Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gari 80 per day zinabeba nini zaidi ya diapers? Unalinganisha na gari 180?
Mpaka serikali yenu imesanda
Incase you may forget.

Screenshot_20220611-204126.png
 
Kwahyo hii ☝️ discussion umeihamishia huku👇😂😂😂

Saivi disc umeileta kwenye automative industry, sio mchango wa kilimo tena kwenye industrial development.? 😂😂
When you were engaging me didn't you know that I was talking about automotive industry? Ama ni vile umegundua hakuna unachojua ndio ukaamua to reflect back?
 
This is good evidence that Tanzania wanaleta raw materials (unfinished goods) alafu Kenya tunawarudishia kama finished goods. Hakuna vile munaweza ingiza lorry 3300 per month na sisi tuingize lorry 1000 na bado tuwashinde kwa export revenue. Yani mukileta gunia za viazi tunawarudishia kama packets of crisps, mukileta gunia za pareto tunawarudishia kama insecticides, mukileta gunia za machungwa tunwarudishia kama bottles of juice.


Image
Kwani kuna shida tukileta raw materials?

Harafu mnamshinda nani maana kama kota ya kwanza mumeshinda haimaanisha mwaka mzima mtashinda..

Statistics za mwaka mmja zimekaa hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-131709.png
    Screenshot_20220612-131709.png
    47.6 KB · Views: 14
In three months Tanzania has only exported $118M to Kenya while Kenya exported $138M to Tanzania in the same period.
Pamoja na ku export $118M,bado hii ni ongezeko kubwa kulinganisha na corresponding period of the past year..

Pili kuna 3 consecutive qters to come,mambo yanaweza badilika so usishangilie saana kwa difference ya $20M.
 
We are in the generation of industrialization and not Agrarian anymore. Most countries like China is converting their farmlands into cities and industries. Again in US, ratio of agriculture to GDP is only 5%.
Kwa unywaji huu wa maji hata evolution hampo 😅😅😅

Industrialization wakati commonly mnaishi kama nyumbu 😂😂😂

Screenshot_20220517-073458.png
 
Sidhani kama ww uko fare, kwaiyo ulitaka wafrahie wanapo ona matlaba kila sehem? Angalia aina ya ubadhilifu ulio fanywa serikalini, vipi kuhusu endess increasing of inflation,safari hata zisizo na tija, saivi kila kiongozi ni kupishana airport wakati wananchi wana kila aina ya matatizo na ni mwaka moja, Tukutane hapa bada ya miaka 2 utaniambia kama hatutakuwa na unbeable debt kama kenya au Ghana. Hata km kulikuwa na ubadhilifu kipindi cha jiwe lakin na maendeleo ya kweli yalionekana na promising future
Itoshe kusema mwenda zake aliacha viatu vikubwa, sasa mvaaji vinampwaya ulitaka watu waseme vimemtosha wakati mvaaji anakubali nivikubwa?
Unaongea ujinga na upumbavu Bila kuleta ulinganifu wa matokeo chanya baina ya Awamu ya 6 na ya 5..

Kumbe wananchi Wana matatizo lukuki nilidhani Awamu ya 5 iliyamaliza yamerudi kumbe yalikuwepo..

Weka Takwimu hapa tulinganishe Awamu ya vs Awamu ya 6..
 
Kwa first qtr mumefanya vizuri lakini tukija kwenye overall tutawapiga vizuri tuu kama tulivyowafanya mwaka 2021 👇
What makes you think mtatupiga overall? Since 2013 last year was the only year that trade between Kenya and Tanzania was in favor of Tanzania.
 
What makes you think mtatupiga overall? Since 2013 last year was the only year that trade between Kenya and Tanzania was in favor of Tanzania.
Ndio tumeanza sasa last year kwani huoni mnavyotapatapa kuzuia lorries zetu hapo baada ya last year kupigwa chini?

Kwa hiyo hiyo difference ya $20M ndio inakufanya unawewwseka?

Subiria msimu wa mavuno bado,before kufika kota ya 3 tutakuwa tushawapita.
 
Malaika anajulikana ila utashambuliwa humu ndani! Unafikiri leo angekuwepo hai hawa watu wa Ngorongoro na Loliondo wangepewa fidia na ardhi mbadala?
Wangefukuzwa kama mbwa na kuvunjwa miguu..

Serikali imewafanyia kila kitu, Tanzania ina ardhi kubwa kwa nini wakomae na eneo sensitive kwenye uchumi wa Nchi?
 
Back
Top Bottom