Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

MAU forest eviction was it election violence, therefore in Kenya policemen are free to kill while dealing with peaceful demonstrations?, don't you know that majority of those who were killed are women and children who were playing around their homes?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu alitolewa mau so that we can create space for game hunting for foreigners. Watu walitolewa mau ili msitu uhifadhiwe. Nyinyi munafukuza wamaasai ili mulete foreigners wajifurahishe wakiua wanyama pori, hata hamna aibu.
 
Hakuna mtu alitolewa mau so that we can create space for game hunting for foreigners. Watu walitolewa mau ili msitu uhifadhiwe. Nyinyi munafuka wamaasai ili mulete foreigners wajifurahishe wakiua wanyama pori, hata hamna aibu.
 
Hakuna mtu alitolewa mau so that we can create space for game hunting for foreigners. Watu walitolewa mau ili msitu uhifadhiwe. Nyinyi munafuka wamaasai ili mulete foreigners wajifurahishe wakiua wanyama pori, hata hamna aibu.
Hehehe, yani anafananisha kuhamisha watu ili kuhifadhi mazingira na kuhamisha watu ili waarabu na wazungu wacheze michezo yao ya kuwinda.
 
Hakuna mtu alitolewa mau so that we can create space for game hunting for foreigners. Watu walitolewa mau ili msitu uhifadhiwe. Nyinyi munafukuza wamaasai ili mulete foreigners wajifurahishe wakiua wanyama pori, hata hamna aibu.
Ninyi wakenya ni wapumbavu Sana, mara nyingi huwa ninamuambia Tony254 kwamba, ninyi mnajiona mpo "very perfect", kila mnachofanya ninyi mnadhani ni sahihi, lakini nchi zingine zikifanya kwa sababu zao, ninyi kwenu mnaona hiyo sio sawa, punguzeni kujifanya ninyi mpo sawa, hiyo ndio sababu kubwa hamuelewani wenyewe kwa wenyewe, kila mkenya anajiona yeye yupo sahihi kuliko mkenya mwengine.

Jambo lingine ambalo linanifanya niwaite wapumbavu ni kwasababu, hamjui Mambo kwa undani badala yake mnavamia kwenye mitandao. Sababu ya kuwapunguza hao Masai huko Ngorongoro na Loliondo ni kutokana na kuongezeka kwa watu kuzidi idadi inayokubalika, na huu utaratibu wa kuwahamisha, ulianza muda mrefu, wengi wamepewa mashamba katika Wilaya ya Handeni, Tanga na wameondoka kwa hiari na serikali iliwasaidia kuwasafirisha, Kuna wachache waliobaki na wengi walijipenyeza ili wapewe mashamba Bure lakini sio wenyeji wa hayo maeneo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
This is good evidence that Tanzania wanaleta raw materials (unfinished goods) alafu Kenya tunawarudishia kama finished goods. Hakuna vile munaweza ingiza lorry 3300 per month na sisi tuingize lorry 1000 na bado tuwashinde kwa export revenue. Yani mukileta gunia za viazi tunawarudishia kama packets of crisps, mukileta gunia za pareto tunawarudishia kama insecticides, mukileta gunia za machungwa tunwarudishia kama bottles of juice.


Image
 
Ninyi wakenya ni wapumbavu Sana, mara nyingi huwa ninamuambia Tony254 kwamba, ninyi mnajiona mpo "very perfect", kila mnachofanya ninyi mnadhani ni sahihi, lakini nchi zingine zikifanya kwa sababu zao, ninyi kwenu mnaona hiyo sio sawa, punguzeni kujifanya ninyi mpo sawa, hiyo ndio sababu kubwa hamuelewani wenyewe kwa wenyewe, kila mkenya anajiona yeye yupo sahihi kuliko mkenya mwengine.

Jambo lingine ambalo linawanifanya niwaite wapumbavu ni kwasababu, hamjui Mambo kwa undani badala yake mnavamia kwenye mitandao. Sababu ya kuwapunguza hao Masai huko Ngorongoro na Loliondo ni kutokana na kuongezeka kwa watu kuzidi idadi inayokubalika, na huu utaratibu wa kuwahamisha, ulianza muda mrefu, wengi wamepewa mashamba katika Wilaya ya Handeni, Tanga na wameondoka kwa hiari na serikali iliwasaidia kuwasafirisha, Kuna wachache waliobaki na wengi walijipenyeza ili wapewe mashamba Bure lakini sio wenyeji wa hayo maeneo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
sasa umeng'amua kinachoendelea? good!
 
