Naomba picha tafadhali.Hii picha ni ya zamani. Hapa ni Kibera. Hizi slums zinazokinga barabara zilibomolewa 2018. Hii barabara ipo karibu kukamilika. Hii itakuwa ni lami mtelezo hadi mwisho.
Hii ya Tanzania imeipiga ile giraffe manor ya Nairobi KO ya, kihistoria!Andre herrera mchezaji wa PSG akila zake bata ndani ya TZ
Usimfundishe mwenzako roho ya kichawi, bwana tuusan tunaenda nae kistaarabu kwa sababu yeye ni muungwana, ila wewe na kamati yako ya roho chafu lazima tuwatie adabu.Sio Wakenya mkuu, sisi Watz tumeamua twende nao kwa style ambayo wanaiweza ile ya kistaarabu hawaiwezi, hapa unaongelea watu ambao hawana maadili mema na ambao ugumu wa maisha umewafanya wawe washenzi, so sijakataa wewe kwenda nao kistaarabu ila utanipa mrejesho mkuu.
Leta za Turkana tu-compare na utuonyeshe drainage.system, river bridges, weighbridge, Street lights, sidewalks, demarcation na road reflectors!Kama turkana aisee
Qualities nowhere to be found in Kunyaland
![]()
![]()
![]()
![]()
MY TAKE
The west is so secured for anyone to boast about taking eastern DRC business from Tanzania!
![]()
CC: Tony254 look at that map carefully!
Turkana uifananishe na lush green Tabora? LaughableKama turkana aisee
Whom tuusan are you talking about, the same tuusan who wastes his time on appreciating Kenyan pictures but you fail to do the same when he posts his pics from his country? Or you are talking about that tuusan whom you used to call him Susan when he goes against your opinions?Usimfundishe mwenzako roho ya kichawi, bwana tuusan tunaenda nae kistaarabu kwa sababu yeye ni muungwana, ila wewe na kamati yako ya roho chafu lazima tuwatie adabu.