Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 592
- 1,698
Hii picha ni ya lini?
Mpaka sasa nipo Nairobi na sio mara ya kwanza kuja huku mabandani...halafu Nairobi sio sehem ya kusema au kujisifu kama vile ni Ulaya me napachukulia kama Dodoma tu hakuna tofautiOmera wewe unadowload picha kubali yaishe. Hiyo picha ya Tom mboya statute haifanani hivyo kwa sasa. Sema tu unatamani kufika Nairobi
Bisha tena sasa hivi nipo mitaa fulani napiga story na baadhi ya ndugu zenu kuhusu hali ya Nairobi yaani hawana amani kabisa na maisha 👇👇👇

