joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mkuu huu mjadala tuachane nao, watu wameshajua Kati ya wewe na Magufuli mkabila ni Magufuli.Sasa hapo huoni ukabila? Unajua upande wa Biharamulo waliotengwa ni makabila gani? Jamaa alikuwa mkabila aliyekubuhu! Mipango ya Mungu ni siri kubwa maana nina uhakika hii term angeongeza kupendelea alipotoka! Ngoja nokuletee evidence..
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app