Huwaoni Sukumagang wanavyoeneza chuki dhidi ya mama? Sasa tatizo nini namimi nikionyesha mabaya ya Mungu wao marehemu?
Mkuu wewe ni mkabila kushinda Magufuli, mkuu samahani kwa Hilo lakini huo ndio ukweli, tofauti hujapata madaraka, lakini wewe ni hatari Sana.

Huu ni mtazamu wangu Kama ulivyo mtazamo wako kwa Magufuli, ni matumaini yangu kwamba utaheshimu huu mtazamo wangu Kama ambavyo ninauheshimu mtazamo wako kwa Magufuli. Tuendelee kupambana na wakenya. Kazi iendelee mkuu
Tony254
game over

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
This is good evidence that Tanzania wanaleta raw materials (unfinished goods) alafu Kenya tunawarudishia kama finished goods. Hakuna vile munaweza ingiza lorry 3300 per month na sisi tuingize lorry 1000 na bado tuwashinde kwa export revenue. Yani mukileta gunia za viazi tunawarudishia kama packets of crisps, mukileta gunia za pareto tunawarudishia kama insecticides, mukileta gunia za machungwa tunwarudishia kama bottles of juice.


Image
Which finished product made from raw materials from Tanzania does Kenya export to Tanzania?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ninyi wakenya ni wapumbavu Sana, mara nyingi huwa ninamuambia Tony254 kwamba, ninyi mnajiona mpo "very perfect", kila mnachofanya ninyi mnadhani ni sahihi, lakini nchi zingine zikifanya kwa sababu zao, ninyi kwenu mnaona hiyo sio sawa, punguzeni kujifanya ninyi mpo sawa, hiyo ndio sababu kubwa hamuelewani wenyewe kwa wenyewe, kila mkenya anajiona yeye yupo sahihi kuliko mkenya mwengine.

Jambo lingine ambalo linawanifanya niwaite wapumbavu ni kwasababu, hamjui Mambo kwa undani badala yake mnavamia kwenye mitandao. Sababu ya kuwapunguza hao Masai huko Ngorongoro na Loliondo ni kutokana na kuongezeka kwa watu kuzidi idadi inayokubalika, na huu utaratibu wa kuwahamisha, ulianza muda mrefu, wengi wamepewa mashamba katika Wilaya ya Handeni, Tanga na wameondoka kwa hiari na serikali iliwasaidia kuwasafirisha, Kuna wachache waliobaki na wengi walijipenyeza ili wapewe mashamba Bure lakini sio wenyeji wa hayo maeneo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
This story has been in public domain since 2002 hata kabla uzaliwe. Tuliza kiherehere wewe mtoto wa juzi.

 
Which finished product made from raw materials from Tanzania does Kenya export to Tanzania?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
3300 Lorries from TZ na only 1000 lorries from Kenya per month na bado tuwashinde kwa export revenues za first quarter. My friend you don't need any rocket science, just join the dots.
 
This story has been in public domain since 2002 hata kabla uzaliwe. Tuliza kiherehere wewe mtoto wa juzi.

Ninarudia tena, ninyi ni watu wapumbavu Sana, Hilo la vitalu vya uwindaji lilikwisha miaka mingi Sana, walishaondolewa na lilikua halihusishi Ngorongoro, lilihusisha Loliondo pekee, Ngorongoro hakuna vitalu vya uwindaji. Sikiliza bunge la Tanzania likijadili Hilo jambo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
This is good evidence that Tanzania wanaleta raw materials (unfinished goods) alafu Kenya tunawarudishia kama finished goods. Hakuna vile munaweza ingiza lorry 3300 per month na sisi tuingize lorry 1000 na bado tuwashinde kwa export revenue. Yani mukileta gunia za viazi tunawarudishia kama packets of crisps, mukileta gunia za pareto tunawarudishia kama insecticides, mukileta gunia za machungwa tunwarudishia kama bottles of juice.


Image
Kenya ndio manufacturing hub ya east Africa. Tutatafuna madini ya Tanzania bila kukanyanga huko.
 
Back
Top Bottom