Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If our tourism calendar starts in November mbona huja include data from November and December 2020? Ambazo zingeanza from November 2020 to October 2021 a full year.
Go argue with your government.

Screenshot_20220603-132113.png
 
Ukitaka kujua sio kwamba tu tunafanya noma hapa EAST AFRICA Bali tutawatawala soon hawa jamaa pitia hapa . Kwala industrial Park, 200 industries will be built kazi umeshaanza . Ukiachana na mradi wa GAS wa $30 billion na ule mradi wa bomba la mafuta la hoima .. Cc Tony254 kwisha habari yenu
Noma, yajayo yanafurahisha.
 
Public buses in Tz are from Kenya.
Safi sana aisee mnatutengenezea bus kali alafu mnaziingiza kwenye meli inayotoka ulaya mnazileta Tz wakati huo huo nyie mnatumia buses za 60s. Hizo hapo juu ni buses za Tz kutoka Kenya zilizoletwa kwa meli ya kutokea Ulaya alafu hizo za chini ndiyo buses wanazotumia Wakunya ambazo ni malori yaliyogeuzwa kuwa mabasi, wanaupendo sn hawa mbwa
tapatalk_-1865610294_713x504.jpg
tapatalk_247487780_720x540.jpg
 
Serikali ya Tanzania ime secure loan agreement na WB ya zaidi ya sh.5T. 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-132015.png
    Screenshot_20220612-132015.png
    97.4 KB · Views: 7
Safi sana aisee mnatutengenezea bus kali alafu mnaziingiza kwenye meli inayotoka ulaya mnazileta Tz wakati huo huo nyie mnatumia buses za 60s. Hizo hapo juu ni buses za Tz kutoka Kenya zilizoletwa kwa meli ya kutokea Ulaya alafu hizo za chini ndiyo buses wanazotumia Wakunya ambazo ni malori yaliyogeuzwa kuwa mabasi, wanaupendo sn hawa mbwa View attachment 2258291View attachment 2258293
Tanzania public buses are assembled in Kenya.

20220514_104724.jpg
 
Back
Top Bottom