Posta, the only 'Free Standing Central Business District' in a landmass of 947,000km², 5th in africa! [emoji87]View attachment 2256314
Afadhali equity iingilie kati, hii no aibu 😂 😂 😂Wabongo wanatumia kuni kama lane separators. 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()
Bado miezi18 toka leo uchumi unakwenda kudondoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shika haya maneno yangu sanaPunguza kulia lia kwa afya ya mwili wako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wabongo wanatumia kuni kama lane separators. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
![]()
Unataka rolls ngapi nikuwekee kwa Probox ije mbio hadi gongo la mboto 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Ndiyo biashara mnayoweza hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utangoja sana we mefiiiiii. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Asante Moderator kwa kuwapiga ban wahuni kama hawa wanaotaka kuharibu uzi kwa makusudi kisa tunawazidi maeneo mengi, pia huyo muhuni ana I'd nyingine inaitwa Coco Master pia nayo naomba uipige life ban, na ikikupendeza pia naomba umuangalie kwa makini muhuni mwengine anaitwa nairobae Wakenya tunaomba muwe wastaarabu shida mlizonazo msizilete humu kwenye huu uzi tafadhali.View attachment 2256337
SGR imefanana vipi na mkoloni wakati hiyo ni sayansi na technology [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]sisi tunaongelea design ya kukopi jengo la mkoloni ambalo katumia akili ya miaka ya1900 hukoo kubuni sasa unatumia ubunifu wa zama za mawe na kuujenga tena ...ni sawasawa na kujenga kiwanda cha magari ya kizamani na kuyaleta leo tz nani atanunua ... dunia ya sasa ni dunia ya modification ndiyo maana tunajenga sgr badala ya ile reli ya mgr ya mkoloniMambo mengine huwa yanasikitisha sana, sasa kama hatulitaki jengo kisa linafanana na la mkoloni mbona tunashangilia SGR inayofanana na ya mkoloni.
Nice looking pics, unfortunately ni one area tu which has the best looking skyscrapers ndani ya jiji la Dar, zaidi ya hizi hakuna any other place with such levels...,
SGR INAFANANA NA RELI YA MKOLONI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] MGR[emoji40][emoji40][emoji40]Mambo mengine huwa yanasikitisha sana, sasa kama hatulitaki jengo kisa linafanana na la mkoloni mbona tunashangilia SGR inayofanana na ya mkoloni.
Si bora kaburi lilikuwepo kabla ya barabara kuliko hii iliyojengwa na ma engineer wa kikenya, no wonder serikali ya Kenya haiwapi hata cm moja ya roads zinazojengwa kwa donation toka China [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wabongo wana vituko ajab. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
![]()
Na mimi je? pia nipigwe ban ama? unaonaje? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , huu uzi pia umechoka sana, wacha watu wastarehe kwa raha zao, mbona ume panic?Asante Moderator kwa kuwapiga ban wahuni kama hawa wanaotaka kuharibu uzi kwa makusudi kisa tunawazidi maeneo mengi, pia huyo muhuni ana I'd nyingine inaitwa Coco Master pia nayo naomba uipige life ban, na ikikupendeza pia naomba umuangalie kwa makini muhuni mwengine anaitwa nairobae Wakenya tunaomba muwe wastaarabu shida mlizonazo msizilete humu kwenye huu uzi tafadhali.View attachment 2256337
Kwahiyo jengo likifanana kwa nje it means na ndani liko hivyo hivyo, na iweje Magu aseme hawezi kumuachia mgeni amjengee nyumba yake ya kulala, sasa alitaka kuficha nn ilihali kila kitu linafanana na lile la Dar?SGR imefanana vipi na mkoloni wakati hiyo ni sayansi na technology [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]sisi tunaongelea design ya kukopi jengo la mkoloni ambalo katumia akili ya miaka ya1900 hukoo kubuni sasa unatumia ubunifu wa zama za mawe na kuujenga tena ...ni sawasawa na kujenga kiwanda cha magari ya kizamani na kuyaleta leo tz nani atanunua ... dunia ya sasa ni dunia ya modification ndiyo maana tunajenga sgr badala ya ile reli ya mgr ya mkoloni
We mlevi tu kama dyfre huwa unaropoka ropoka tu usipigwe ban wala nn, huwa unachekesha jukwaa kwa wishful thinking zako.Na mimi je? pia nipigwe ban ama? unaonaje? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , huu uzi pia umechoka sana, wacha watu wastarehe kwa raha zao, mbona ume panic?
Wewe ndio king wa wishful thinking humu, na ndoto za aliniacha 😂 😂 😂 😂 , eti Tz GDP is $150B na pato la taifa ni size ya Ugandan type economy😂😂😂😂., biggest and busiest airport, biggest port😂😂😂😂😂😂😂😂😂, pumzika bana., wewe inafaa upigwe ban walai kwa kujaribu kupotosha, pia na vipicha., Moderator piga huyu jamaa ban, ni mwehu kweli.,😜😂😂😂😂We mlevi tu kama dyfre huwa unaropoka ropoka tu usipigwe ban wala nn, huwa unachekesha jukwaa kwa wishful thinking zako.
Ni jambo la kawaida electricity posts kusongeshwa barabara inapotengenezwa, hata hii ilisongeshwa tu hakuna cha kushangaza hapo. Kaburi kwa barabara hilo ni jambo geni sana. 🤣 🤣 🤣 🤣 wabongo munazikana hadi kwa barabara.Si bora kaburi lilikuwepo kabla ya barabara kuliko hii iliyojengwa na ma engineer wa kikenya, no wonder serikali ya Kenya haiwapi hata cm moja ya roads zinazojengwa kwa donation toka China [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2256352
Piga nduru vizuriAsante Moderator kwa kuwapiga ban wahuni kama hawa wanaotaka kuharibu uzi kwa makusudi kisa tunawazidi maeneo mengi, pia huyo muhuni ana I'd nyingine inaitwa Coco Master pia nayo naomba uipige life ban, na ikikupendeza pia naomba umuangalie kwa makini muhuni mwengine anaitwa nairobae Wakenya tunaomba muwe wastaarabu shida mlizonazo msizilete humu kwenye huu uzi tafadhali.View attachment 2256337