Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna any ship building facility, munafanya kazi kwa vibanda. 🤣 🤣 🤣 nionyeshe ship building facility kama hii nifunge account. wacha kubweka bweka kama mbwa.
Image


Image



Image



Image
Hata ile ship building facility ya Kisumu ipo much better than ya hawa malazy.
 
Kwa hivyo wewe hujui tofauti kati ya scheduled maintenance na power blackout? Hata Marekani na Europe huwa kuna scheduled maintenance. Nyaya za umeme lazima ziwe maintained na vikingi vya umeme pia. Hii sio blackout kwa maana mnaambiwa wazi mapema sana kwamba siku fulani umeme utazimwa kwa masaa fulani. Black out kama yenu huko Tanzania unakuta umeme unapotea wenyewe. Tatizo la umeme kupotea wenyewe bila kuzimwa na Tanesco ndio inaitwa blackout. Kuna tofauti mkubwa kati ya umeme kuzimwa na umeme kupotea wenyewe.
With this admission how can they have constant power supply? Mitambo zao zote zimechoka!
Screenshot_20220505-124356~2.png
 
Sasa ni rasmi majeshi ya EAC yanatumwa DRC. Tutafinya hao rebels wa DRC ile mbaya. Malazy kama kawaida yao ni cowards na naona kama watasusia kutuma majeshi.
 
With this admission how can they have constant power supply? Mitambo zao zote zimechoka! View attachment 2266890
Mitambo zao ni nzee halafu hazijakuwa upgraded for decades. Minister wao wa energy aliongea siku ingine kwa parliament akakiri kwamba electricity infrastructure ya Tanzania imeoza sana. Huyo minister kipara jina yake nimesahau but alikuwa anagonga point venye power grid yao ni useless.
 
Westlands ina road moja pekee ndiyo wanataka kuifananisha na New Victoria a.k.a The New CBD
tapatalk_-1667325982_600x270.jpg
Screenshot_20220616-005116.jpg
 
Alafu nyinyi mnatuma ka-ambassador eti arepresent rais wenu kwenye meeting serious kama hii. Huwa mpo serious na EAC kweli? Nini ngumu kumtuma hata waziri mkuu au naibu wa rais kama rais ameshikika?
Mkutano serious while mwehu anaesababusha vurugu zote huko congo amongst wa wahudhuriaji,hapo ni kupoteza muda tu hamna la maana
 
Sasa ni rasmi majeshi ya EAC yanatumwa DRC. Tutafinya hao rebels wa DRC ile mbaya. Malazy kama kawaida yao ni cowards na naona kama watasusia kutuma majeshi.

Wewe fala kweli,TPDF anayajua mapori ya congo kwa kutembeza kichapo vizuri sana,hilo jeshi lenu limeongeza wezi tu huko,wanajeshi wenu watauana sana huko huko sababu ya madini maana mna jeshi bovu lisilo na nidhamu na ndio maana wakaiba hadi biscuit pale westgate na kuuza mkaa somalia
 
Hakuna mji hata mmoja Kenya ukakosa kuwa na slums kama mnabisha atokee mkunya japo mmoja ataje county yeyote nitamuonesha slums
 
Back
Top Bottom