Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

9.92.!🔥🔥 kenya's ferdinand omanyala vs south africa's akani simbine battle for gold in port louis, mauritius 9thjune2022.. see for yourself 👇🏽👇🏽

 
Kuna genocide inanukia, waarabu wanataka ardhi ya maasai kwa nguvu. Let's spread the news

Tanzania is not safe for tourism
IMG_20220610_140922.jpg
IMG_20220610_140912.jpg
IMG_20220610_140705.jpg
 
Wabunifu wapo usichojua ni malaika kwa upeo ake finyu aliamuru design ya ikulu ya Dar ijengwe Chamwino bila maboresho yeyote! Sasa design ya jengo la mkoloni haiwezi ku-fit era hii!

Ingia website ya Estim uone portifolio yao kuna jengo the Luminary ambalo limepata green technique award! Pia angalia hata jengo la CRDB Bank! Hii project ya Chamwino should have been a chance to demonstrate the World what Tanzanian architects can do! Na si copy and paste!

Ilo mimi nililipinga toka kipindi cha jpm ...kwa sababu uwezi kukomboa taifa kwa kusujudia wakoloni ....jengo la kisenge kabisa hilo linawafaa mramba maviii ya wazungu na waarabu kina sa100 na kina kikweti ....mtu kama mimi ningelivunja siku moja tu
 
Ilo mimi nililipinga toka kipindi cha jpm ...kwa sababu uwezi kukomboa taifa kwa kusujudia wakoloni ....jengo la kisenge kabisa hilo linawafaa mramba maviii ya wazungu na waarabu kina sa100 na kina kikweti ....mtu kama mimi ningelivunja siku moja tu

Punguza kulia lia kwa afya ya mwili wako.
 
Huo mlango kwenye sgr Station hautakiwi uwe mkubwa kumbuka hilo jengo ni green halafu ni full kiyoyozi milango mikubwa ya automatic itakaaje hapo. Milango mikubwa inakaa sokoni na kwenye Station ambazo hazina viyoyozi.
Hivi majengo ya kisasa kama mahoteli hayana viyoyozi ???? Hilo jengo limekosa sura nzuri ya mapokezi
 
Kwahiyo JPM alifanya la maana ku-copy na ku-paste pale?
Kwasababu hakukuwa na hilo jengo before na wala hakukuwa na wala hakukuwa na dalili za kujenga huko nyuma haina shida wacha hilo hilo linatosha kuliko kutokuwepo kabisa, nchi inaweza ikawa na choice zake, inaweza ikataka yenyewe kuwa na majengo fulani yanayofanana shida nn? Mbona majengo mengi mapya ya mahakama kama sio yote yanafanana?
Mbona mnaleta mambo ya kitoto hivi? Unaweza ukaniambia ikulu ya Dar inafanana na ikulu gn nyingine ukiacha ya Dom?
 
Ninahisi ikulu ya Dodoma ingekuwa tofauti na Ile ya Dar ili kupata ladha tofauti, ni jambo dogo tu la ladha, halina madhara yoyote katika uchumi au "Convenience" kwa wananchi.

Uwanja wa Mkapa kujengwa karibu na Uwanja wa Uhuru, ni kosa kubwa Sana. Dar es Salaam inatanuka Sana, nilitegeme uwanja mwengine mkubwa kujengwa upande wa kaskazini mwa Dar, maeneo ya Kawe/Mwenge/Bunju/Tegeta/Madale/

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwenye uwanja ilikuwa sahihi kwa sababu kale kauwanja ka uhuru siyo......sema labda useme tunatakiwa kuwa na uwanja mwingine mkubwa dar hivyo huo ujengwe kwenye wilaya nyingine
 
Back
Top Bottom