Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Maasai Ngorongoro wameamua heri kufa kuliko kuachia beberu shamba lao
😂😂😂 Hiyo ni jock kwa Mwanza 👇Busisi cable stay bridge 3.2 km .. mombasa haitawahi pata infrastructure yenye ukubwa huu kwa miaka 100 ijayoMakupa Bridge, Mombasa.
Sama boy 255 bado unataka battle ya Mombasa vs Mwanza?
View attachment 2255593View attachment 2255594
Cc ichoboy01
Ndio maana Nchi haiendelei..Kwa taarifa yao tuu hata uamuzi wa Serikali kuchukua mkopo wa uviko 19 sio tuu kukabiliana na effects za uviko 19 bali ilikuwa na kuziba gap la forex reserves ambayo ulianguka na kuhatarisha value ya shilingi na kuanza rationing ya imports so it was an argent measure..Kuna watu tunao nchini ambao huwa na mapenzi ya watu fulani fulani badala ya nchi
Bila JPM wangepeleka popobawa Marekani? JPM ni maji!Kuna watu watadai ya JPM!
From you. This statement is sickening and disappointing.si muwachukue mkawaweke Masai mara au Amboseli au Tsavo? Au hawana haki na those masailands in Kunyaland?
"joke"!😂😂😂 Hiyo ni jock kwa Mwanza 👇Busisi cable stay bridge 3.2 km .. mombasa haitawahi pata infrastructure yenye ukubwa huu kwa miaka 100 ijayoView attachment 2255860
Vipi kuhusu Nyerere ambaye alifikia hatua ya kufungua mipaka na Kenya na kuweka majeshi tayari kuishambulia Kenya?, Nyerere alifikia hatua ya kuwaita "Nchi ya watu wanaokula nyama za binadamu, "Man eat man"what am trying to mean here is tht magufuli was very bitter with kenya because tanzania has wht it takes to make it the dorminant economy in eastern and central africa. not only does tz have a huge chunk of landmass 950,000km².! (which is almost 2× the size of kenya). but it's also 95% green and fertile.. tz is endowed with the most sought after minerals includng gold and for which case is the 3rd producer in africa. tz has a larger population... all that said, you still however find tht kenya, a smaller country with 75% arid lands but still consistently outperform its neibas in all fronts. so whatever magaful was upto against kenya, is brewed out of extreem jealousy, hivi kwamfano ata kunyima wakenya work permit ama ata hizo ngombe zetu zote 1,300 hangeziwachilia tu ivo.!




That plane looks newView attachment 2255943uhiru awasili Mogadishu like a boss
How, explain please. You keep on saying that, Maasai from these two countries don't have bordersFrom you. This statement is sickening and disappointing.
Tanzania kila mkoa una option ya luxury buses, hii ni basi ya Geitasio luxury hasa.. ata nimekosea, shuttle ndo jina sahihi maana starehe za luxury hupatikana kwenye mabasi
Mkuu, tulishauriana ili kulinda heshima yetu baadhi ya posts za watu tusizijibuKuna watu tunao nchini ambao huwa na mapenzi ya watu fulani fulani badala ya nchi
Mkuu, sijui wewe unafikiriaje lakini huyu jamaa jinsi anavyojibu posts za watu kwa kutumia maneno yasiyokua na staha, sidhani Kama Kuna sababu ya kujibu posts zake, lengo ni kumuonyesha kwamba hatupendezwi na vitendo vyake.Duh..yaani of all the banks kaona akakope Kunyaland? Tena sector ambayo tuna comparative advantage sio?
Kuna watu wanajitia uchizi wasiokuwa nao, vijipesa vya maandazi vinawafanya kujiondolea heshima waliojijengea kwa muda mrefu.Bila JPM wangepeleka popobawa Marekani? JPM ni maji!
Mkuu, huo sio mkopo, Equity wanataka kuwekeza katika kilimo, madini, na ujasiriamali, wameona Kuna fursa nyingi nje ya sector ya Banking, Hilo ni jambo zuri Sana Kama wataweza, lakini Kama utakumbuka yule mkenya aliyetaka kununua korosho, hawa wakenya ni matepeli Sana, sidhani Kama watatekeleza, hawana hiyo pesa.Duh..yaani of all the banks kaona akakope Kunyaland? Tena sector ambayo tuna comparative advantage sio?