti arepresent rais wenu kwenye meeting serious kama hii. Huwa mpo serious na EAC kweli? Nini ngumu kumtuma hata waziri mkuu au naibu wa rais kama rais ameshikika?
Tanzania ni mwanachama wa SADC, ambako Kuna umoja wa kujihami wa SADC, hatuwezi kuingia katika ushirikiano mwengine wa kujihami bila kukubaliana na wenzetu wa SADC.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bila ushiriki wa Tanzania, hizo nchi zingine zote ni useless, hakuna kitu mtafanya, kumbukeni CoW ilivyosambaratika kwa kukosekana Tanzania pekee

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe huwa una messiah complex. You have an exaggerated sense of self importance. Bila Tanzania bado tutafaulu tu.
 
Seco jua kali engineers waliwajengea TPA mtumbwi wa Nuhu mpk TPA wakaona aibu kutangaza mana Magufuli angewatimua wote, mpk leo ule mtumbwi upo museum ya Kenya
 
80% dar inatumia latrines. Sasa wewe mwarabu bandia hua unaji tawadha aje, unaingia na kikombe au bakuli kwa latrine ama? 🤣 🤣 🤣 🤣

ushaanza kuchanganyikiwa baada ya kukupa nondo za hatari 😂😂😂
 
No room for Seco jua kali engineers to be compared to Songoro Marine engineers, the difference is like day and night.
 
Hebu tuliza jazba halafu soma kitu ulichokiandika. Ni wapi nimezungumza kuhusu Kibera. Unaweka maneno kinywani kwangu Maana sijazungumza vitu ukivyoandika. Na hiyo chuki unayosema ninayo Una ushahidi? Mimi sina chuki, in fact, I’m being objective here. Ninapoikosoa Tanzania ni Kwasababu napenda kuona maendeleo, sio utoto mnaoufanya nyie, Yaani kufagia uchafu chini ya zuria. Sema ukweli watu wabadilike! Unapotetea uchafu wa serikali, unawapa sababu ya kuendelea na uozo. Watu kama Wewe ni naive Kwasababu unaamini katika extremes. Either serikali ni Nzuri 100% Au mbaya 100%. Wewe unaamini in the former, kuwa serikali inafanya kila kitu vizuri na hakuna room for improvement. Tafakari sana na unatona nazungumza nini.
mm na ww nani mwenye hasira 🤣🤣 hvi toka uingie humu na ukanikuta ushawah sikia au kuona mm nikawa na hasira ??

tatizo lako ww hujifanya mjuaji wa kila kitu ukishani ukiwa na hasira zako hapa basi ndio utaonekana unajua sana 🤣🤣🤣

mm nimekuuliza siku ukanidhibitishia google earth kua dar kuna slum nitag nifunge acc mm wala hakuna ubishi kwenye hilo
 
Back
Top Bottom