Hii issue ya loliondo kiukweli sio nzuri ila ina ufadhali mkubwa sana maana jamaa wamepewa sehemu nyingine za makazi,na hata humu watu wamereact kwa kila aonavyo yeye,kidini,kikabila na mbali zaidi hata kenya nayo eti imereact,mimi naamini wanayopitia hawa wa loliondo haijafikia ile ya ubungo pale tanesco,watu walivunjiwa na hawakupewa hata sumni,kuna jamaa pale walikua na eneo ndani yake kuna nyumba 6,zote zilivunjwa na hawakupata pesa,mzee wao alikufa kwa stress,mbezi mwisho kupisha barabara ya njia 8 watu wamelizwa,architec beda amur aliyechora ramani ya soko la kariakoo nyumba yake alikua na nyumba pale stendi ya magufuli,ilivunjwa na akupewa hata sent pa1 na heshima yake yote,yule mzee alikufa kwa stress,twende mbele na kurudi nyuma hamna aliye mkamilifu tena hasa kwa hawa wanasiasa wetu