Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220610-123740.jpg
 
Unaweka picha za 90 kujiliwaza, hizi hapa za muda huu nenda ujinyonge View attachment 2256172View attachment 2256173View attachment 2256174
Yaani unajaribu kuokota vipicha angle angle tu, kama akina kibera, mimi nakupa hiyo Kibera na surroundings., sio kama Dar ni 90% korogosho type kote kote., Kwa Nairobi, itawachukua miaka yenu yote duniani lakini bado hamtofika hizi levels.., ni ushuzi tu unaongezeka.. 2022.., 😜 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 😂 😂 😂 😂
Yaani mbali na CBD sehemu kubwa ya jiji imepangika., 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
1654854417646.png

1654854523331.png

1654854534970.png

1654854548509.png

1654854560313.png

1654854573894.png

1654854586424.png
 
Ni sahihi kusema Tanzania inamilikiwa na James Mwangi wa equity, the journey to dominate Tanzania continues
Hapa wameteseka deadly! Equity yenye networth ya $11B ishindwe ku finance $6B loan!., na sio eti ni grand ni mkopo yenye ni sure bet kurudishwa with interest, yaani faida, last year na huu mwaka nilisema kila mti minyani ya Tz itajaribu kukwea utateleza 😂 😂 😂 😂 😂
 






MY TAKE
Swali langu mbona hawaendi Masai mara au Masai mara si ardhi ya masai?
 
Equity Bank ya Kenya kuikopesha Tanzania sh.13Tilion za Miradi
Mama mpumbavu anakwenda kujitia pin mwenyewe very soon bora vita vya Ukraine viendelee zaidi ili wazungu washugulike na matatizo ya uchumi wa nchi zao ili huyu mpumbavuu anayekopa til1.8 kwa mwezi nchi imshinde bado miezi 18 tu toka sasa uchumi wetu unakwenda kuanguka
 
Kwani shida yako ni pesa au shida yako ni Kenya?

Upuuzi mnaofanya humu ndani haupo kwenye makablasha ya Serikali.
Yaheee ..vp kulinda tako wakati unashida ya pesa ....huku kwetu ungujaaa yaheee ukiwa na pesa tu weye wapelekwa hadi makunduchi....pesa ndiyo kila kitu yahee
 
Back
Top Bottom