Last week nlienda Mbeya ni kweli japo kuna kitu huwa sielewi, kuna wakati nlifanya booking ya Dodoma yaani kwenye website naona last 1 seat kwa economy class ila after check in unakuta cabin in seat kibao empty ,
Kuna some politics kwenye shirika and if this isn’t taken care of italigharimu shirika,
Again gharama ya ticket ya mbeya is way too expensive. Wakati wa fastjet nakumbuka nlikuwa natumia less than 200k return , now with atcl ni zaidi ya 400k . This is quite expensive kwa domestic trip tena ya lisaa.