Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu jamaa bana, hoja ni ya kawaida tu.. ila unaingiza eti sukumagang.. hio partnership, chadema watakubali? Si watasema serikal inatoa hela CCM kwa ajili ya uchaguz.. sio kila kitu sukumagang 😂.. so kiufup mama hataki hizo lawama.. mbona dodoma ina jamhur (ccm) na inajengwa mwingine? arusha mbeya zote zina stadia za ccm .. kwann asijenge huko majiji mengine kwa hio partnership..
Sasa viwanja vya Mbeya na Arusha unaweza kufananisha na CCM Kirumba? Engineer acha uzushi wa Kisukumagang bana! Si kila kitu Mwanza wapewe kuweni na timu ligi kuu kwanza!

Ndo kama majuzi arena Dar inapelekwa Mambwepande na kuacha Taifa penye nafasi ya kutosha ukiondoa old dilapilated indoor na pia kuna ready supporting infrastructure BRT and shorter distance n easy access to JKIA, TAZARA, SGR n MGR (Pugu n central stations), Magufuli Bus Terminal n Zanzibar ferries!

Ndo maana miradi mingi ya serikali haifanikiwi maana maamuzi huwa yana siasa. Angekuwa investor ni private na kachukua mkopo hawezi acha Taifa hata siku moja!
 
Wewe unatupostia video ya 80% bridge na 20% estate.

Video ya estate ni kama hii hapa.



Nimecheka sana. Na hizo vibanda zote kando ya barabara nimeona kwenye hiyo video they believe that Oysterbay is better than Karen, Muthaiga or Runda?! No pun intended but kama hiyo ndio Oysterbay then even Kileleshwa is better
 
RRONDO na The best 007 Nakubaliana nanyi. mimi pia nimekataa huo mfumo wa matusi. Tuna mengi ya kujifunza humu. Tuwe wastaarabu kwa wenzetu. Uzi huu ni wa kujifunza mambo mapya. Mambo ya matusi au kejeli sioni kama inatusaidia hapa.
Sasa unaquote post yenye matusi ukisema unakubaliana na aliyeiandika eti tuwache matusi? Wewe tangu hawa jamaa wakuchoche kidogo eti una akilii kisa unatolerate upuzi wao umeanza kuwa kilaza kilaza tu. Yani you're yearning for their approval and it's becoming pathetic.

Cc Coco reborn mwathadan
 
Wacha kuchekesha jamii we famba, weka hiyo Karen, uone kama inatoboa mbele osterbey,narudia tena Osterbey ni neighborhood kali kuliko yeyote hapo kwenu... neighbor hood za hapo kwenu ni vumbi mtindo mmoja
Angalia Runda below. Ukimaliza niambie nikuletee Karen kisha nimalizie na Muthaiga. Utajidharau kutaja Oysterbay
 
Kutojua English kwa nchi inayofundisha kingereza inaonyesha jinsi gani mulivyokua vilaza. Imagine PHD holder tena wa science kama magufuli hajui kuunda sentensi mbili za kiingereza bila kujiuma ulimi. Mimi mtu aliesoma Tanzania hata awe na PHD waga namdharau.
Ndio akili yako ilipoishia . We mdharau tu . So long as you can't change anything
 
Idea niliotoa si ngeni Mbali na SA hata Ujerumani ili-partner na other stakeholders kuboresha viwanja! Huwa hawajengi viwanja vyote vipya! Ingia online upate uelewa mzee!
Nafikiri shida hapo mmiliki wa uwanja ni nani. Ingekuwa uwanja wa mtu binafsi wengi wangeelewa PPP ila kwasababu ni viwanja vya CCM inaleta ukakasi. Kuna mgongano wa maslahi tulianzia na jinsi CCM ilivyopata hivyo viwanja.
 
Nafikiri shida hapo mmiliki wa uwanja ni nani. Ingekuwa uwanja wa mtu binafsi wengi wangeelewa PPP ila kwasababu ni viwanja vya CCM inaleta ukakasi. Kuna mgongano wa maslahi tulianzia na jinsi CCM ilivyopata hivyo viwanja.
Haswa approach wanayoenda nayo ya kutumia budget ya serikali bila ya kuoainisha zitarudi vipi! Ila PPP inawezekana na viwanja vya CCM haswa Kirumba unalipa. Ni jinsi ya modalities zinakuwa formulated! Angalia hata Spain na France jinsi wanafanya kabla ya ku-host tournaments!
 
Sasa unaquote post yenye matusi ukisema unakubaliana na aliyeiandika eti tuwache matusi? Wewe tangu hawa jamaa wakuchoche kidogo eti una akilii kisa unatolerate upuzi wao umeanza kuwa kilaza kilaza tu. Yani you're yearning for their approval and it's becoming pathetic.

Cc Coco reborn mwathadan
Wewe ni malay* sana. Umekuwa ukinitafuta sasa leo umenipata. Mbw* wewe. Don't quote me. Mimi ni mtu mzima hutaniambia niseme nini hapa. Mimi sio mtoto wako. Hio lecture yako enda upatie watoto wako lecture. Uko na roho chafu, unakuja hapa kutukanana nao mimi nakuja hapa kujibamba. Next time ukiona posts zangu please ignore them. I am here for my own enjoyment. Siko hapa kukufurahisha. I will continue being friendly with them. Kama hupendi basi kajinyonge. Just because we were born in the same country doesn't mean you own me. You don't pay for my food or my bills. Umekuwa ukinitafuta sana ukidhani nakuogopa kwani wewe ni nani? Nitaendelea kuwa marafiki nao. Kajinyonge basi.
 
Sasa unaquote post yenye matusi ukisema unakubaliana na aliyeiandika eti tuwache matusi? Wewe tangu hawa jamaa wakuchoche kidogo eti una akilii kisa unatolerate upuzi wao umeanza kuwa kilaza kilaza tu. Yani you're yearning for their approval and it's becoming pathetic.

Cc Coco reborn mwathadan
Nilikwambia Tony254 hawa wanakuchukia sn vile hauko biased, umeona ss amekutusi live wala hajapepesa macho, alitaka na wewe uwe na blind patriotism yn usisifie kitu ambacho Kenya inawish kuwa nacho ambacho Tz kipo.

Wanataka useme SGR ya Kenya ni better kuliko SGR ya Tz.

Wanataka useme public transport ya Kenya ni better kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya iko juu ya Tz kwenye madaraja.

Wanataka useme Kenya kuna access to clean water kubwa kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya inailisha Tz.

Wanataka useme inflation rate ya Kenya ipo chini kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya kuna Amani kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya kuna viwanja vingi vya ndege kuliko Tz.

Wanataka useme hakuna highway Tz.

Wanataka ukatae kwamba Tz ya sasa imeamka na ni untouchable.

Wanataka useme Dar port co most efficient kwa sasa in the region licha ya reputable bodies ku claim hivyo.

Yani hawa jamaa zako hawataki uwe free, roho inawauma wanapoona Watz tunakupa credit ya the one and only wise Kenyan in this forum. Wajinga sana hawa watu, wana akili za Wakenya wa zamani sn.
 
Una kichaa we jamaa, hii ndio unataka ulinganishe na osterbey.?
Umeona vibanda kando ya barabara kwenye hiyo video Kama Oysterbay?
Umeona congestion kwenye hiyo video kama Oysterbay?
Umeona viapartments kwenye hiyo vide kama ilivyo Oysterbay?
Umeona bajaji kwenye hiyo video kama ilivyo Oysterbay?

Watch this Oysterbay video uniambie Kama hizi takataka zipo Runda

 
Back
Top Bottom