Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza Ulole Wakenya hatutawacha hili jambo la Ngorongoro lipumzike. Tutahakikisha kwamba dunia nzima inajua kwamba nyie wajinga mnatesa wamaasai wenu. Ona neno Ngorongoro inatrend kwenye twitter ya Kenya nambari 6. Mtu yeyote anayeingia twitter Kenya atajua mlichowafanyia Wamaasai wenu. Halafu tunahakikisha media zote za dunia akina BBC, CNN wamejua mnachowafanyia wamaasai.
View attachment 2257486
Soja ameona hiyo WIFI Yako kweli? Bado hajasema ni ya shule?😂😂
 
Geza Ulole Wakenya hatutawacha hili jambo la Ngorongoro lipumzike. Tutahakikisha kwamba dunia nzima inajua kwamba nyie wajinga mnatesa wamaasai wenu. Ona neno Ngorongoro inatrend kwenye twitter ya Kenya nambari 6. Mtu yeyote anayeingia twitter Kenya atajua mlichowafanyia Wamaasai wenu. Halafu tunahakikisha media zote za dunia akina BBC, CNN wamejua mnachowafanyia wamaasai.
View attachment 2257486
Hahahaha, lile la Zanzibar mlilifikisha wapi?. Hivi Kuna mtanzania yeyote aliyehangaika na MU forest eviction?, Hiyo ni dalili kwamba Tanzania is superpower ukandaa huu. Ninakuhakikishia " by next Wednesday this matter is over, you can't do anything.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya ndio manufacturing hub ya east Africa. Tutatafuna madini ya Tanzania bila kukanyanga huko.
What are you producing and where do you sell those manufactured goods while all East African countries do import from Tanzania including Kenya?, Tanzania is the biggest exporter in this region.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Which finished product made from raw materials from Tanzania does Kenya export to Tanzania?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
9900 lories from Tanzania translates to $118M. 3000 lories from Kenya translates to $138M. In simple terms Kenya export less but valuable products to Tanzania while Tanzania export more but cheap products to Kenya.
 
9900 lories from Tanzania translates to $118M. 3000 lories from Kenya translates to $138M. In simple terms Kenya export less valuable products to Tanzania while Tanzania export more cheap products to Kenya.
Punguza ujinga, jibu swali, " which finished products, name them

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
image_bcbc41ba-51eb-4bdf-b2bc-2630f12a34cc20220611_184601.jpg
image_7d54dc99-a7c8-4692-8694-25866223b4c720220611_184544.jpg
image_8e083bae-0c32-44e3-8356-49ef2107466120220611_184553.jpg
image_c2d87973-22a5-46fe-b88c-2b2280b076af20220611_184546.jpg
image_bec85f54-5d32-46ca-ba20-f1c5b4374fd020220611_184537.jpg
image_af3b3283-694c-421f-95b0-8dd4dee51a4520220611_184556.jpg
 
Hahahaha, lile la Zanzibar mlilifikisha wapi?. Hivi Kuna mtanzania yeyote aliyehangaika na MU forest eviction?, Hiyo ni dalili kwamba Tanzania is superpower ukandaa huu. Ninakuhakikishia " by next Wednesday this matter is over, you can't do anything.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The contrary is true, mwenye nguvu waga hapingwi. There's no way Tanzania inaweza kwamisha Kenya kwa mambo yake lakini tumeshuhudia Mara nyingi Kenyan NGO's zikistopisha miradi ya bongo mfano EACOP
 
Huwaoni Sukumagang wanavyoeneza chuki dhidi ya mama? Sasa tatizo nini namimi nikionyesha mabaya ya Mungu wao marehemu?
Sidhani kama ww uko fare, kwaiyo ulitaka wafrahie wanapo ona matlaba kila sehem? Angalia aina ya ubadhilifu ulio fanywa serikalini, vipi kuhusu endess increasing of inflation,safari hata zisizo na tija, saivi kila kiongozi ni kupishana airport wakati wananchi wana kila aina ya matatizo na ni mwaka moja, Tukutane hapa bada ya miaka 2 utaniambia kama hatutakuwa na unbeable debt kama kenya au Ghana. Hata km kulikuwa na ubadhilifu kipindi cha jiwe lakin na maendeleo ya kweli yalionekana na promising future
Itoshe kusema mwenda zake aliacha viatu vikubwa, sasa mvaaji vinampwaya ulitaka watu waseme vimemtosha wakati mvaaji anakubali nivikubwa?
 
Ila akifanyiwa Mbowe kutokana na kulima kwenye vyanzo vya maji, Hilo sio sawa serikali inakosea. Mkuu wewe ni mkabila Sana. Mkuu punguzs ukabila kidogo wenzako tunakushangaa Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yeye alimuona mbowe tuu Ndio aliyeonewa ila wakina mo dewji, sumaye, ruge, manji na wengine kibao hajawaona
 
Back
Top Bottom